Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Kuhusisha hoja yangu na ushoga makes more sense to you sio? Mama aendelee kukusoma tu manake nyie ndio watu wa siasani wenye akili. Shwain zako!!
Humu ukileta ushoga wako hatukuachi, dalili za ushoga ni kudandia wanaume.

Na mama leo ameagiza malezi, Sasa wajinga kama wewe waliokosa malezi tutakufundisha kwa njia ngumu.
 
Humu ukileta ushoga wako hatukuachi, dalili za ushoga ni kudandia wanaume.

Na mama leo ameagiza malezi, Sasa wajinga kama wewe waliokosa malezi tutakufundisha kwa njia ngumu.
Ukiona mwanaume anaongelea ushoga kila mara kuna kitu hakiko sawa, kama unadandiwa mzee we endelea tu kwa raha zako.

Ukijiona kila unachoandika kiko perfect anzisha forum yako tusikupinge, otherwise utachezea vitasa tu Dr. Uchwara.
 
Wanataka rais atoe maneno kupingana na msimamo wa chama chake cha CCM. Akifanya hivyo, angewafurahisha. Hata hivyo, naona Samia ameepuka kukamatwa katika mtego wa CDM. Mbowe ametoa lawama nyingi na hata kumuita JPM dikteta na kudai kwamba aliwatesa watu. Hivyo, isitokee tena. Sijui kama Samia alijua. Njia ya maendeleo kwa Tanzania ni ile ya kimagufuli tu. Na hiyo ndio njia ya kinyerere, Ki Edward Sokoine, njia ya Kisamora Machel, njia ya Ki Thomas Sankara, njia ya kijamaa. Binafsi, nilihofu kuwa mtego utamfetukia Mama Samia lakini ameepuka hilo.

Vita kubwa inaendeshwa na maajenti wa ubeberu kupitia upinzani, ambao wanajaribu kufuta jina la JPM na ujumbe wake katika mioyo ya Watanzania. Hata hivyo, hili halitafaulu kamwe. Wametumwa watu kama Lissu, Lema, na Mbowe, lakini hawawezi kufaulu.
Mkuu ujamaa ulishakufa huku duniani, usitegemee kuona ujamaa unarudi tena, nchi zilizofeli kwenye ujamaa ni somo tosha

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.

Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.

Hizi spana tunazompiga pia anaona? Anaona pia mwendazake anavyopigwa spana?
 
Back
Top Bottom