Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Popoma ni masalia ya Sukuma gang, praise choir ya shetani wa Chato.Yuko wapi GENTAMYCINE atoe maoni? Maana huwa anajinasibu kwa ujasiri kutoa ushauri kwa Rais waziwazi bila woga
Humu ukileta ushoga wako hatukuachi, dalili za ushoga ni kudandia wanaume.Kuhusisha hoja yangu na ushoga makes more sense to you sio? Mama aendelee kukusoma tu manake nyie ndio watu wa siasani wenye akili. Shwain zako!!
Jitahidi...Kumbe hua ana comment, ana like, ana bishana na kukosoa kwenye ule uzi wa kimashihara.
Inabidi nianze kwenda PM randomly naweza kuangukia popote. mara pa Ultimate magogoni
Amka mzee usije kojoa kitandani!!Kumbe hua ana comment, ana like, ana bishana na kukosoa kwenye ule uzi wa kimashihara.
Inabidi nianze kwenda PM randomly naweza kuangukia popote. mara pa Ultimate magogoni
Nafahamu uwepo wake kitambo tu.Akiona maoni ya watu kama Crimea Stroke Nigrastratatract nerve na wengine wa aina hiyo wanavyotokwa povu lazima acheke sana.
Ile ya ZuhuraAtakua anatumia ID ipi hiyo!?
Ukiona mwanaume anaongelea ushoga kila mara kuna kitu hakiko sawa, kama unadandiwa mzee we endelea tu kwa raha zako.Humu ukileta ushoga wako hatukuachi, dalili za ushoga ni kudandia wanaume.
Na mama leo ameagiza malezi, Sasa wajinga kama wewe waliokosa malezi tutakufundisha kwa njia ngumu.
Mkuu ujamaa ulishakufa huku duniani, usitegemee kuona ujamaa unarudi tena, nchi zilizofeli kwenye ujamaa ni somo toshaWanataka rais atoe maneno kupingana na msimamo wa chama chake cha CCM. Akifanya hivyo, angewafurahisha. Hata hivyo, naona Samia ameepuka kukamatwa katika mtego wa CDM. Mbowe ametoa lawama nyingi na hata kumuita JPM dikteta na kudai kwamba aliwatesa watu. Hivyo, isitokee tena. Sijui kama Samia alijua. Njia ya maendeleo kwa Tanzania ni ile ya kimagufuli tu. Na hiyo ndio njia ya kinyerere, Ki Edward Sokoine, njia ya Kisamora Machel, njia ya Ki Thomas Sankara, njia ya kijamaa. Binafsi, nilihofu kuwa mtego utamfetukia Mama Samia lakini ameepuka hilo.
Vita kubwa inaendeshwa na maajenti wa ubeberu kupitia upinzani, ambao wanajaribu kufuta jina la JPM na ujumbe wake katika mioyo ya Watanzania. Hata hivyo, hili halitafaulu kamwe. Wametumwa watu kama Lissu, Lema, na Mbowe, lakini hawawezi kufaulu.
Huu ni mtandao wa.chadema 90% na Wapinzani wengine wa SerikaliHalafu, Kwa mtazamo wake ... anafikiri Jf wote ni ÇHADEMA.
Hizi spana tunazompiga pia anaona? Anaona pia mwendazake anavyopigwa spana?Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Members?Anapita na anaweza kua members humu
Anayo ya mchongoMama apewe ID Maxence
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]