GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Rais wa Tanzania asiyenisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Kama JK ( Mkwere ) na Hayati Dk. Magufuli pamoja na CDF Mstaafu Jenerali Mabeyo wananisoma na Kunifolo Yeye ni nani asifanye hivyo?
Tena kwa Taarifa yenu huyu na ID yake huwa napigana nae mno Madongo, ni Mmoja wa Followers wangu Wengi hapa JamiiForums na ananikubali hakuna mfano kiasi kwamba hawezi Kulala bila Kunisoma GENTAMYCINE wala Kuupitia Mtandao huu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!