Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Mama unampata GENTAMYCINE
Mama mpe uteuzi Mshana Jr
Kuna Rais wa Tanzania asiyenisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Kama JK ( Mkwere ) na Hayati Dk. Magufuli pamoja na CDF Mstaafu Jenerali Mabeyo wananisoma na Kunifolo Yeye ni nani asifanye hivyo?

Tena kwa Taarifa yenu huyu na ID yake huwa napigana nae mno Madongo, ni Mmoja wa Followers wangu Wengi hapa JamiiForums na ananikubali hakuna mfano kiasi kwamba hawezi Kulala bila Kunisoma GENTAMYCINE wala Kuupitia Mtandao huu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Imenipa moyo kusikia tuna figures kubwa humu Jamii Forum bahati mbaya tu kwa Sasa JF Haina vichwa Kama zamani. Vilivyokuwa vinaandika makala zenye intellectual curiosity.

Kwa Sasa walioko humu kutwa thread za kuchakata Mbususu tu akina mpwayungu village
Uyu mpwayungu village nimesha mwambia nita Mpiga Barua Moja Ya Trasfer ..ahamie Manda Akacheze Na Tembo.

Akae Asiamini Kama mimi afisa Elimu wake wa wilaya Uwa Nasoma Mambo yake..anayo tusema Hapa Wilayani.
 
Nimemsikia pia, kumbe anatusoma. Sasa mama please wale wabunge 19 kwa nini katiba imevunjwa?

..angeeleza anapenda jukwaa gani.

..mimi nahisi Maza hapiti humu ktk jukwaa la siasa.

..angekuwa anapita jukwaa la siasa wana-JF wanaochangia na kuacha contacts zao wangekumbukwa ktk teuzi mbalimbali.
 
..angeeleza anapenda jukwaa gani.

..mimi nahisi Maza hapiti humu ktk jukwaa la siasa.

..angekuwa anapita jukwaa la siasa wana-JF wanaochangia na kuacha contacts zao wangekumbukwa ktk teuzi mbalimbali.
Sasa unadhani,mama anapendelea jukwaa lipi ?
 
Kuna Rais wa Tanzania asiyenisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Kama JK ( Mkwere ) na Hayati Dk. Magufuli pamoja na CDF Mstaafu Jenerali Mabeyo wananisoma na Kunifolo Yeye ni nani asifanye hivyo?

Tena kwa Taarifa yenu huyu na ID yake huwa napigana nae mno Madongo, ni Mmoja wa Followers wangu Wengi hapa JamiiForums na ananikubali hakuna mfano kiasi kwamba hawezi Kulala bila Kunisoma GENTAMYCINE wala Kuupitia Mtandao huu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Kwahiyo mama huwa anahuzunika Sana akiona GENTAMYCIME imepigwa ban
 
Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.

Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.

Lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni ni kweli kuwa Rais Samia Suluhu anatumia akili kubwa sana katika uongozi wake
 
Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.

Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.

Nimecheka kumbe mama huwaga anatusoma...
Cc
Jf founder Melo
Mshana jr
Buji buji
Paschal Mayalla
Erythrocytes
Gentamicin
Mwachiluwi
Ricky boy
Mzabzabina
Dejane
Deepond
John the Baptist
Business intelligent
Tumain El
Mdukuzi
Ras jeff kapita
Myangu
Mpwayungu village
Extrovert
Wakupuliza
Ma DR. Wote wa Jf

List ni ndefu..
Bila kusahau
Na
Wana Jf wote

Humu JF Kuna vichwa adimu sana yaan Akili mingi kama mchwa......

Long live JF
 
Back
Top Bottom