GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Rais wa Tanzania asiyenisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Kama JK ( Mkwere ) na Hayati Dk. Magufuli pamoja na CDF Mstaafu Jenerali Mabeyo wananisoma na Kunifolo Yeye ni nani asifanye hivyo?
Uyu mpwayungu village nimesha mwambia nita Mpiga Barua Moja Ya Trasfer ..ahamie Manda Akacheze Na Tembo.Imenipa moyo kusikia tuna figures kubwa humu Jamii Forum bahati mbaya tu kwa Sasa JF Haina vichwa Kama zamani. Vilivyokuwa vinaandika makala zenye intellectual curiosity.
Kwa Sasa walioko humu kutwa thread za kuchakata Mbususu tu akina mpwayungu village
Nimemsikia pia, kumbe anatusoma. Sasa mama please wale wabunge 19 kwa nini katiba imevunjwa?
Sasa mbona bado uko nasi? Miswahili bhana.....!!!!!Jamiiforum ilikuwa zamani.......
ya sasa😤
mama gani yule bibi mtetea dini yake? Humu wengine wanapita tu wala si member.Plus unadishi wake ule mwandiko wake unafanana na mawazo ya Mama…..ni yeye
Jamiiforum ilikuwa zamani.......
ya sasa[emoji36]
Wale wa Ndugai kamrithisha Kipaza sauti ModelNimemsikia pia, kumbe anatusoma. Sasa mama please wale wabunge 19 kwa nini katiba imevunjwa?
Yupo mitandao yote ya kijamii kuanzia Facebook, Instagram, Twitter nakadhalika.Mametuheshimisha wanajamii Forums
Sasa unadhani,mama anapendelea jukwaa lipi ?..angeeleza anapenda jukwaa gani.
..mimi nahisi Maza hapiti humu ktk jukwaa la siasa.
..angekuwa anapita jukwaa la siasa wana-JF wanaochangia na kuacha contacts zao wangekumbukwa ktk teuzi mbalimbali.
Wengine wakiona umekula like nyingi wanapandwa na hasira na kuanza kutukana hovyo hata kwenye mijadala ya mambo ya diniNaona viongozi wengi wanashindwa jitokeza kujibu hoja sababu ya matusi
Kwahiyo mama huwa anahuzunika Sana akiona GENTAMYCIME imepigwa banKuna Rais wa Tanzania asiyenisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Kama JK ( Mkwere ) na Hayati Dk. Magufuli pamoja na CDF Mstaafu Jenerali Mabeyo wananisoma na Kunifolo Yeye ni nani asifanye hivyo?
Tena kwa Taarifa yenu huyu na ID yake huwa napigana nae mno Madongo, ni Mmoja wa Followers wangu Wengi hapa JamiiForums na ananikubali hakuna mfano kiasi kwamba hawezi Kulala bila Kunisoma GENTAMYCINE wala Kuupitia Mtandao huu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni ni kweli kuwa Rais Samia Suluhu anatumia akili kubwa sana katika uongozi wakeRais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Wengine wakiona umekula like nyingi wanapandwa na hasira na kuanza kutukana hovyo hata kwenye mijadala ya mambo ya diniNaona viongozi wengi wanashindwa jitokeza kujibu hoja sababu ya matusi
Sawa Dr,umeeleweka.Nilikuwa sijaona. Haiwezekani na mimi lazima jina langu lianze na Dr.One size fit all? Wengine humu mchana hawajala, bundle la kupiga mzinga, na kazi hawana wala biashara.
Nimecheka kumbe mama huwaga anatusoma...Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Sana tu.Kwahiyo mama huwa anahuzunika Sana akiona GENTAMYCIME imepigwa ban
Hahaaa Popoma la SAUTI bwana unapendwa kupaishwa hewani kweli.Sana tu.