Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Rais Samia: Huwa napitia Jamiiforums
5A608F47-E433-4E43-A693-4EBC2C095DAA.jpeg
 
Katika hotuba yake aliyoitoa huko mjini Moshi, hivi Leo, akiwa mgeni rasmi, katika sherehe ya akina mama, iliyoandaliwa na BAWACHA, Rais Samia, amesema kuwa huwa anapitia Jamii Forums, kujua watanzania wanasema Nini, juu ya Taifa lao.

Bravo Jamii Forums.
Bravo Mello🙏
 
Back
Top Bottom