Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ni hii..
Kumbe naye anaficha ID kuogopa wafadhihina na Chawa wake wasimzodoeNimemsikia pia,kumbe anatusoma.Sasa mama please wale wabunge 19 kwa nini katiba imevunjwa ?
Amesema pia chadema hawana nia ya kushika dola 2025 kwa kuwa mama yupo[emoji23]Mama yupo makini anakubali kauli- no hate no fear, mama pia anakubali kwa dhati kauli never ever again. Umoja wa watanzania oyee.
Hasa akisoma uongo wa johnthebaptist alivyo muongo na mzushi kiasi cha kuleta Tafranil JF.Ameyasema hayo huko Kilimanjaro, kuwa huwa anapitia maoni anabaki kucheka tu
Aache tena!Uzi wa kula kimasihara, anasoma?
Ha ha haš¤£Uzi wa kula kimasihara, anasoma?