IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Sidhani...Nahisi itakua very private na atakua anatumia kusoma info tuu..Mama ID yake hii Samiaagain2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani...Nahisi itakua very private na atakua anatumia kusoma info tuu..Mama ID yake hii Samiaagain2025
GENTAMYCINEYupi huyo..
Sank fala, Lucas Mshamba, choice variable mtapewa teuzi hata ya kusafisha maliwato pale Lumumba
Hao ndo roho yake,2025.Mbona sasa malalamiko juu ya makamba na nape hayafanyii kazi
Bravo Maxence Melo Kwa hiyo muwe mnaadadika kwa adabu kuhsu Rais wetu!Katika hotuba yake aliyoitoa huko mjini Moshi, hivi Leo, akiwa mgeni rasmi, katika sherehe ya akina mama, iliyoandaliwa na BAWACHA, Rais Samia, amesema kuwa huwa anapitia Jamii Forum, kujua watanzania wanasema Nini, juu ya Taifa lao.
Bravo Jamii Forum.
sophy27 [emoji1]Yule mwenye hijabu,nimemsahau jina.
Mbona mnamlaumu Magufuli sasa?Amesema hata ndani ya CCM palikuwa na ugumu kuhusu kufungulia mikutano
Ujue tatizo ni CCMMbona mnamlaumu Magufuli sasa?
Ina maana hata ule uzi pendwa wa kula kimasihara kashauona 😀 😀 😀Ameyasema hayo huko Kilimanjaro, kuwa huwa anapitia maoni anabaki kucheka tu
Kumbe niache kuandika ujinga
Naweza nikapata ute mmoja either uteuzi au utelezi kwa pisi za MMU
Faiza
Atakuwa faizafokesi niniYule mwenye hijabu,nimemsahau jina.