Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa na yeye ,maana Faiza ni mtu wa mwambao kabisa,na kile kiswahili chake cha kimwambao.Na kweli toka magu afe Bi Faiza anaingia mara moja moja humu ngoja tuone
😂😂😂Kumbe hua ana comment, ana like, ana bishana na kukosoa kwenye ule uzi wa kimashihara.
Inabidi nianze kwenda PM randomly naweza kuangukia popote. mara pa Ultimate magogoni
Anacheka na ujumbe unafika na vingine vinamuuma piaAmeyasema hayo huko Kilimanjaro, kuwa huwa anapitia maoni anabaki kucheka tu
Yule wanaemuita ajuza humu au>😂😂Yule mwenye hijabu,nimemsahau jina.
Ila faiza kwa alivyomdini, angekuwa ndio Samia naamini wakristo muda huu wangekuwa wanakiona cha motoHuyu huyo
Afu ukute anachangiaga kwenye nyuzi za mama J[emoji4][emoji3]Anaeijua I'd ya mama Samia tafadhari[emoji3]
Nimemsikia pia, kumbe anatusoma. Sasa mama please wale wabunge 19 kwa nini katiba imevunjwa?
Hawezi kuwa faizaFaiza
Nina uhakika anafuatilia ile ya Silent OceanAnacheka na ujumbe unafika na vingine vinamuuma pia
WanavyonmtukanagaHuyu huyo
U made my day..nimecheka sanadah..vijana wa hovyo kweli kweli😆Asiishie jukwaa la SIASA aingie na MMU aone vijana wake na fantasies zao
Nadhan walinda legacy ujumbe wameupata!! Maan adui yao no 1 ni CDM no 2 ni Samia!! Huu ni ukwel usiopingika!!!Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.