Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Mama akiingia MMU anaona vituko ONA hii.

Screenshot_20230308-142156.jpg

Screenshot_20230308-142317.jpg

Haya maisha ya aajabu sana
 

Attachments

  • Screenshot_20230308-142317.jpg
    Screenshot_20230308-142317.jpg
    113.4 KB · Views: 6
Sasa Maxence Melo umemsikia mwenyewe mama anapitia JF kusoma mijadala.

Rai yangu kwako jukwaa la siasa limejaa uchafu ningependekeza thread zote zisiruke hewani bila approval ya moderator ili kupunguza uchafu jukwaani...
Naunga mkono hoja. Sukuma Gang wanatuharibia sana jukwaa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana...
Kwa hiyo mama atakuwa anamfahamu mpaka Tate Mkuu, mkulima wa ngogwe kutoka Kijiji cha Mtae Lushoto Tanga!! Hakika mama ametisha sana.

Na uzuri JamiiForums ni kama madawa ya kulevya! Ukishaingia humu, kamwe huji kutoka. Utaishia tu kubadili ID kama wale waheshimiwa baada ya kushambuliwa na wajumbe kwa hoja, kila upande. Ila kutoka kabisa, haiwezekani.
 
Back
Top Bottom