Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hii inabidi muambiane huko ufipa maana huko ndio wajinga walipoAndikeni mambo ya msingi ili azidi kutusoma. Ficheni upumbavu wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inabidi muambiane huko ufipa maana huko ndio wajinga walipoAndikeni mambo ya msingi ili azidi kutusoma. Ficheni upumbavu wenu
Alifarijika tulipomtofautisha na Mrundi wa Chato, katili na muuwaji.Ila yule Maza anamoyo. Kuna kipindi aliamdamwa sana humu.
Naona hata wewe DC unasoma na uko active kweliMaraisi huwa wanasoma. Wala usianze kuweka masharti mengi Cha muhimu wajinga walio wengi hasa wa ufipa wawekwe chini ya uangalizi
Bibi yetu faizafoxyYule mwenye hijabu, nimemsahau jina.
Inainekana , uzimu was jamaa unakubanjua dailyAlifarijika tulipomtofautisha na Mrundi wa Chato, katili na muuwaji.
Mama Samia hana sifa hizo, na anajuwa wanaomuandama ni Sukuma gang ambao wameshajifia natural death.
Hakuna haja ya kiherehere kama cha facebook na twitter.Yeye kasema huwa anasoma tu.Akitaka kujiunga atafanya mwenyewe na sisi tuambiwe kuwa yupo.Lakini ya nini kutafuta matusi humu.Asome tu kidogo vichwa vya habari.Mama apewe ID Maxence
Atakufikiaje na umefunga PMMama nione nimekata tamaa
Faiza Fox nadhani ndiyo atakua Mama Samia humu!!Anaeijua I'd ya mama Samia tafadhari[emoji3]
Naunga mkono hoja. Sukuma Gang wanatuharibia sana jukwaa.Sasa Maxence Melo umemsikia mwenyewe mama anapitia JF kusoma mijadala.
Rai yangu kwako jukwaa la siasa limejaa uchafu ningependekeza thread zote zisiruke hewani bila approval ya moderator ili kupunguza uchafu jukwaani...
Kwa hiyo mama atakuwa anamfahamu mpaka Tate Mkuu, mkulima wa ngogwe kutoka Kijiji cha Mtae Lushoto Tanga!! Hakika mama ametisha sana.Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana...
Kwahiyo anamsoma Lucas Mwashamba kila siku anavyojitafutia ulaji na kuweka namba ya simu ili akumbukwe kwenye uteuzi lakini anampotezea? Vipi Paskal Mayalla na kuandika kote lakini hukumbukwi kwenye uteuzi