Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu huyoAtakuwa faizafokesi nini
Nilikuwa natafuta comment kama hii.FaizaFoxy!!!!
Cousin leo nmekuwaza ID jina limegoma kabisaa nlitaka nkuwish happy women's dayHehehe cousin
Acha ukorofi..
Aibu ya nini na hii ni Jamiiforums! Hili jukwaa huru, hao ambao wewe unaamini wanatia Aibu ni matokeo ya Taifa huru chini ya TANUInabidi admins waweke vigezo watu kujiunga maana wajinga wanaongezeka. Rais anaposoma watu kama hao anaona aibu.
😂😂😂Nimecheka balaa
Kijana wa hovyo 🤣🤣🤣Kumbe hua ana comment, ana like, ana bishana na kukosoa kwenye ule uzi wa kimashihara.
Inabidi nianze kwenda PM randomly naweza kuangukia popote. mara pa Ultimate magogoni
Hapana,sasa ninakuwaje ni yeye wakati yeye alikuwa anaonge na mimi naandika hapa.Hivyo haiwezekani mimi kuwa yeye
Duh..Hao ndo roho yake,2025.
Wabunge sio ishu tumuuluze kwani wanakula kupita kiasi vijana wake alafu kanyamaza tuNimemsikia pia, kumbe anatusoma. Sasa mama please wale wabunge 19 kwa nini katiba imevunjwa?
Mimi nilifikiri sasa mko vizuri baada ya mbaya wenu kufarikiUjue tatizo ni CCM
Yawezekana ni yeyeNa kweli toka magu afe Bi Faiza anaingia mara moja moja humu ngoja tuone