Rais Samia: Huwa napitia Jamiiforums
Duuuu mku uko fasta, kasema mda si mrefu ungemalizia na kusema ' Nasoma maoni yenu nacheka tu ".Samia Suluhu.Rais Samia: Huwa napitia Jamiiforums
Mnawahiana kuandika nusu taarifaAisee uko fasta umeniwahi
Hahah wa2 wako fasta sanaAisee uko fasta umeniwahi
Yule mwenye hijabu, nimemsahau jina.Atakua anatumia ID ipi hiyo!?
Nahisi Hata jina lake humu!
Hongera..Imagine maoni yangu yanasomwa na raisi wa nchi. 🤣