The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Bila shaka Mama hua anacheka anaposoma thd za mpwayungu village
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamkomowa Nañi labda kwa mfano? Kwa hizi hizi bando za kuungaunga za buku mbili uweke bundle device tofauti tofauti?Sasa mtu kama kuna device nyingi?Si unaingia tu.
😅😅😅kwamaelezo haya bado hujistukii tuu kuwa wee ni chizi?Wewe ndio chizi, hujui hata IP address ni nini, wakiamuwa kukukomesha hiyo device yako haipewi access ya kufunguwa account nyingine wala kulog in kwa account nyingine.
Sasa umeshagunduwa Nañi ni chizi?
Safi sana kwa HE Dr Samia Suluhu Hassan. Tunamkaribisha tena na tena JF.Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Kwa faida ya nani? Hata niwe na device 100 siwezi kuweka bundle zaidi ya device moja.😅😅😅kwamaelezo haya bado hujistukii tuu kuwa wee ni chizi?
unajua natumia vifaa vingapi kuingia humu?
kamahuamini waambie wanibani halafu nakupa masaa kumi nakuja na I'd mpya.
Sana mkuuAmeyaweka wazi hayo katika mkutano wa Bawacha katika siku ya mwanamke duniani.
Rais Samia akihutubia taifa kupitia mkutano huo amewaambia kuwa huwa anasoma maoni ya katiba mpya, wabunge wa Covid19 na mengineyo kuhusu Serikali yake kupitia mtandao maarufu wa JamiiForums.
My take:
Leo ndio nimejua kuwa kumbe Rais Samia nae ni mdau wa JamiiForums.
Hii imetuinua sana wana jukwaa hili.
Wengine wana Wi Fi home,bado kitaa,Wi Fi job,devices 10.Unamkomowa Nañi labda kwa mfano? Kwa hizi hizi bando za kuungaunga za buku mbili uweke bundle device tofauti tofauti?
Na matusi kedekede. Ni imani yangu kwamba kuanzia sasa, wadau tutakuwa tunatoa comments zenye kuonesha heshima au zisizokera na kuudhi wasomaji wengine. Kazi iendelee.Imenipa moyo kusikia tuna figures kubwa humu Jamii Forum bahati mbaya tu kwa Sasa Jamii Forum Haina vichwa Kama zamani. Vilivyokuwa vinaandika makala zenye intellectual curiosity.
Kwa Sasa walioko humu kutwa thread za kuchakata Mbususu tu.
AnayoMama apewe ID Maxence
Kuna Rais wa Tanzania asiyenisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Kama JK ( Mkwere ) na Hayati Dk. Magufuli pamoja na CDF Mstaafu Jenerali Mabeyo wananisoma na Kunifolo Yeye ni nani asifanye hivyo?
Inabidi maadmin wafanye kqzi kubwa sanaInabidi admins waweke vigezo watu kujiunga maana wajinga wanaongezeka. Rais anaposoma watu kama hao anaona aibu.
One size fit all? Wengine humu mchana hawajala, bundle la kupiga mzinga, na kazi hawana wala biashara.Wengine wana Wi Fi home,bado kitaa,Wi Fi job,devices 10.
Huyu hawezi kuwa DC unless siku hizi kazi za uDC hata kilaza anaweza kupewa.Naona hata wewe DC unasoma na uko active kweli
Kuna Rais wa Tanzania asiyenisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Kama JK ( Mkwere ) na Hayati Dk. Magufuli pamoja na CDF Mstaafu Jenerali Mabeyo wananisoma na Kunifolo Yeye ni nani asifanye hivyo?Na mambo yote ambayo GENTAMYCINE anasema hua anayasoma si ety.
wewe hakuna mwanasiasa ambaye sio memba humu ni ID tu tofauti, ndio mana ilibakia kidogo Melo wamsigine korodani aweke mambo hadharani. Ila jamaa ni mwanaume kweli kawakazia!Hahahah anakaribishwa kuwa memba kabisa,asiogope🙏