#COVID19 Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

Mbona hutuambii waliopukutishwa nayo,au kufichwa Kwa taarifa kunakupa bado Imani kuwa ulifaninikwa🀭
 
Kwann mgumu kuelewa ww?ushaambiwa ilikuwa ngumu kufanya nae kaz hasa kwenye COVID, Sasa boss havai barakoa ww uvae Samia alikua anamueshimu jiwe japo walitofautiana ,
 
Huyo magu ni muuaji tu
 
Huyo mama naona hana busara tu.
Kwanza anashindwa kuelewa, bila huyo Magufuli, yeye leo asingekua Rais wa Tanzania.
 
Hapo ndipo umuhimu wa kuwa na katiba imara unapoonekana. Katiba tuliyonayo Rais ni kama mfalme.
Angalia uzuri wa katiba imara japo siyo Sana hapo Kenya tu. Ruto anamkosoa waziwazi Kenyatta na yuko salama.
Huku huwezi kumpinga Rais au kuwa na mawazo tofauti ukawa salama kwa katiba tuliyo nayo.
Kumlaumu Samia eti kwa nini hakusimamia msimamo wake ni kumuonea tu, Magufuli aliweza kuwasimanga hata mapadri/maaskofu tena kanisani waliovaa barakoa,tabia ambayo ni adimu sana kwa wakatoliki kwani wanawaheshimu sana viongozi wao.
 
Kama Samia ni mkamilifu na kama siyo walewale alete katiba mpya kama Kikwete alivyowaachia wazanzibar uhuru wa kutengeneza katiba yao kwa uhuru bila ya kuingiliwa na chama chochote kwa maslahi ya chama.
 
Kwani sasa hivi anafata hizo measure au kama Taifa tunafata ushauri wa wataalamu? Ama Covid imeisha?
 
umeenda kuwalamba nanii wazungu kwa kumnanga Boss wako , umesahau asingekufa usingepata hata wa kumwambia hizo habari.
 
Huyu Mama Samia hata hakumbuki aliapa nini hata ukiuliza atakwambia jaji alinipa kilikuwa kimeandikwa akasema nisome kwa sauti hata sikumbuki kilikuwa kinasemaje labda ukamuulize jaji aliyeniapisha
Naona mataga mnatoka kutetea Dhalimu wenu 😁😁..

Ni hivi huko kaburini Dhalimu akigeuka nshale tuu πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
 
Huyu kabebwa na umakamu wa Rais tu.

Peke yake asingeweza kupenya hata 10 bora endapo angegombea urais.

2025 atapita kwa kubebwa na dola pamoja na tume.
Amesema ataleta Katiba mpya haijalishi kama itamgharimu sasa shida iko wapi?

Hadi saizi nani amefanya vizuri kwenye uongozi kwa mwaka mmja kumzidi Samia?
 
umeenda kuwalamba nanii wazungu kwa kumnanga Boss wako , umesahau asingekufa usingepata hata wa kumwambia hizo habari.
Yaani kuteketeza pesa zote safari ya masafa marefu kwenda tu kutafuta platform ya kumsimanga Magufuli
 
umeenda kuwalamba nanii wazungu kwa kumnanga Boss wako , umesahau asingekufa usingepata hata wa kumwambia hizo habari.
Awalambe tuu maana kushindana nao huwezi na utaumia mwenyewe kama tulivyoumia miaka 6 iliyopita..

Kiwanja cha sqm 900 hata mil.hupewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…