Ni wakati wa kusema yote tunajua yapo mengi sana.Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli.
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO-19.
View attachment 2188625
Tumwagie Mzee,yule jamaa alikuwa ni taahira Sana..Magufuli alitofautiana na bitozo siyo kwasababu ya covid
Naomba niishie hapo.
ila ukiipata story yote inabidi uwe na kifua cha kuitunza
Sio corona tuu mbona alisema pia kwamba Mwendazake alileta siasa za Chuki,ukabila na migawanyiko..Mama hatukuelewi .songa mbele na mambo yako .hoja za magufuli juu ya korona tulielewa sana kuliko sasa juu ya mafuta. Nauli. Na mengi
Hata kama ni kuwashobokea sio kwa alichofanya hata wao wanamdharau ndio mana wanampa makamu apige nae story mwenyeji yuko busyAwalambe tuu maana kushindana nao huwezi na utaumia mwenyewe kama tulivyoumia miaka 6 iliyopita..
Kiwanja cha sqm 900 hata mil.hupewi.
Ndio hivyo Mega fool hakuwa na forum ya kumtumbua Samia.Mbona dk Ndungurile alipinga hatua ya kupiga nyungu adharani,hakupigwa risasi, sanasana alitumbuliwa, lakini mwisho akapewa wizara nyingine
Kwani kafanyaje? Kusema walitofautiana mawazo na Mwendazake au? Kwamba hili ni kosa au?Hata kama ni kuwashobokea sio kwa alichofanya hata wao wanamdharau ndio mana wanampa makamu apige nae story mwenyeji yuko busy
Hili la corona ni jambo dogo kwani Lina shida gani kusema kila mtu alikuwa na Maoni tofauti kwenye njia za kukabiliana?Awe na kifua basi. Akisema mambo ya ndani ya serikali iliyopita ambayo alikuwa namba 2: Itamuongezea nini? Asije akasema na vingine.
Mzungu akikusifia fahanu fika kwamba wewe ni *&^%'
Timu wavamizi wa chama mtateseka sana, CCM ina wenyewe na ndiyo hao wameshika hatamu. Malalamiko yenu pelekeni Chato kaburiniHuyu Mama Samia hata hakumbuki aliapa nini hata ukiuliza atakwambia jaji alinipa kilikuwa kimeandikwa akasema nisome kwa sauti hata sikumbuki kilikuwa kinasemaje labda ukamuulize jaji aliyeniapisha
Basi kwa unafiki wa watz na huyu atamnanga mwendazzake wee! Unafanya na mtu unashindwa kumshauri tena unaitwa makamu!?? a strange continent/country. Vyombo vya kimangaribi watachokonoa hadi kinyesiRais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli.
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO-19.
View attachment 2188625
Sema bila Corona kumfyekelea mbali dhalim yeye angekuwa bado Makamu na angeendelea ku compromise na dhalim.Huyo mama naona hana busara tu.
Kwanza anashindwa kuelewa, bila huyo Magufuli, yeye leo asingekua Rais wa Tanzania.
Tofauti ni kuwa kipindi cha Magu akipotea mtu kapotezwa na Magu,sasa hv akipotea ni kimya kimyaWale vijana wa pale kariakoo wamenda wapi?
Hofu ya Mungu alafu anachomea watu masoko?
Dhalim alikuwa mwovu na aliharibu umoja wa kitaifa na misingi ya utawala Bora, lazima kila mpenda nchi lazima akemee maovu haya yasijejirudia tena. Wacha Mama aliponye Taifa.Hata Hitler wanamsigina kokote kule kwa kutolewa mfano mbaya,iwe ndani au nje ya Ujerumani.
Dira ipo kwenye ilani na vision 2025,dila gani nyingine unataka wewe?Kwahiyo ameshindwa kabisa kuzungumzia dira yake mpaka kila mara amtaje marehemu asiyeweza kujitetea? Yetu macho ....
Ukweli lazima usemwe, Magufuli was evilYaani kuteketeza pesa zote safari ya masafa marefu kwenda tu kutafuta platform ya kumsimanga Magufuli
Mkuu yaani umesahau, watu waliokuwa wanavaa barakoa kwenye hadhara yake walivyokuwa wanadhalilishwa wakati jambo la afya ya mtu ni personal?Kwa issue ya Corona kweli mama Samia alikuwa kutwa akihutubia anasema kagonjwa Kapoo!!!!
Magufuli hajawahi sema Corona haipo uongo alisema dawa haijapatikana tutumie maombi na dawa za asili zetu wenyewe sababu Tatizo kubwa huko kwenye wataalamu wanakufa na kuanguka maiti mabarabarani
Mama Samia dini hana akawa anaamini dawa za wazungu na barakoa
Magufuli akasema tusali Siku Tatu na kujifukiza na kunywa dawa ya kienjyeji ikatusaidia.Hakukuwa na lockdown wala nini
Corona Tanzania bila Mungu kuingilia kati tungekufa kama mbwa kwenye kuaga marehemu Magufuli. Ule msongamano hakuna ambaye ⁶angekuwa hai leo akiwemo mama Samia sababu hakuweko aliyechanja wala kuvaa barakoa.Hakukuwa na lockdown watu wanajazana kwenye daladala Mungu akatuepusha
Kwenye Corona tofauti ya Magufuli na mama Samia ilikuwa ya kidini kati ya mtumaini Mungu magufuli na mpagani mama Samia ambaye hakuona umuhimu wa Mungu kwenye kukabiliana na Corona na matumizi ya njia mbadala local grown mwabudu wazungu na solution zao za Corona
Huu ndio mfano wa raia wa Tanzania anayefikiria kutembea na wake za watu ni sifa kwa jina la pisi kali ,nimeamini tajiri mmoja aliposema mawazo ya waafrika wengi ni ngono na pombeYeah
Watu wanajipigia tu
Magufuli hana tofauti na, mume mwenye mke pisi kali
Anambana mkewe, anamwonea wivu kama wote,hataki aongee na wanaume wengine na hayuko. Tayari kuona anashare utamu na wana wa kitaa
Ila siku akifa, mkewe watu wanajinyofolea tu
Haujajibu swali.
Umoja upi uliharibiwa?Dhalim alikuwa mwovu na aliharibu umoja wa kitaifa na misingi ya utawala Bora, lazima kila mpenda nchi lazima akemee maovu haya yasijejirudia tena. Wacha Mama aliponye Taifa.