Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Watu ni maskini tangu nchi ipate uhuru. Umaskini wa watu haujasababishwa na SamiaKama unajijua we ni muoga nafasi na cheo kikubwa kama cha uraisi hakikufai.
Inapaswa uwe jasiri, usiye tetereshwa, uwe mzalendo wa kweli ambae upo tayari kufa kwa ajili ya nchi yako.
Huyu mama hana sifa hizo, huyo anatuuza asubuhi we si unamuona? hawezi mikikimikiki, ni muoga, hana uwezo, wapigaji wamemsoma, wanajichotea mali tu hawamwogopi.
Tazama nchi ilivyo, watu masikini mambo ni magumu, nchi imekosa dira.
Hana sifa za kuwa kiongozi.
Magu was right...
Sijazungumzia umasikini.Watu ni maskini tangu nchi ipate uhuru. Umaskini wa watu haujasababishwa na Samia
Kama JPM alikosea kumteua kama mgombea mwenza kwa nini hamkupinga ili ateue mtu mnayemtaka nyieJPM alikosea sana. Na hii iwe wake-up call kwa presidential wannabes wote. Hii habari ya kuteua bora mgombea mwenza ni potential disaster. Rais hana mkataba na Mungu juu ya maisha yake!
Kwani amesema hakubaliani na KILA KITU kilichofanyika kwenye utawala wa JPM? Msimuwekee maneno mdomoniNa kwasababu hiyo hata ilani ya chama haikubali kwakua ilitengenezwa chini ya uenyekiti wa JPM ambaye yeye amekiri kutokubaliana naye; basi na ajiuzulu kulinda heshima yake ili mwenye kukubaliana na hii iliyopo na iliyopigiwa kura aendeleze utekelezaji wake. Yeye aje agombee 2025 akiwa na mawazo yake hayo tofauti na yale waliyoyachagua wa Tanzania 2020 ambayo yeye hakubaliani nayo; vinginevyo hii ni justification ya wazi kwanini Katiba mpya ni hitaji la sasa na siyo kesho.
Inaonekana wewe unamchukia sana SSHHuyu Mama Samia hata hakumbuki aliapa nini hata ukiuliza atakwambia jaji alinipa kilikuwa kimeandikwa akasema nisome kwa sauti hata sikumbuki kilikuwa kinasemaje labda ukamuulize jaji aliyeniapisha
Ungeelewa nilichoandika usingeandika huo utumboMbona wewe hujafa? Acha woga! Hata wazee wetu wangesema kimbia risasi inaua!, tusingepata uhuru!
She is opening her hidden heart in the struggle to win trust from the donors. She will eventually spiel it all.
Bora lakini umesimamia haki kuliko kujifanya harmonize unamponda diamond hali bila diamond ungekuwa unauza maji mtaani.hivi kwa akili yako ya kawaida tu . unataka kusema angeamua kujiuzuru mbele ya bwana yule angekuwa hai huyu?
Unajiuzuru kwa kuangalia nature ya kiongozi wako .
Msipende kurahisisha jamani . makamu wa rais ni mtu mkubwa katika nchi si rahisi kuachia kama unavyofikiria .Bora lakini umesimamia haki kuliko kujifanya harmonize unamponda diamond hali bila diamond ungekuwa unauza maji mtaani.
Kwann anamnanga aliyempa maisha ukosefu wa shukrani huo bila jiwe asingekuwa alipo hapo.Msipende kurahisisha jamani . makamu wa rais ni mtu mkubwa katika nchi si rahisi kuachia kama unavyofikiria .
Hivi unafahamu kuwa katika ushindi wa jiwe kulikuwa na jasho la Huyo mama?. Yeye kuwepo kwenye karatasi ya kupigia kura kikatiba na kisheria ni jambo zito sana .
Tujifunze kwa mgogoro wa Sudan kusini kati ya rais na makamu wake.
Mm nafikiri bosi ndiye anafaa ,aone ngumu kufanya kazi na surbodinates wake.Sio surbodinates aone ngumu kufanya kaz na bosi.Kama surbodinates ataona ngumu kufanya kazi na bosi,anaondoka .Je ww Mama Samia Kama ilikuwa ngumu kufanya kazi na bosi wako,mbona uliendelea kuwepo.?Je ulikuwa unafanya kazi gani?Mbona unafiki mtupu huu.Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli.
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO-19.
View attachment 2188625
Mbona Marehemu Idd Amini anasimangwa?Rais Samia akiwa Washington Dc, anasema wakati wa utawala wa awamu ya 5, mara kadhaa alijikuta anatofautiana na Rais Magufuli.
Mojawapo ya tofauti zao zilikuja kwenye suala zima la kudili na ugonjwa wa Uviko-19.
My take:
Rais Samia inatosha sasa, marehemu hasimangwi tumuache apumzike, tugange yajayo.
View attachment 2188626
Nan alikwambia tunahitaj? Nyie mliotoa rais mbona mkoa wenu ndio miongoni mwa mikoa maskini hohehahe?Uchaga umekujaa ndio maana hata urais mtaishia kutawala hapo machame tu
Kuna watu huwezi waambia lolote juu ya Magufuli, hawaji kukuelewa. Kwa sababu aliyoyafanya yameeleweka zaidi.Rais Samia akiwa Washington Dc, anasema wakati wa utawala wa awamu ya 5, mara kadhaa alijikuta anatofautiana na Rais Magufuli.
Mojawapo ya tofauti zao zilikuja kwenye suala zima la kudili na ugonjwa wa Uviko-19.
My take:
Rais Samia inatosha sasa, marehemu hasimangwi tumuache apumzike, tugyajayyajaymskubdi makubwa yanaundwa ajaym
Ni bahati mbaya tunatengeneza makundi maalum mawili yenye uelekeo tofauti.Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli.
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO-19.
View attachment 2188625