Rais Samia akiwa Washington Dc, anasema wakati wa utawala wa awamu ya 5, mara kadhaa alijikuta anatofautiana na Rais Magufuli.
Mojawapo ya tofauti zao zilikuja kwenye suala zima la kudili na ugonjwa wa Uviko-19.
My take:
Rais Samia inatosha sasa, marehemu hasimangwi tumuache apumzike, tugyajayyajaymskubdi makubwa yanaundwa ajaym
Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli.
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO-19.
View attachment 2188625
Ni bahati mbaya tunatengeneza makundi maalum mawili yenye uelekeo tofauti.