Wale vijana wa pale kariakoo wamenda wapi?Aaah wapi acha aseme ukweli. Ana hofu ya Mungu huyo. Umesikia watu wangapi wamepotea katika utawala wake toka 19th March? Hayupo na hatakuwepo.
Wewe ndio daktari wake kwamba alifariki kwa covid?Ile ambayo iliwezesha rais asifariki kwa covid kama hapo Kenya.
Ukiona hadi rais amefariki kwa covid jiulize kina John wangapi wamefariki mtaani
Tulieni mpewe majibu yenu shetani huyu na yule mwenzake wa Burundi walijidai wanajua sana.Mbona wazazi wako nao kesho tu utakuwa na msiba wao, je nao ni mashetani watafagiwa na corona?
Kufariki rais ni kielelezo kuwa hali ilikuwa mbaya sana. Lakini nani anajua wangapi walifariki wakati alikuwa hataki hata kukiri kama ugonjwa wenyewe upo?Wewe ndio daktari wake kwamba alifariki kwa covid?
Hizo njia mbona ziliua watu laki 5 Usa na kwingineko?
Kwa hiyo hizo njia zilikuwa ni za kumlinda rais tu?
Je covid sasa imeisha duniani?
Mbona mnakuwa wapumbavu namna hii?
Zikiwekwa wazi ndio umasikini kwenye ukoo wako utaisha?Sukuma gang tulia maana hata dhalimu hakufanya maisha yawe rahisi. Kupanick hakutakusaidia kitu wakati tabia za dhalimu zinawekwa wazi.
Siku yako yaja naona unaongea Kama wewe hutokufaTena ilimfagia kishenzi shetani yule.
Wewe una ushahidi kwamba ni covid?Leta ushahidi. COVID wiped him.To hell
Kuzipata hela za mabeberu lazima uwarambe miguu hata kama ni michafu.Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
View attachment 2188625
Mimi huwa sijibiwi hivyo wewe...alpha na omega...chuma...jiwe leo hii watu wanajipigia tuu!
Mzee kama angestaafu na kukubali kutoka madarakani basi angefariki baada ya mwaka mmoja tu maana sio kwa kusagiwa kunguni
Mimi huwa sijibiwi hivyo wewe...alpha na omega...chuma...jiwe leo hii watu wanajipigia tuu!
Mzee kama angestaafu na kukubali kutoka madarakani basi angefariki baada ya mwaka mmoja tu maana sio kwa kusagiwa kunguni hivi
Yule ni Hamnazo Kabisa. Ndio shida ya kuongozwa na mtu anaeingia period Kila wakatiMama ni kinyonga na ndumilakiwili. Hawa watu hata kwa Mungu huwa hawana nafasi hata kidogo
Ungangali ni kwenda USA?Dhaifu vipi wakati 'anadunda' na saivi ameenda US kwenda kuchukua madolari, dhaifu wameenda na 'wimbi' la uviko mzee.
Heeeee. Wee haya ngoja waje walinda legacy ππππRais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
View attachment 2188625
Hata wewe utakufa tu km shetani wenu.Siku yako yaja naona unaongea Kama wewe hutokufa
Mazwazwa ya jiwe enzi hizo yalijiona Sana yakajaribu kuididimiza kaskzn hasa KLM Ila yenyewe yakaangukia puaElitwege na thetallest mnaitwa huku. Legacy inapopolewa
Mbona wazazi wako nao watakufa, je nao ni mashetani?Tulieni mpewe majibu yenu shetani huyu na yule mwenzake wa Burundi walijidai wanajua sana.
Kutoboa kwenye nini?Huyu mama kiutani naona tunatoboa
Hakuna msukuma anayeamini kwa mwanamke . Nimeishi na hiyo jamii .Hilo naamini, na ukiangalia nature ya Jiwe alikuwa haamini katika mwanamke hasa katika nafasi za juu.
Yaani pale alimu'appoint' tu kama bahati mbaya kulinda 'empire' kwa ajili ya future yake ya 'umilele'!
Hali mbaya wapi?Kufariki rais ni kielelezo kuwa hali ilikuwa mbaya sana. Lakini nani anajua wangapi walifariki wakati alikuwa hataki hata kukiri kama ugonjwa wenyewe upo?