ChaterMaster
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 1,623
- 803
Tudokezee kidogo yaliyojiri mkuu...ututoe matongotongoSema yote mom wetu. Yule Dictator tunajua ya ndani alivyo Ku treat. Mungu akupe nguvu. Unayo support kubwa nyuma yako. Ningekuwa Mimi ni wewe katika hiyo nafasi na Yule Jamaa ningekimbikla uhamishoni kabisa. Lakini ulivumilia. Siku zote mvumilivu hula mbivuπ π π π
KAZI Iendelee. Endelea kuimarisha mahusiano mazuri ndani na nje ya nchi. Tanzania siyo kisiwa.
Sahihi mia kwa miaMama ni kinyonga na ndumilakiwili. Hawa watu hata kwa Mungu huwa hawana nafasi hata kidogo
Daah..mzee kumbe ashatangulia hell kabsa , watu wanajua yupo paradiao huko Kiranja wa Malaika..Leta ushahidi. COVID wiped him.To hell
Msema ukweli sio mwongo.acha ajisafishe angalau tupate misaadaRais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
View attachment 2188625
Yule alikuwa Mwamba haswa a.k.a CHUMAJamaa nilimkubali kwenye C - 19
Ni kweli yawezekanaSpeech za huyu mama zimejaa kumsema tu jiwe, yawezekana mzimu wa jiwe unamtafuna huyu mama taratibu taratibu
Atakuwa anaweweseka usiku
Yawezekana akawa mchawi au mzimu wa Magufuli unamtokea sana mchana na usiku kumsutaHuyu Mama LAZIMA atakuwa mchawi!
Kwani yy kafa kwa Corona? Au ndio wafuasi wa Kigogo.Unajua walikufa wangapi tukianzia na yy
Kwamba Rais anaweza kumfuta kazi Makamu wake?Kama kweli walitofautiana lakini akashindwa kusimamia alichokiamini mpaka mwisho basi hakuwa na msimamo.
Sikuwahi kumuona Samia akiwa amevaa barakoa wakati wa Magufuli, mtu pekee niliyemuona amevaa barakoa alikuwa ni Kikwete pekee, au kama, yupo aliyemuona Samia kuvaa barakoa wakati ule hata anioneshe picha na Magufuli akionekana.
Inawezekana Samia aliogopa kitumbua chake kisiingie mchanga akawa tayari kuweka reheni afya yake.
Haya, sasa utamuamini kiongozi wa namna hii kwa jambo lolote?Rais Samia amewambia wamarekani kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kufanya kazi na Magufuli...
Na alikuwa ana tofautiana nae sana kwenye mambo mengi hasa jinsi alivyokuwa ana kabiliana na swala la UVIKO 19
View attachment 2188625
Wanatabia ya kumsifia aliyepo kwa wakati huo kwa kila kitu .... nimeamini Tz inaweza kuwa kitovu cha unafiki Duniani khaa πIfike wakati ccm thinktanks na political strategists na hapa ndio unaona pengo la dr Bashiru Ally. Waliopo wakina Kinana, Mndolwa , mama Kamba , mkuchika wamshauri mama aachane kabisa na kumtaja Hayati JPM chuma negatively kisiasa hii itawapa wakati mgumu huko mbele.
Labda alikataa nyungu! Hatuwezi kujua mpaka aseme ni tofauti ipo hasa! Kauli nyingine mtihani sana nyakati hizi.Kama kweli walitofautiana lakini akashindwa kusimamia alichokiamini mpaka mwisho basi hakuwa na msimamo.
Sikuwahi kumuona Samia akiwa amevaa barakoa wakati wa Magufuli, mtu pekee niliyemuona amevaa barakoa alikuwa ni Kikwete pekee, au kama, yupo aliyemuona Samia kuvaa barakoa wakati ule hata anioneshe picha na Magufuli akionekana.
Inawezekana Samia aliogopa kitumbua chake kisiingie mchanga akawa tayari kuweka reheni afya yake.
sasa mnaokoteza visabau vya kijinga kabisa!hivi kwa akili yako ya kawaida tu . unataka kusema angeamua kujiuzuru mbele ya bwana yule angekuwa hai huyu?
Unajiuzuru kwa kuangalia nature ya kiongozi wako .
Unajua wewe Mkuu ni verified User?Huu ni upumbavu