Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo

Nataka nichaneee...../
Na mizuka ikipanda mniruhusu nitukanee.
🎶Nay Wamitego
 
Mi nadhani ungeweza kuandika hoja yako na kueleweka bila kumuita Rais mpumbavu.
 
Mama bora kaongea,maana kuna watu wanafanya vitu vyao huko sirini ili kutafuta huruma ya wananchi ili wapate madaraka!!
Pengine tuliogopa kukemea watekaji kwa sababu tunawategemea kutubeba wakati wa uchaguzi
 
Eti Kifo ni Kifo tu!! Maajabu ya Musa.

Ya Trump aliyetaka kuyafanya walimpata hara na amesomewa mashitaka haraka kesho yake! Yule wa awali alipata adhabu yake palepale.
Sasa mheshimiwa Rais Hawa wa kwako hawajulikani na hawatendi wajibu wao tangu tuyaone ya Lissu hivyo usiwanange waliokimbia kumbe basi Kuna mkono sio bure.
 
Yule mwanamuziki anajiita ROMA aliponea chupu chupu naye alitupwa huko huko Ununio kama sikosei. Serikali huwa wanatoka nakujidai wameumia lakini, wanajua wao ndio wahusika.

Eti wanachunguza, uongo uliokithiri huu. Mawazo aliuwawa wakasema wanachunguza, Ben Saanane wanachunguza, yule muandishi kuli kibiti wanachunguza, alitekwa Mohamed Dewji wakasema wanachunguza.

wametekwa vijana wa Chadema, wanachunguza, katekwa aliyechoma picha ya Bi Chura, wanachunguza.

Bora Magufuli aliposema hawachunguzi shambulio la Tundu Lisu, maana hakuona umuhimu kupoteza muda.

Hata huyo asipotezee watu muda kwa kutudanganya, aseme tu hatuchunguzi.
 
Wakati familia yake ikiwa kwenye msiba mzito wa kupoteza mpendwa wao, watanzania wa kipindi hicho watakuwa nao wakigonga glasi na kukejeli "kifo ni kifo tu"

Bahati mbaya yeye atakufa kifo cha huzuni sana lakini watu hawatajali, pambio litakalotembea ni "KIFO NI KIFO TU"

* Maisha ya duniani tunapita kwa muda mfupi sana, hivyo tuishi kwa upendo na kumthamini kila mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…