Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo

Rais Samia: Inashangaza kifo cha Kibao kimeibua wimbi kubwa, hii sio sawa, kifo ni kifo

Kama ana washauri na ndio wamempa ushauri aseme haya aliyosema leo basi nina uhakika 100% hao washauri wake hawampendi na hawamtakii mema.
 
Speaker wa Bunge Dr Tulia , wakati akitoa Pole baada ya Kifo cha Kibao ( RIP), aliandika katika Page yake kwamba Anachukia Kifo, watu wakamshambulia MTANDONI kwamba hakupswa kusema anachukia Kifo, kwa kuwa kile haikuwa ni Kifo bali yalikuwa ni Mauji. Wachangiaji walitaka waone akisema anachukia MAUAJI. Angalau yeye alisema anchukia Kifo regardless kimetokeaje. Lakini kinapokuwa ni kifo kinachotokana na Mauaji, hicho huwezi kusema eti Kifo ni Kifo tu. Pamekosekana Hekima Hapo, lazima tuwe wakweli, bila kujali itikadi zetu. Ingekuwa ni kule kwa wenzetu, hapo angekuwa alishatoa APOLOGY long.
Aise

Ova
 
Nimecheka kwa nguvu, bado mnapambana na ukweli kwa hizo mbinu za kizee? Safari hii 40 za mwizi zimefika. Aliyemwambia huyu Mama akitumia mbinu za dhalimu magu atatisha watu, basi ameukalia.
kwahiyo ukiona ukweli unahisi mbinu halafu tena eti unacheka?

uko sawa kweli gentleman? 🤣

malizeni uchaguzi wenu bana kwa amani, waTanzania tumechoka kuzika watu lakini pia tumechoka kuskia habari za Chadema kutekana na kupotezana kwasababu tu za uongozi wa Chama, kuweni na utu..

hata hivyo mtaulizwa siku ya mwisho 🐒
 
Pia amefananisha kifo cha mzee Kibao na vifo vingine tu mfano wanaohisiwa kuwa wachawi, albino nk.

Nimemshangaa sana rais sikuamini masikio yangu. Tuko nyuma sana.
Wwe kifo unakijua ni cha Mzee kibao tu!? Wengine vifo vyao huna habari navyo au siyo!!??
 
Pia amefananisha kifo cha mzee Kibao na vifo vingine tu mfano wanaohisiwa kuwa wachawi, albino nk.

Nimemshangaa sana rais sikuamini masikio yangu. Tuko nyuma sana.
Nilikua naona watu wanasema mweupe napita ila leo nimeamini
 
kwahiyo ukiona ukweli unahisi mbinu halafu tena eti unacheka?

uko sawa kweli gentleman? 🤣

malizeni uchaguzi wenu bana kwa amani, waTanzania tumechoka kuzika watu lakini pia tumechoka kuskia habari za Chadema kutekana na kupotezana kwasababu tu za uongozi wa Chama, kuweni na utu..

hata hivyo mtaulizwa siku ya mwisho 🐒
Yajayo yanafurahisha
Naona kuna washaruhusiwa
Kupita kwenye taa nyekundu

Ova
 
kwahiyo ukiona ukweli unahisi mbinu halafu tena eti unacheka?

uko sawa kweli gentleman? 🤣

malizeni uchaguzi wenu bana kwa amani, waTanzania tumechoka kuzika watu lakini pia tumechoka kuskia habari za Chadema kutekana na kupotezana kwasababu tu za uongozi wa Chama, kuweni na utu..

hata hivyo mtaulizwa siku ya mwisho 🐒
Bado hizi propaganda za kizee mnazitumia kwenye kizazi hiki?!
 
“Siku kadha zilizopita Ndugu zangu Nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa Kiongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za Watanzania na kuibua hisia kali hasa kwa Wafuasi wa Chama hicho, katika hali ya kushangaza kifo hicho kimeleta hisia kali pia kwa Wawakilishi wa baadhi ya Mataifa ya Nje wanaowakilisha Nchi zao hapa kwetu, nataka niungane nao na niseme kwamba kwasababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki na ndio maana Serikali tuliyalaani na kutaka uchunguzi wa haraka ufanyikke na ndivyo inavyofanyika Duniani kote”

“Nadhani nyie ni Mashahidi kule kwa wenzetu kulikoendelea kuna Mwanasiasa amekoswa kuuawa mara mbili (Trump) lakini tulichokisikia ni Serikali kutaka uchunguzi ufanyike kwahiyo si ajabu na kwetu baada ya tukio kutaka uchunguzi ufanyike na kazi nimeambiwa inaendelea vizuri”

“Baada ya tukio la Mzee Kibao nimekuwa nikiangalia maoni ya Viongozi mbalimbali wa kisiasa, Viongozi wa Dini baadhi yao wakiniomba nikemee mambo hayo, maoni ya Wazee mashuhuri nimemsikia Mzee wetu Butiku nae kasema, Wawakilishi wa Mataifa ya Nje hapa Nchini nao wametoa tamko, Jumuiya za Kiraia na Wananchi kwa ujumla na wenyewe wamesema waliyosema “

“Hisia za makundi yote niliyotaja zikiibuliwa na kifo kimoja tu cha Ndugu yetu Kibao lakini kuna vifo vinasemwa muda baada ya muda, Watoto Albino wanauliwa, Watoto wadogo wanauliwa, sijui Mzee kahisiwa uchawi kauliwa mpaka leo Watoto watatu wamekutwa wameuliwa huko Dodoma”

“Inashangaza kifo cha Ndugu yetu kibao kimeibua wimbi kubwa, kulaani, kusikitika, kulaumu kuita Serikali ya wauaji, kufanyaje, hii sio sawa, kifo ni kifo, tunachotakiwa kufanya Watanzania wote tukemeeane, tusimame imara kukemea mambo haya, damu ya Mtanzania ituume tusiwe tunamwaga damu bila sababu” —— Rais wa Tanzania, Dkt. Samia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro leo September 17,2024

My Take
Mautekaji ni kama yamechochewa tu, kutoka "drama"" mpaka "mtu mmoja tu".

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kifo ni kifo wanaokufa ni wapuuzi ndio maana wenye mamlaka hawajali kitu,kumbe siku Rais akipigwa risasi hadharani na akafa tusishituke maana kifo ni kifo tu.Basi yote yumuachie MUNGU TU.
 
“Siku kadha zilizopita Ndugu zangu Nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa Kiongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za Watanzania na kuibua hisia kali hasa kwa Wafuasi wa Chama hicho, katika hali ya kushangaza kifo hicho kimeleta hisia kali pia kwa Wawakilishi wa baadhi ya Mataifa ya Nje wanaowakilisha Nchi zao hapa kwetu, nataka niungane nao na niseme kwamba kwasababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki na ndio maana Serikali tuliyalaani na kutaka uchunguzi wa haraka ufanyikke na ndivyo inavyofanyika Duniani kote”

“Nadhani nyie ni Mashahidi kule kwa wenzetu kulikoendelea kuna Mwanasiasa amekoswa kuuawa mara mbili (Trump) lakini tulichokisikia ni Serikali kutaka uchunguzi ufanyike kwahiyo si ajabu na kwetu baada ya tukio kutaka uchunguzi ufanyike na kazi nimeambiwa inaendelea vizuri”

“Baada ya tukio la Mzee Kibao nimekuwa nikiangalia maoni ya Viongozi mbalimbali wa kisiasa, Viongozi wa Dini baadhi yao wakiniomba nikemee mambo hayo, maoni ya Wazee mashuhuri nimemsikia Mzee wetu Butiku nae kasema, Wawakilishi wa Mataifa ya Nje hapa Nchini nao wametoa tamko, Jumuiya za Kiraia na Wananchi kwa ujumla na wenyewe wamesema waliyosema “

“Hisia za makundi yote niliyotaja zikiibuliwa na kifo kimoja tu cha Ndugu yetu Kibao lakini kuna vifo vinasemwa muda baada ya muda, Watoto Albino wanauliwa, Watoto wadogo wanauliwa, sijui Mzee kahisiwa uchawi kauliwa mpaka leo Watoto watatu wamekutwa wameuliwa huko Dodoma”

“Inashangaza kifo cha Ndugu yetu kibao kimeibua wimbi kubwa, kulaani, kusikitika, kulaumu kuita Serikali ya wauaji, kufanyaje, hii sio sawa, kifo ni kifo, tunachotakiwa kufanya Watanzania wote tukemeeane, tusimame imara kukemea mambo haya, damu ya Mtanzania ituume tusiwe tunamwaga damu bila sababu” —— Rais wa Tanzania, Dkt. Samia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro leo September 17,2024

My Take
Mautekaji ni kama yamechochewa tu, kutoka "drama"" mpaka "mtu mmoja tu".

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kifo ni kifo wanaokufa ni wapuuzi ndio maana wenye mamlaka hawajali kitu,kumbe siku Rais akipigwa risasi hadharani na akafa tusishitike maana kifo ni kifo tu.Basi yote yumuachie MUNGU TU.
 
Bado hizi propaganda za kizee mnazitumia kwenye kizazi hiki?!
Maombi yangu kwa Mungu yako pale pale, Chadema malizeni uchaguzi wenu kwa salama na amani.

tafadhalini sana jaman dah, mtauana mpaka lini sasa ndrugo zango kisa uongozi tu?🐒
 
“Siku kadha zilizopita Ndugu zangu Nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa Kiongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za Watanzania na kuibua hisia kali hasa kwa Wafuasi wa Chama hicho, katika hali ya kushangaza kifo hicho kimeleta hisia kali pia kwa Wawakilishi wa baadhi ya Mataifa ya Nje wanaowakilisha Nchi zao hapa kwetu, nataka niungane nao na niseme kwamba kwasababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki na ndio maana Serikali tuliyalaani na kutaka uchunguzi wa haraka ufanyikke na ndivyo inavyofanyika Duniani kote”

“Nadhani nyie ni Mashahidi kule kwa wenzetu kulikoendelea kuna Mwanasiasa amekoswa kuuawa mara mbili (Trump) lakini tulichokisikia ni Serikali kutaka uchunguzi ufanyike kwahiyo si ajabu na kwetu baada ya tukio kutaka uchunguzi ufanyike na kazi nimeambiwa inaendelea vizuri”

“Baada ya tukio la Mzee Kibao nimekuwa nikiangalia maoni ya Viongozi mbalimbali wa kisiasa, Viongozi wa Dini baadhi yao wakiniomba nikemee mambo hayo, maoni ya Wazee mashuhuri nimemsikia Mzee wetu Butiku nae kasema, Wawakilishi wa Mataifa ya Nje hapa Nchini nao wametoa tamko, Jumuiya za Kiraia na Wananchi kwa ujumla na wenyewe wamesema waliyosema “

“Hisia za makundi yote niliyotaja zikiibuliwa na kifo kimoja tu cha Ndugu yetu Kibao lakini kuna vifo vinasemwa muda baada ya muda, Watoto Albino wanauliwa, Watoto wadogo wanauliwa, sijui Mzee kahisiwa uchawi kauliwa mpaka leo Watoto watatu wamekutwa wameuliwa huko Dodoma”

“Inashangaza kifo cha Ndugu yetu kibao kimeibua wimbi kubwa, kulaani, kusikitika, kulaumu kuita Serikali ya wauaji, kufanyaje, hii sio sawa, kifo ni kifo, tunachotakiwa kufanya Watanzania wote tukemeeane, tusimame imara kukemea mambo haya, damu ya Mtanzania ituume tusiwe tunamwaga damu bila sababu” —— Rais wa Tanzania, Dkt. Samia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro leo September 17,2024

My Take
Mautekaji ni kama yamechochewa tu, kutoka "drama"" mpaka "mtu mmoja tu".

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Ataelewa iwapo wanae watawa victims. Yaani watu kupoteza na kuuawa kwake ni matukio ya kawaida kwa vile yanatokea kila mahali. Seriously!?

Actually, alichokisema ni dharau kubwa kwa familia ya Mzee Kibao ukizingatia kuwa alitoa statement na kutuma Waziri wake kuonyesha sympathy.

Halafu kumlinganisha ule ukatili na ujangili... She's too Naive.
 
Back
Top Bottom