Rais Samia ingilia kati utoaji wa mikopo mwaka 2023. Kwa Trend hii ya HESLB, wengi hawatakwenda vyuoni

Halafu hapo hapo wanajiita CHAWA WA MAMA"utawasaidiaje hapo?!!
 
kijana anahitimu form IV daraja la IV la pointi 30 huko, anaungaunga na baada ya miaka mitano au sita unamkuta na shahada ya uzamili! Form IV failure!
kaka hii nimeishuhudia sana. Tunatengeneza wasomi wajinga mnooo sijui itakuaje vizazi vyetu vya huko mbele. Inasikitisha sana.
 
Poleni sana madogo,mikopo inaumiza mgejua mge achana nayo au kufurahia hicho kidogo mnachopata.
 
Moderator asante sana kwa kurekebisha heading.
JF ina impact naona sasa hata inbox msg za waombaji zimerekebishwa. Mfano walikuwa wanatoa msg hii
Conglatulation your application is verified complete wait for ALLOCATION PROCESS

Sasa wanasema: Your application is being processed! which makes sense kuliko hiyo hapo juu ya congratulations!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…