Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Anayejua tutapoteza nini anifafanulie,mimi binafsi sina cha kupoteza.
 
You tell me, mimi najua vyote ni nchi zinazoundwa na visiwa vingi na kuna tofauti za kisiasa hutokea ila bado havijawahi kujitenga

Kama hujui, sasa tija ya kujaribu kulinganisha vitu usivyovijua vizuri itatoka wapi?
 
Naupenda sana Muungano wetu; lakini hapo hapo sipendi kulazimishana au kufanyiana ujanja ujanja; mmoja akifaidika zaidi ya mwingine katika muungano huo.

Waasisi wa Muungano hawakuwa na malengo ya huu tulionao sasa, kwa kushindwa kwetu kuuimarisha na kuustawisha ili Muungano uwe na manufaa kwa wote.

Ni uamini wangu kwamba, hata Samia awe na nia ya kuuvunja Muungano, sidhani kwamba atakuwa na ujasiri wa kufanya hivyo na yeye akabaki amesalimika na heshima zake.

Huu Si muungano ni uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar
 
Tatizo hulioni? Ukiiondoa “Tanganyika” na ikasimama yenyewe, Rais wa Muungano wa “Tanzania” atabaki anahanghang tu. Nyerere hakuwa fala.

Harafu kwanini tujipe mzigo wa kuwa na Serikali ya tatu isiyokuwa ardhi wala tija?
Laanatullahi Nyerere aliivamia Zanzibar Na kuuwa maelfu ya watu.na ndio akawa anaogopa kuvunjika kwa uvamizi aliouita muungano kwani angalishitakiwa
 
Nje ya Muungano, hakuna Zanzibar isipokuwa kuna Unguja na Pemba. Kama wanadhani sumu inaonjwa, wajaribu waone. Haitaisha miaka mitano kabla Tanganyika haijapokea wakimbizi kutoka upande huo!

Hayo ni maneno ya Laanatullahi aliyevamia Zanzibar Na kuuwa maelfu ya watu. Laanatullahi Nyerere kwani kablar ya kuivamia Zanzibar hiyor Unguja Na Pemba haikuweko?
 
wapeni wakojani nchi yao, in 1 yrs yatakuja mataifa mengi huru Zanzibar, Moja itaitwa Jamhuri ya Unguja na Nyingine itaitwa jamhuri ya Pemba...

Watuachie nasisi wamakonde Taifa letu Tanganyika, kama vipi ipigwe kura..

Kanisa katoliki Na Padri Laanatullahi Nyerere ndiyo maneno yao hayo katika vita vyao dhidi ya uislamu Zanzibar
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Acha wajitenge aisee, kila mtu apambane na hali yake
 
Narudia tena hakuna mtanzania mpumbavu wa kupigia kura mwanamke tena asiye na akili timamu ,kuwa rais 2025 ...shika sana haya maneno yangu
Kwa mambo anayofanya huko mikoani anaweza kupata kura nyingi kuliko alizopata JPM.

Mfumo dume unatawala akili yako na hakuna wa kukusaidia, usipoangalia utaenda ndani ya kaburi na kinyongo.
 
Kuna hoja ya 'kipuuzi sana' inayoenezwa na wapotoshaji kuhusu uwepo wa serikali 3 utaongeza gharama

Hakuna gharama yoyote itakayoongezeka hasa kwa Tanganyika

Rais SSH akisafiri anakwenda na timu mbili, ya JMT na ya SMZ. Tofauti iliyopo ni kwamba timu ya JMT ndiyo inagharamia timu ya SMZ. Mfano Waziri wa Utalii wa Zanzibar alikwenda kwenye Royal tour lakini gharama za ujumbe wa Zanzibar zilibebwa na JMT ambayo ni Tanganyika.

Pili, kuna taasisi gani ya JMT isiyo na mbadala Zanzibar? Maana yake ni moja Taasisi za JMT ni za Tanganyika
Tatizo linakuja kwamba Zanzibar wakitaka mafao wanatumia jina la JMT. Mfano, wakitaka mikopo wanapata kutoka JMT lakini kulipa wanajiita SMZ na kuacha mzigo wa deni kwa Tanganyika.

Kuendesha taasisi za muungano limekuwa jukumu la JMT ambayo ni Tanganyika. Kunapokuwepo na mafao Zanzibar wanatumia jina la Tanzania. Kwa mfano, BoT inawapa 4.5% ya pato la Tanganyika kutokana na vyanzo vyote

Bajeti ya Zanzibar 2022/23 ni Tsh 2.5. Hakuna mahali kuna kipengele cha kulipa madeni yanayotokana na mikopo, hakuna bajeti ya Ulinzi, Mambo ya ndani, nje wala uchangiaji wa taasisi za muungano kama mishahara ya Wafanyakazi ambayo Zanzibar inapata 21%. Gharama hizo anabeba Mtanganyika

Kwa wale wanaosema kuna gharama, njooni mtuonyeshe gharama za serikali 3 zipo wapi?

Tuna serikali 3 leo hii isipokuwa serikali ya 3 imefichwa ndani ya Tanganyika.
Tanganyika inabeba serikali 2 ya Tanganyika na ya muungano ambayo Zanzibar wamo

Serikali 3 itakuwa na mambo 7 kwa mujibu wa rasimu ya Warioba. Hayo 7 ndiyo yatampa Rais wa JMT uwezo, kama vile ulinzi, mambo ya ndani, nje , Fedha, vyama vya siasa n.k.

Tanganyika itasimamia mambo yake na Zanzibar itakuwa na yake ! hilo ndilo suluhisho
Kinyume chake leo Zanzibar wanafurahia kwasababu ''kero zao'' zimemalizwa bila kutumia sheria

Ipo siku Rais atatoka Tanganyika kama ilivyotokea miaka 6 na kufuta mambo yote yasiyo kisheria
Ikitokea hivyo Wazanzibar watasema nini?Watamlaumu nani?

JokaKuu Pascal Mayalla
Huu ndio ukweli mchungu..zenji ni kupe kwa Tanganyika kupitia serikali ya JMT.

Hii si sawa.

I go for one Government.

#MaendeleoHayanaChama
 
kwani kuna tatizo gani kama nchi ya Zanzibar itapata uhuru wake kamili kutoka kwa mkoloni Tanzania bara?
 
Ujinga ni mzigo, Tanzania bara imepakana na nchi ngapi lakini hazijawahi kuwa tishio kiusalama? Kwanini kupakana na Zanzibar iwe tatizo kiusalama?! Kwamba Zanzibar ikija kuwa nchi kamili Tanganyika itakuja kuwa week kijeshi?
Logic ya usalama ni propaganda muflisi ya kujustify uhuni wa Tanganyika Zanzibar.
 
Kwanza tukubaliane jambo lolote likifanyika kwa utashi hafifu hakuwez kuwepo harmonization au tranquility.
Ukweli ni Zanzibar na bara tunapendana na tunahitajiana tatizo ni siasa chafu za ccm na counter parties.
Muungano ukivunjika zanzibar atanufaika kwa vile ni nchi ndogo inaweza kujiboresha kiuchumi na kijamii kwa uwekezaji mdogo.
Lakin wazenj wamewekeza sana bara kuliko bara kule. Watajiumiza katika kushift mitaji na mali hasa ya ardhi.
Bara tutakuwa tumekarbisha upinzani hasa wa mapato ya bandari. Pia kuweka ugumu katika kudhibiti revenue kutokana na ukubwa wa goli la ukanda wa bahari. Hili linaongeza hofu ya usalama pia. Hata nchi za west na ukolon mamboleo wao hazitafurahia kwa hofu ya udhibit wa sera za kiarab na hata ugaidi. Zanzibar na mwarabu ni kitu kile kile.
Ukijumlisha yote haya, dawa ni UWEPO WA SERKALI MOJA!(rais 1, bunge 1, mahakama 1)
Serkali 3 ni aghali na italeta mvutano wa kimamlaka ya juu.
Muungano wa mkataba sio imara kias cha kuaminiana kwa mipango ya muda mrefu. (Ni sawa na utofaut wa nguvu ya commitment kat ya ndoa ya kikristo na kiislam!)
Ili kufika huko lazma ccm ife na vyama vya siasa vifutwe tuanze upya usajiri na siasa za kistaarab.
Namaanisha hivi, wa kutufikisha huko inabid atoke nje ya mifumo iliyopo kwa sasa. Nikiangalia zanzibar na wazanzibar walivyo, kama si ccm na siasa chafu za kibabe na counter attacks za upinzan wana kiwango cha juu kabsa cha ustaarab kama eden kabla ya nyoka kuchafua hali ya hewa! (na ukristo wang na mizimu, hapa ndo huwa nausifu uislam.....HAKI).
Niseme wazi, tangu dunia kuwepo, shangazi Samia na braza hussein Mungu kawaleta km manabii wa mwisho wa kisiasa kuiweka zanzibar inapostahili. Mna deni kuliko rais wote waliopita maana haitatokea chance au goli la waz kama hili tena!
Najua nchi zetu za kiafrica (quasi sovereign) zinakuwa monitored kwa nje lakin uwepo wenu kwa pamoja hivi ni mpango wa Mungu na dua za wote wapenda haki, heshma na usawa! Mna deni kubwa mno! Mkishindwa kabsa kuifuta ccm zanzibar kiakili, bas kupitia ustaarab wenu wa kurith ifanye zenj ya kutoskia siasa za dam. Adui mkubwa wa ustaarab ni unmonitored democracy!
.....(mniwie radhi sina kipaj cha kupresent bila utan na mzaha. Sipendi mambo ya kuwa serious napenda mambo ya kuwa reasonable!)
Umeharibu mwishoni kwa kuandika uharo mtupu ulipo ingiza hoja za imani.[emoji706]

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
hivi tulivo njaa na umaskini ni hatari tosha... sasa zanzibar kujitegemea kunaihusu nini Tanganyika? unataka iendelee kubebwa na TZ mpaka lini? mbona wewe umekimbia kwa mamayo unajitegemea au tukulazimshe urudi ukaendelee kunyonya kwa mama? acheni mambo ya kizwazwa ya lumumba
 
Zanzibar wakijitenga lazima iwe centre ya magaidi na utawala utotumia islamic law...lazima uwe utawala wa kitaliban
Hatuwezi ruhusu hili litokee..zenji lazima iwe semi autonomy.

#MaendeleoHayanaChama
 
Itaruhusiwa na nani?? lete mkataba wa muungano hapa kwamba Zanzibar ili iwe huru itahitaji ruhusa kutoka Tanganyika.

Kumbe wewe ni jamii ya Lukuvi na kina Ndugai ...piriad., Tanganyika si mna jeshi lenu na mipaka yenu, Zanzibar kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ni nchi huru na mipaka yake imeonyeshwa kwenye Katiba ni hila za Mchongameno tu Zanzibar kuwa hivi ilivyo sasa.

Mungu ampe nguvu mama samia alete hii Katiba Wazanzibari warudi kama walivyokuwa na mamlaka yao hapo baada ya mapinduzi., vichogo vimetapakaa Zanzibar
Kwa kauli yako ya mwisho..unaonesha jinsi gani chuki imakujaa moyoni na wewe utakua ni mwarabu koko hizbu...kwa taarifa yako tu hilo halitowezekana maisha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Karume ndiye alikuwa mjinga. Angekuwa mjanja angeukataa Muungano kama Kenyatta alivyoukataa.
Tutaudumisha muungano..sasahivi tunatatua kero za muungano ikiwepo suala la ardhi ya zenji kuwa huru hata kwa wabara.

Ila kuvunja muungano na kuipa zenji mamlaka kamili sahauni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom