jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Inshu sio mipata ya ardhi..inshu ni mipaka ya ardhi..muungano utadumu maisha.Huo ni wasi wasi usio na mashiko, na nitatoa mifano; Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Kongo, Zambia, Malawi na Msumbiji ni nchi huru tumepakana nao kwa ardhi ni mpaka upi wa hatari kuliko mwingine kwangu mimi naona ardhi ni hatari zaidi. Pili kama haya ndio matakwa yao wewe Mtanganyika unazuiaje au uhatarishi unatoka wapi (enzi zile za Cold war umepita kama wao wanataka kuurudisha Usultani sisi unatuhusu nini?) mfano mwingine COMORO ni taifa huru just nearby. Ni bora wakawa na serikali yao kamili na sisi tukawa na yetu na kama kuna haja ya ushirikiano maalum basi uwekwe kwa maslahi ya wote, tunaweza kushirikiana through EAC kwa mfano. Sio kuwaburuza. Kwa Technolojia ya sasa, makombora ya masafa marefu/mafupi ni nani alie salama ukaribu au umbali sio kigezo tena cha usalama. Kigezo kikubwa cha usalama ni kuishi na wengine kwa kuheshimiana bila kuumizana (win win situation).
#MaendeleoHayanaChama