Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Tumeambiwa muuungano ni mwanaharamu wa cold war-kuzuia Zanzibar isiwe kitovu cha ukomonisti . Times have changed wanzazibari deserve hearts desire-kitu roho inapenda, mamlaka kamili.
 
Acha chuki za kilukuv ww kubwa jinga
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
 
Huyo uliemtaja unamuona kama asiyekosea co???
Tatizo hulioni? Ukiiondoa “Tanganyika” na ikasimama yenyewe, Rais wa Muungano wa “Tanzania” atabaki anahanghang tu. Nyerere hakuwa fala.

Harafu kwanini tujipe mzigo wa kuwa na Serikali ya tatu isiyokuwa ardhi wala tija?
 
Umoja ni nguvu, Jicho lako halioni mbali, hasa katika securty wise #shutup
mkuu uko sahihi kabisa. Lakini kuna nchi ziko strategically katika maeneo hatari sana. Nchi kama indonesia, ingekuwa dhana hii ya usalama ni sahihi basi indonesia pangekuwa mahali hatari sana kuishi kwa sababu ya wingi wa visiwa vyake vilivyotapakaa kila mahali. Kila meli, iwe ya usalama au hatari ya kila nchi au kikundi hata cha ugaidi inaruhusiwa kupita.

Tz tukiondokana na dhani hii ya zanzibar eti kuwa tishio kwa Tanganyika kiusalama, ndipo tutatengeneza muungano imara na wenye tija, kuliko muungano huu wa sasa ambao umejaa malalamiko kwa pande zote mbili.
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Zanzibar haiwezi kamwe kuwa nchi kwa sababu muungano una masrahi kwa mabeberu na sio bara
 
Kuendelea au kutoendelea baada ya 2025 ni mpango wa Mungu. Lakini kama akiendelea kufanya kazi kama anavyofanya huku akitekeleza miradi yote iliyoachwa na hayati na hii mipya ya sasa, hizi nyuzi za fitina zitakuwa ni kazi bure tu.

Huko mikoanii zinapojengwa shule nyingi na mahospitali na unaposambazwa umeme kila kukicha hawana muda na nyuzi kama hizi, SSH ni mpaka 2030 panapo uhai.
Narudia tena hakuna mtanzania mpumbavu wa kupigia kura mwanamke tena asiye na akili timamu ,kuwa rais 2025 ...shika sana haya maneno yangu
 
Mimi napenda iwe nchi huru hakuna ubaya wowote kwani iliwahi kuwa huru na mpaka ikajiunga na umoja wa mataifa
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Bora wavunje tu ili tuwafukuze wapemba wote mitaani maana ni wachafu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Kwani kuna tatizo? Hata hivyo sisi Watanganyika hatuna maslahi yoyote na Zanzibar na tunatamani huo muungano wa kitapeli uvunjike kila nchi ipambane kivyake
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
TISS? Ifanye nini wakati mmiliki wake ni Rais huyo huyo?
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
mmh weka hizo dalili kuwa Zanzibar kupewa Mamlaka kamili ya kinchi
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Huyu Bibi hawezi hawezi panda hicho kilima. Anazuga tu kuwa concern ila ukweli ndio huo hakuna katiba mpya kwa haya majizi.
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Ujinga ni mzigo, Tanzania bara imepakana na nchi ngapi lakini hazijawahi kuwa tishio kiusalama? Kwanini kupakana na Zanzibar iwe tatizo kiusalama?! Kwamba Zanzibar ikija kuwa nchi kamili Tanganyika itakuja kuwa week kijeshi?
 
Haya mambo ya Zanzibar kuwa na mamlaka kamili yataamuliwa na muda,ipo siku ile nguvu inayoushikilia muungano uendelee kuwepo itakuja kuexpire,kama uliwezackuvunjika muungano mkubwa wa Soviet union yaani USSR,sembuse huu ambao tayari umeanza kuonyesha kero nyingi tu ambazo zinafunikwa funikwa.
 
Tutengane kila eneo liangalie maswala yake kiuongozi na swala la usalama baharini liwe la ushirikiano
 
Mganga anakupa hirizi halafu anakwambia ichunge sana hiyo ndio kinga yako,
Sasa sijui nani anmlinda mwezake,
Ndio haya ya muungano eti tanganyika inategemea zanzibar kwenye usalama wake,
Kweli mipumbavu inchi hii haitaisha
 
Back
Top Bottom