Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Itaruhusiwa na nani?? lete mkataba wa muungano hapa kwamba Zanzibar ili iwe huru itahitaji ruhusa kutoka Tanganyika.

Kumbe wewe ni jamii ya Lukuvi na kina Ndugai ...piriad., Tanganyika si mna jeshi lenu na mipaka yenu, Zanzibar kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ni nchi huru na mipaka yake imeonyeshwa kwenye Katiba ni hila za Mchongameno tu Zanzibar kuwa hivi ilivyo sasa.

Mungu ampe nguvu mama samia alete hii Katiba Wazanzibari warudi kama walivyokuwa na mamlaka yao hapo baada ya mapinduzi., vichogo vimetapakaa Zanzibar
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Uzi wa fitina huu. Uzi wa shari au wengine wanaita ugomvi.
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Wajitenge tu kwanza hawana faida na sisi, ka kisiwa tu haka tukaogope? Kwanza kila aliye idara ya usalama na mi mzawa wa huku arejee chap, wakae na uswahili wao huko
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
mmeanza kumtisha tena kama mlivyofanya kwa JK siyo !!
 
Akifanya hivyo automatically ana risk nafasi yake ya kuwa Rais.
Acha woga mama ni Rais wa JMT ndio mkuu majeshi na kamanda mkuu wa majeshi ya JMT., Ndugai yuko wapi alijaribu kutingisha kibiriti, Lukuvi walianza kuleta ngebe ngebe
 
Kama jimbo la Taxas la USA linaanda kura ya maoni kujitenga na US mwaka 2023 kwanini, Zanzibar uikataza, muache uoga wa mabadiliko.
Wenye nchi zao wanafikiria kuhusu ugumu wa maisha. Ni hoja ambayo kama JPM angekuwa hai isingeweza kuibuliwa wala kujadiliwa.
 
Siyo kweli ..kwa kuwa yeye mwenyewe kesha jua mwisho wake 2025 ..sasa hivi mpango wa yeye kugombea 2025 umekwisha kufifia moyoni mwake kwa kuto kukubalika na yeye mwenyewe kugundua kuwa akili zake ni ndogo sana baada ya kupinga njia za magufuli ila baada ya mambo kuanza kuharibika ndiyo ana rudi kufata njia za jpm
Kuendelea au kutoendelea baada ya 2025 ni mpango wa Mungu. Lakini kama akiendelea kufanya kazi kama anavyofanya huku akitekeleza miradi yote iliyoachwa na hayati na hii mipya ya sasa, hizi nyuzi za fitina zitakuwa ni kazi bure tu.

Huko mikoanii zinapojengwa shule nyingi na mahospitali na unaposambazwa umeme kila kukicha hawana muda na nyuzi kama hizi, SSH ni mpaka 2030 panapo uhai.
 
Tatizo hulioni? Ukiiondoa “Tanganyika” na ikasimama yenyewe, Rais wa Muungano wa “Tanzania” atabaki anahanghang tu. Nyerere hakuwa fala.

Harafu kwanini tujipe mzigo wa kuwa na Serikali ya tatu isiyokuwa ardhi wala tija?
Mzigo upi kiongozi? Zanzibar watakuwa na serikali yao kwa gharama zao, Tanganyika watakuwa kwao na Serikali yao halafu Serikali shirikishi wakikubaliana itakuwepo kwa gharama za pande zote kwa mujibu wa makubaliano kama hamtataka kila nchi itabeba uhuru wake.,

Ni jambo jema kutakuwa na Passport ya Zanzibar, tanganyika mtarudia jina lenu muache kujivisha koti la Muungano kama ndio jina la nchi yenu., jisikieni fakhari kwa Tanganyika yenu kama wazanzibar wanavyojivunia kuwa na jina la Zanzibar
 
Kuna hoja ya 'kipuuzi sana' inayoenezwa na wapotoshaji kuhusu uwepo wa serikali 3 utaongeza gharama

Hakuna gharama yoyote itakayoongezeka hasa kwa Tanganyika

Rais SSH akisafiri anakwenda na timu mbili, ya JMT na ya SMZ. Tofauti iliyopo ni kwamba timu ya JMT ndiyo inagharamia timu ya SMZ. Mfano Waziri wa Utalii wa Zanzibar alikwenda kwenye Royal tour lakini gharama za ujumbe wa Zanzibar zilibebwa na JMT ambayo ni Tanganyika.

Pili, kuna taasisi gani ya JMT isiyo na mbadala Zanzibar? Maana yake ni moja Taasisi za JMT ni za Tanganyika
Tatizo linakuja kwamba Zanzibar wakitaka mafao wanatumia jina la JMT. Mfano, wakitaka mikopo wanapata kutoka JMT lakini kulipa wanajiita SMZ na kuacha mzigo wa deni kwa Tanganyika.

Kuendesha taasisi za muungano limekuwa jukumu la JMT ambayo ni Tanganyika. Kunapokuwepo na mafao Zanzibar wanatumia jina la Tanzania. Kwa mfano, BoT inawapa 4.5% ya pato la Tanganyika kutokana na vyanzo vyote

Bajeti ya Zanzibar 2022/23 ni Tsh 2.5. Hakuna mahali kuna kipengele cha kulipa madeni yanayotokana na mikopo, hakuna bajeti ya Ulinzi, Mambo ya ndani, nje wala uchangiaji wa taasisi za muungano kama mishahara ya Wafanyakazi ambayo Zanzibar inapata 21%. Gharama hizo anabeba Mtanganyika

Kwa wale wanaosema kuna gharama, njooni mtuonyeshe gharama za serikali 3 zipo wapi?

Tuna serikali 3 leo hii isipokuwa serikali ya 3 imefichwa ndani ya Tanganyika.
Tanganyika inabeba serikali 2 ya Tanganyika na ya muungano ambayo Zanzibar wamo

Serikali 3 itakuwa na mambo 7 kwa mujibu wa rasimu ya Warioba. Hayo 7 ndiyo yatampa Rais wa JMT uwezo, kama vile ulinzi, mambo ya ndani, nje , Fedha, vyama vya siasa n.k.

Tanganyika itasimamia mambo yake na Zanzibar itakuwa na yake ! hilo ndilo suluhisho
Kinyume chake leo Zanzibar wanafurahia kwasababu ''kero zao'' zimemalizwa bila kutumia sheria

Ipo siku Rais atatoka Tanganyika kama ilivyotokea miaka 6 na kufuta mambo yote yasiyo kisheria
Ikitokea hivyo Wazanzibar watasema nini?Watamlaumu nani?

JokaKuu Pascal Mayalla

You must be kidding! Kumbe hata jambo rahisi nalo ni rocket science?

Hujui kwamba Muungano wa Serikali tatu maana yake:
1. Three legislative branches?
2. Three executive branches?
3. Three judiciary branches?
 
Tatizo hulioni? Ukiiondoa “Tanganyika” na ikasimama yenyewe, Rais wa Muungano wa “Tanzania” atabaki anahanghang tu. Nyerere hakuwa fala.

Harafu kwanini tujipe mzigo wa kuwa na Serikali ya tatu isiyokuwa ardhi wala tija?
Basi tuwe na serikali moja, serikali mbili ni mzigo mzito
 
Nje ya Muungano, hakuna Zanzibar isipokuwa kuna Unguja na Pemba. Kama wanadhani sumu inaonjwa, wajaribu waone. Haitaisha miaka mitano kabla Tanganyika haijapokea wakimbizi kutoka upande huo!
Mbona kuna visiwa vya Komoro havijaungana ila ni nchi moja
 
Nje ya Muungano, hakuna Zanzibar isipokuwa kuna Unguja na Pemba. Kama wanadhani sumu inaonjwa, wajaribu waone. Haitaisha miaka mitano kabla Tanganyika haijapokea wakimbizi kutoka upande huo!
Zama za tanganyika kuikalia kijeshi Zanzibar zimeisha elewa hivyo., tunataka kuona kama Mama anaumizwa na Zanzibar basi afanye hima hima huu ndio muda, wenye chuki na fikra za mchongameno tuone maumivu yao, nyerere alikuwa binadamu si zaidi ya chochote
 
Tulia dawa ikuingie si huwa mnasema Zanzibar haina maana nyie?

Rasimi ya Warioba inataka hivyo,kwa nini alioendekeza Serikali 3 badala ya serikali moja au mbili?

Unajua maana ya sovereign state? Muungano wa Serikali 3 haina maana ya 3 sovereign states!
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Ramli chonganishi hiyo
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
""Stop day dream there no such a #shits, madam fight much for zanzibar rights according to mutual agreements entered before, ""
S. gang wanachokonoa kwa mlango mwingine.
 
Back
Top Bottom