Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Mbona mnapenda sana kukuza nguvu ya TISS, kikwete alipowapa katiba mpya inayotambua Zanzibar kama nchi yenye mamlaka kamili JK alikufa? In fact mpaka kura ya maoni ikapigwa na muundo wa serikali ukabadilishwa kuwa SUK kuna mtu alikufa??

Nchi hii Rais ndio ana sauti ya mwisho ndio maana mlikataa chanjo Samia kasema chanjo lazima na hamna kitu mmemfanya. Hao TISS ni makada wa CCM sio kwamba wako pale kwa maslahi Yako wewe.
 
Usalama wa kitu gani labda? Ni kipi so special hapa bara ambacho Zanzibar ndio inapaswa kuwa kinga yetu? Au ni muungano wa kitambiko kiasi kwamba ukivunjika mizimu itafanya yake?
Mtoa Mada kaandika kwa akili kubwa sana..lakini wewe ume reply kwa akili ya kawaida sana. Zanzibar ni kisiwa kile. soon after their isolation from Union government. its going to be the center of terrorism na hata piratism. Tanganyika is safe since Zanzibar is safe.
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Kwani wewe kinakuuma nini?
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Mawazo ya mkoloni mweusi. Kuipa Zanzibar stahiki zake kisheria ni kuipa uhuru kamili ni hatari kwa Tanganyika, ila kuinyima stahiki zake ndo kudumisha muungano. Hivi mawazo haya yana tofauti gani na Mwingereza na Mjerumani aliyeitawala Tanganyika na Sultan sliyeitawala Zanzibar? Ukoloni ni ukoloni tu iwe ni wa mtu mweusi au mweupe.
 
Mtoa Mada kaandika kwa akili kubwa sana..lakini wewe ume reply kwa akili ya kawaida sana. Zanzibar ni kisiwa kile. soon after their isolation from Union government. its going to be the center of terrorism na hata piratism. Tanganyika is safe since Zanzibar is safe.
Hao materrorists watakuwa na sehemu gani ya kujificha katika kisiwa kidogo kama Zanzibar ?? Kiasi kwamba big powers wasiwafikie kwa muda mfupi sana ? Au watajificha misikitini ?
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Taja dalili, then andiko lako kutakuwa la dhahabu
 
Usalama wa kitu gani labda? Ni kipi so special hapa bara ambacho Zanzibar ndio inapaswa kuwa kinga yetu? Au ni muungano wa kitambiko kiasi kwamba ukivunjika mizimu itafanya yake?
Mameli makubwa ya kiarabu ya kivita say, yakiweka nanga bahari ya nchi huru ya Zanzibar kiulinzi tuko salama? Nadhani alimaanisha scenario Kama hiyo
 
Kwanza tukubaliane jambo lolote likifanyika kwa utashi hafifu hakuwez kuwepo harmonization au tranquility.
Ukweli ni Zanzibar na bara tunapendana na tunahitajiana tatizo ni siasa chafu za ccm na counter parties.
Muungano ukivunjika zanzibar atanufaika kwa vile ni nchi ndogo inaweza kujiboresha kiuchumi na kijamii kwa uwekezaji mdogo.
Lakin wazenj wamewekeza sana bara kuliko bara kule. Watajiumiza katika kushift mitaji na mali hasa ya ardhi.
Bara tutakuwa tumekarbisha upinzani hasa wa mapato ya bandari. Pia kuweka ugumu katika kudhibiti revenue kutokana na ukubwa wa goli la ukanda wa bahari. Hili linaongeza hofu ya usalama pia. Hata nchi za west na ukolon mamboleo wao hazitafurahia kwa hofu ya udhibit wa sera za kiarab na hata ugaidi. Zanzibar na mwarabu ni kitu kile kile.
Ukijumlisha yote haya, dawa ni UWEPO WA SERKALI MOJA!(rais 1, bunge 1, mahakama 1)
Serkali 3 ni aghali na italeta mvutano wa kimamlaka ya juu.
Muungano wa mkataba sio imara kias cha kuaminiana kwa mipango ya muda mrefu. (Ni sawa na utofaut wa nguvu ya commitment kat ya ndoa ya kikristo na kiislam!)
Ili kufika huko lazma ccm ife na vyama vya siasa vifutwe tuanze upya usajiri na siasa za kistaarab.
Namaanisha hivi, wa kutufikisha huko inabid atoke nje ya mifumo iliyopo kwa sasa. Nikiangalia zanzibar na wazanzibar walivyo, kama si ccm na siasa chafu za kibabe na counter attacks za upinzan wana kiwango cha juu kabsa cha ustaarab kama eden kabla ya nyoka kuchafua hali ya hewa! (na ukristo wang na mizimu, hapa ndo huwa nausifu uislam.....HAKI).
Niseme wazi, tangu dunia kuwepo, shangazi Samia na braza hussein Mungu kawaleta km manabii wa mwisho wa kisiasa kuiweka zanzibar inapostahili. Mna deni kuliko rais wote waliopita maana haitatokea chance au goli la waz kama hili tena!
Najua nchi zetu za kiafrica (quasi sovereign) zinakuwa monitored kwa nje lakin uwepo wenu kwa pamoja hivi ni mpango wa Mungu na dua za wote wapenda haki, heshma na usawa! Mna deni kubwa mno! Mkishindwa kabsa kuifuta ccm zanzibar kiakili, bas kupitia ustaarab wenu wa kurith ifanye zenj ya kutoskia siasa za dam. Adui mkubwa wa ustaarab ni unmonitored democracy!
.....(mniwie radhi sina kipaj cha kupresent bila utan na mzaha. Sipendi mambo ya kuwa serious napenda mambo ya kuwa reasonable!)
 
Mtoa Mada kaandika kwa akili kubwa sana..lakini wewe ume reply kwa akili ya kawaida sana. Zanzibar ni kisiwa kile. soon after their isolation from Union government. its going to be the center of terrorism na hata piratism. Tanganyika is safe since Zanzibar is safe.

Zanzibar wakijitenga lazima iwe centre ya magaidi na utawala utotumia islamic law...lazima uwe utawala wa kitaliban
 
Hivi mnajua kuwa muungano ukivunjika basi sehemu ya ardhi ya Zanzibar ni vie visiwa jumlisha na km 19 wa mwambao wa bahari ya Hindi kuelekea bara yaani acha Unguja na Pemba na mafia then kutoka usawa wa Tanga hadi Mtwara kuja bara. Yaani Watanganyika tutapoteza Dar, Bagamoyo, nk tutaambulia Kimara na Kibiti tu 😂😂
Mkuu INTROVETED, pole sana, umepitwa na wakati. Ni kweli ule Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884 ilimpa Sultan of Zanzibar a 10 miles of coastal strip lakini kupitia mkataba wa Heligoland–Zanzibar Treaty au Anglo-German Agreement of 1890) wa tarehe 1 July 1890 kati Ujerumani na Uingereza ambapo Waingereza waliokuwa wanamlinda Sultan wa Zanzibar, walikabidhi eneo la 10 miles costal stripe na Ujerumani wakawapa Waingereza mji wa Helingoland na Kisiwa cha Witu.

Ni mkataba huu ndio ulihamisha mipaka ya ule mkutano wa Berlin kwa ziwa Nyasa kuhesabika ni ziwa la Malawi na Ziwa Tanganyika kuwa la Tanganyika na ndipo Ujerumani wakaileta meli ya MV Liemba.

Baada ya Ujerumani kushindwa vita Kuu ya Kwanza, ikanyang'anywa makoloni yake yote.
p
 
Mtoa Mada kaandika kwa akili kubwa sana..lakini wewe ume reply kwa akili ya kawaida sana. Zanzibar ni kisiwa kile. soon after their isolation from Union government. its going to be the center of terrorism na hata piratism. Tanganyika is safe since Zanzibar is safe.

Mawazo ya kizee yaliyochanganyika na propaganda mfu.
 
Unadhani kila mtu anatamaa ya kuendelea kuwa Rais?! Alishawaambia kuwa kuna hatua anazichukua akielewa kuwa anaweka Urais rehani, kwake it's okay.

Hata mkimtoa leo ataendelea kula mema ya nchi hadi anakufa, roho ya Mama haina tamaaa kama TEAM JIWE.
boss huwa hatusemei yaliyo katika Moyo wa mtu huwa ni siri kuu binafsi!
Baba yangu aliniambia mtu urais ukiisha matukufu yakaisha misafara na ving'ora vikaisha itifaki ikaisha basi anapata 'kihoro"
 
Akifanya hivyo automatically ana risk nafasi yake ya kuwa Rais.
Siyo kweli ..kwa kuwa yeye mwenyewe kesha jua mwisho wake 2025 ..sasa hivi mpango wa yeye kugombea 2025 umekwisha kufifia moyoni mwake kwa kuto kukubalika na yeye mwenyewe kugundua kuwa akili zake ni ndogo sana baada ya kupinga njia za magufuli ila baada ya mambo kuanza kuharibika ndiyo ana rudi kufata njia za jpm
 
Alikuwa mjinga haswa. Kenyatta alikataa Muungano na mpaka leo Kenya ipo sembuse Zanzibar taifa la kihistoria? Kenya na Zanzibar ni wapi kuna ukabila na ubaguzi zaidi?


Kwa hiyo mtu Kama wewe unamuita nyerere mjinga daaah😄😄
 
Seriously, unawezaje kuilinganisha Kenya na Zanzibar?

Mtifuano unaoweza kutokea Zanzibar ni kama ule wa Wahutu na Watutsi.

Zanzibar haina historia hiyo. Hata hayo mnayoita mapinduzi yalifanywa na watu waliovamia Zanzibar kama mganda Okello.
 
Back
Top Bottom