Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Hizo sababu ni so outdated.
Hivi unakijua kilichomkwamisha Dr. Salimu kuwa Rais wa JMT pamoja na kwamba alikuwa na sifa zote za kuwa Rais?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sababu ni so outdated.
Kulinganisha pre-independence Zanzibar na post-independence Zanzibar ni uvivu wa kufikiria. Unadhani Karume alikuwa mjinga aliposema yeye alikuwa tayari kuwa VP ndani ya Muungano wa Serikali?
Wasukuma na wachaga wanaiva ?? Wacha kukariri ujingaa nakwambia tenaKukariri kuko wapi hapo? Hapo walipo tayari Pemba na Unguja hawaivi. Unadhani power struggle itakayotokea itawaacha salama?
Wacheni upumbafu watanganyika wadanganyika tume zote zilizoundwa zilikuja na MTAZAMO WA SERIKALI TATU dunia nzima hakuna mfano WA Muungano huu ulopitishwa KILAGHAIKabla hata hajafikiria kufanya hivyo, bendera zitapepea nusu mlingoti. Huo muungano hakuna atakekuja kuuchezea kizembe.
Waambie wapumbavu haoUnadhani kila mtu anatamaa ya kuendelea kuwa Rais?! Alishawaambia kuwa kuna hatua anazichukua akielewa kuwa anaweka Urais rehani, kwake it's okay.
Hata mkimtoa leo ataendelea kula mema ya nchi hadi anakufa, roho ya Mama haina tamaaa kama TEAM JIWE.
Mkuu Suzy Elias, ungekuwa umetutendea haki kama ungesema hilo tishio la usalama wa JMT ni tushio gani endapo Zanzibar itepewa hadhi sawa na haki sawa ndani ya JMT kama ilivyo Tanzania Bara, mfano muungano wa federation au muungano wa mkataba?.
Kuna wengi wamemjua Samia baada ya kuwa Rais wa JMT, ndio mnaweza kuwa na mashaka na Samia kwenye kuulinda huu muungano wetu adhimu. Angalia bandiko hili ni la lini na Rais Samia alisema nini kuhusu muungano "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Na kwa faida ya wavivu to follow links
P
Wasukuma na wachaga wanaiva ?? Wacha kukariri ujingaa nakwambia tena
Unadhani kila mtu anatamaa ya kuendelea kuwa Rais?! Alishawaambia kuwa kuna hatua anazichukua akielewa kuwa anaweka Urais rehani, kwake it's okay.
Hata mkimtoa leo ataendelea kula mema ya nchi hadi anakufa, roho ya Mama haina tamaaa kama TEAM JIWE.
Alikuwa mjinga haswa. Kenyatta alikataa Muungano na mpaka leo Kenya ipo sembuse Zanzibar taifa la kihistoria? Kenya na Zanzibar ni wapi kuna ukabila na ubaguzi zaidi?
Kwan kakwambia anataka kuwa raisi wa milele??Akifanya hivyo automatically ana risk nafasi yake ya kuwa Rais.
Hacha mawazo ya kale na ya kikuda ya akina juius na karume wewe mgeseNje ya Muungano, hakuna Zanzibar isipokuwa kuna Unguja na Pemba. Kama wanadhani sumu inaonjwa, wajaribu waone. Haitaisha miaka mitano kabla Tanganyika haijapokea wakimbizi kutoka upande huo!
Sipo hapa kujadili uzuri au ubaya wa muungano ili kujua kama una faida au laah... nipo hapa kukumbusha kuwa;-Wacheni upumbafu watanganyika wadanganyika tume zote zilizoundwa zilikuja na MTAZAMO WA SERIKALI TATU dunia nzima hakuna mfano WA Muungano huu ulopitishwa KILAGHAI
UHURU WA ZANZIBAR NI SASA
Mjomba ni mama dada.. Akitaka kitu kumkatalia ngumu.. Iwe kwa mahaba, utii au shurutiKuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.
Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!
Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.
Kwenu Tiss.
Imebakisha muunganiko wa kisiasa tuu na sarafuKwani Zanzibar haina mamlaka kamili?