Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Elezea hiyo hatari ya usalama itatokana na nini badala ya kukariri mambo tu kama Kasuku.
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
 
Itakuwa na mamlaka kamili Mara mbili? Maana wako full mpaka na rais wanayo wewe unataka mamlaka yapi
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Mbona naona ndio itakuwa vizuri tu!
 
Tanganyika imekuwa ikipokea wakimbizi pia kutoka Rwanda, Burundi, Uganda na Congo.
Nje ya Muungano, hakuna Zanzibar isipokuwa kuna Unguja na Pemba. Kama wanadhani sumu inaonjwa, wajaribu waone. Haitaisha miaka mitano kabla Tanganyika haijapokea wakimbizi kutoka upande huo!
 
Mleta mada umeleta umbea hapa jamvini. Maana umeandika tuhuma bila ushahidi.

Hujaeleza hizo dalili ni zipi na umeziona vipi.
Kuna watu huko CCM likiomgelewa suala la Katiba mpya wao wanafikiria madaraka tu. Mmoja wapo ni Mbunge wa Isimani na mwingine ni Waziri wa hela.
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Tulia dawa ikuingie si huwa mnasema Zanzibar haina maana nyie?

Rasimi ya Warioba inataka hivyo,kwa nini alioendekeza Serikali 3 badala ya serikali moja au mbili?
 
Hatari gani?!!!
Ondoa hofu mkuu, hakuna hatari yoyote..
Ndio maana tunasema ni akili za kizamani kuwaza eti Zanzibar ikiwa na mamlaka kamili itakuwa ni hatari kwa usalama wa Tanganyika ! Kwani kabla ya mwaka 1964 yaani kabla ya muungano Zanzibar haikuwa na mamlaka yake kamili kama Nchi ?? Je ilileta tishio gani huku Bara ?? !!!
 
Mkuu Suzy Elias, ungekuwa umetutendea haki kama ungesema hilo tishio la usalama wa JMT ni tushio gani endapo Zanzibar itepewa hadhi sawa na haki sawa ndani ya JMT kama ilivyo Tanzania Bara, mfano muungano wa federation au muungano wa mkataba?.

Kuna wengi wamemjua Samia baada ya kuwa Rais wa JMT, ndio mnaweza kuwa na mashaka na Samia kwenye kuulinda huu muungano wetu adhimu. Angalia bandiko hili ni la lini na Rais Samia alisema nini kuhusu muungano "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Na kwa faida ya wavivu to follow links

P
Huyu ndiye Paskali, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni !!
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Acha upumbavu sanua mamlako hayo hana,mwenye manlaka hayo ni wananchi wa zanzibar
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Acheni fikra za kihuni, kwamba Kenya au Msumbiji zisiwe hatari ila kisiwa ndio kiwe hatari?? Hayo mambo yalikua enzi hizo za vita baridi sahivi haipo sasa kuogopana huko vipi?
 
Hivi mnajua kuwa muungano ukivunjika basi sehemu ya ardhi ya Zanzibar ni vie visiwa jumlisha na km 19 wa mwambao wa bahari ya Hindi kuelekea bara yaani acha Unguja na Pemba na mafia then kutoka usawa wa Tanga hadi Mtwara kuja bara. Yaani Watanganyika tutapoteza Dar, Bagamoyo, nk tutaambulia Kimara na Kibiti tu 😂😂
 
Naiona zanzibar ikiwa nchi huru na kamili na ikianza kutumia sheria za Taliban [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Weka hata codes basi tuweze kupata facts ya unachokisema
 
Kabla hata hajafikiria kufanya hivyo, bendera zitapepea nusu mlingoti. Huo muungano hakuna atakekuja kuuchezea kizembe.
Mbona mnapenda sana kukuza nguvu ya TISS, kikwete alipowapa katiba mpya inayotambua Zanzibar kama nchi yenye mamlaka kamili JK alikufa? In fact mpaka kura ya maoni ikapigwa na muundo wa serikali ukabadilishwa kuwa SUK kuna mtu alikufa??

Nchi hii Rais ndio ana sauti ya mwisho ndio maana mlikataa chanjo Samia kasema chanjo lazima na hamna kitu mmemfanya. Hao TISS ni makada wa CCM sio kwamba wako pale kwa maslahi Yako wewe.
 
Political instability ya nchi jirani huwezi kusema it’s none of your business. Labda kama hujui unachoongea!
Mbona DRC wanauwana au Rwanda Wana ukabila ila Tanzania tuna survive bila shida au toka lini Zanzibar ndio iwe threat kuliko Kenya au Msumbiji?? Ingekua hivi nchi nyingi zisingepewa uhuru kisa tu hofu zisizokua na basis.
 
Back
Top Bottom