Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Mbona DRC wanauwana au Rwanda Wana ukabila ila Tanzania tuna survive bila shida au toka lini Zanzibar ndio iwe threat kuliko Kenya au Msumbiji?? Ingekua hivi nchi nyingi zisingepewa uhuru kisa tu hofu zisizokua na basis.
You’re not serious! Political instabilities kwenye hizo nchi hazijatuathiri? Think again!