We endelea kuwabrand wenye fikra mbadala kuwa ni CDM.Sasa kama umeamua kupoteza kura Yako itakusaidia nini?
Hakuna Rais wa upinzani Tzn hii na wewe unalijua Hili vizuri
Wewe huna fikra mbadala ila ni hater wa Samia 😆😆We endelea kuwabrand wenye fikra mbadala kuwa ni CDM.
Kama kura yangu moja haina effect basi tuendelee kupuuza mambo ya msingi.
Hatuwezi kama nchi tukaendelea kuamini kuwa fisi ndiye mlinzi bora wa bucha
Ni wazi huwezi kuwa na mawazo zaidi ya kuwaza tumbo lako! Jitafakari!Wewe ambae sio chawa na una mawazo tofauti unasaidia kuwalisha watu na mawazo Yako?
Tumbo ndio msingi wa chochote kinachofanywa Juu ya ArdhiNi wazi huwezi kuwa na mawazo zaidi ya kuwaza tumbo lako! Jitafakari!
Haja ipo ila Vyama Vya kuleta vurugu marufuku Tanzania hii.Sijui tulimkosea nini Mungu. Hivi kulikua na haja ya kuwa na vyama vingi kweli?naamini haya yasingekuwepo
Endelea kufurahia na kunufaika na mfumuko wa bei, umeme wa mgao, ubadhirifu na serikali kugenisha tasilimali za nchi kinyume na Katiba.Wewe huna fikra mbadala ila ni hater wa Samia 😆😆
Hata kubinuliwa na kupumuliwa kisogo ni halali kwako sababu ya tumbo!Tumbo ndio msingi wa chochote kinachofanywa Juu ya Ardhi
Kauli ni njema ispokuwa tunatofautiana kwenye tafsiri tu, "kauli hii inatofauti gani na kauli ya mzazi, ukifanya fujo nitakuchapa!, usifanye fujo "😀!Sijui tulimkosea nini Mungu. Hivi kulikua na haja ya kuwa na vyama vingi kweli?naamini haya yasingekuwepo
Pole sana,Tanzania Ina mfumuko wa bei au unaropoka tuu?Endelea kufurahia na kunufaika na mfumuko wa bei, umeme wa mgao, ubadhirifu na serikali kugenisha tasilimali za nchi kinyume na Katiba.
Wanaopinga hayo, leo mnawaita hatters wa Samia.
Furahi kifutuhi
Peleka Watoto wako wakaandamaneKuelekea maandamano hii ni kauli tata.
🤭🤭😃Mods mnakatwa
Kama uchaguzi ni huru na haki kwa nini CIC awe na matarajio hasi kiasi hicho? Mpaka hapo Rais ameshonyesha dhamira ovu kwa chaguzi zijazo.
Ombi langu kwenu (JWTZ) ni kwamba mwaka huu na mwakani tunaelekea kwenye chaguzi za nchi yetu na hapa ndipo usalama mkubwa ndani ya nchi unapotakiwa kuangaliwa kwa ukaribu zaidi, niwaombe sana Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwenye Kamandi zenu tofauti kujipanga kwa ajili hii, mwaka huu tunaanza na chaguzi za serikali za mitaa kwa sababu tuko wengi, ni chaguzi zinazoshirikisha vyama vingi vyenye nia tofauti, hatuoni kwamba kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa kwahiyo ni vyema tukakaa tayari kukabiliana na chochote kile kitakachojitogeza.
Hatusemi tukafanye chaguzi za kutumia nguvu hapana, taratibu, sheria na miongozo ya uchaguzi itafuatwa lakini Jeshi na vikosi vyote vya ulinzi na usalama vikae tayari kukabiliana na hali yoyote itakayojitokeza, mwakani tunaenda kwenye uchaguzi mkuu na ule ndiyo wenye vishindo vikubwa basi ikabidi nitoe tu taarifa na kuwaweka 'alert' kwamba hayo mambo yanakwenda kutokea na jeshi hatuna budi kujiweka tayari.
Acha kuweweseka hapa. Hakuna cha nini wala nini. Rais wetu mpendwa yupo sahihi kabisa maana wakati wa uchaguzi hata maadui wanaweza kujipenyeza kutaka kuvuruga amani ya Taifa letu. Kwa hiyo ni haki kwa Mh Rais kama mkuu wa nchi, kiongozi wa serikali na Amiri jeshi mkuu kuhakikisha kuwa amani na usalama vitakuwepo na kutawala kabla, wakati na baada ya uchaguzi kwa kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo vipo chini yake kujiweka sawa na tayari kukabiliana na yeyote au kundi lolote lile linaloweza taka kuvuruga amani ya nchi yetu.Amri nyinginw inayoenda kuvuruga zoezi la uchaguzi.
Circumstantial ameongea neno la kitisho kwa wapigakura.
Rais ambaye anawaambia wanajeshi na wanausalama wajiandae kwa lolote, maana yake yeye na chama chake wamejipanga kuyokabidhi madaraka wakianguankwenye uchaguzi hivyo jeshi lisimamie hilo.
Mark my words, uchaguzi ujao tutawaona mabaka mabaka kwenye vituo vya kura. Hii ni kinyume na Katiba.
Wapenda DEMOKRASIA tunapinga na kulaani kauli ya rais kuwaalika wanajeshi kwenye michakato ya chaguzi. Wanajeshi wasihusishwe na siasa. Inatosha sasa