Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hakuna mtu mwenye akili timamu atamchangua huyu mazaAnaandaa mbeleko ya vyombo vya dola.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu mwenye akili timamu atamchangua huyu mazaAnaandaa mbeleko ya vyombo vya dola.
Samia ana roho mbaya sanaAmri nyinginw inayoenda kuvuruga zoezi la uchaguzi.
Circumstantial ameongea neno la kitisho kwa wapigakura.
Rais ambaye anawaambia wanajeshi na wanausalama wajiandae kwa lolote, maana yake yeye na chama chake wamejipanga kuyokabidhi madaraka wakianguankwenye uchaguzi hivyo jeshi lisimamie hilo.
Mark my words, uchaguzi ujao tutawaona mabaka mabaka kwenye vituo vya kura. Hii ni kinyume na Katiba.
Wapenda DEMOKRASIA tunapinga na kulaani kauli ya rais kuwaalika wanajeshi kwenye michakato ya chaguzi. Wanajeshi wasihusishwe na siasa. Inatosha sasa
Sijui kwanini Rais hashauriwi. Kwanini iwe uchaguzi tu ndiyo wawe alert na siyo usalama Kwa ujumla?Amri nyinginw inayoenda kuvuruga zoezi la uchaguzi.
Circumstantial ameongea neno la kitisho kwa wapigakura.
Rais ambaye anawaambia wanajeshi na wanausalama wajiandae kwa lolote, maana yake yeye na chama chake wamejipanga kuyokabidhi madaraka wakianguankwenye uchaguzi hivyo jeshi lisimamie hilo.
Mark my words, uchaguzi ujao tutawaona mabaka mabaka kwenye vituo vya kura. Hii ni kinyume na Katiba.
Wapenda DEMOKRASIA tunapinga na kulaani kauli ya rais kuwaalika wanajeshi kwenye michakato ya chaguzi. Wanajeshi wasihusishwe na siasa. Inatosha sasa
Hakukua na haja ya vyma vingi. Hii imeleta uroho si kwa xhama pinzani wala tawala. Wote ni walewale tu. Bora kingekuwepo kimoja wote mpambane umo umo kuliko hii fedheha inayoendeleaHaja ipo ila Vyama Vya kuleta vurugu marufuku Tanzania hii.
Hata ukiitafsiri hivyo sasa hapo amayeamini ni mzazi anaogopa mtoto asijekuleta kizaazaa kwa kufanya zaidi ya mzazi au kuharibu kabisa. Anaye aminiwa ni mtoto hajioni kama mtoto ila anaamini yeye na mwenzake ni watoto wa baba mmoja hivyo wanastahili haki sawa bila kaka mtu kujipendelea.Kauli ni njema ispokuwa tunatofautiana kwenye tafsiri tu, "kauli hii inatofauti gani na kauli ya mzazi, ukifanya fujo nitakuchapa!, usifanye fujo "😀!
Ntawashangaa sana watu wakishiriki uchaguzHapo dawa ni kuwaachia tu uchaguzi wao wachaguane wakimaliza maisha yaendelee, kwanini tufike mbali tuvunjane miguu na kura watuibie kisha tufungwe ndani.
Naropoka tu kama walivyoropoka raia wa Mfalme Louis wa Ufaransa....Pole sana,Tanzania Ina mfumuko wa bei au unaropoka tuu?
Mimi huu uchaguzi umenitoka moyoni hata kabla ya wakativwake sina imani kabisa.Ntawashangaa sana watu wakishiriki uchaguz
Ova
Yes ni rais wenu mpendwa kwa kuwa anawavumilia nyie mliozoea kuvunja Katiba na sheria na kuhalalisha maisha ya kihalifu kuwa ndiyo staha ya nchiAcha kuweweseka hapa. Hakuna cha nini wala nini. Rais wetu mpendwa yupo sahihi kabisa
Tanzania ina maadui gani kutoka nje?maana wakati wa uchaguzi hata maadui wanaweza kujipenyeza kutaka kuvuruga amani ya Taifa letu. Kwa hiyo ni haki kwa Mh Rais kama mkuu wa nchi, kiongozi wa serikali na Amiri jeshi mkuu kuhakikisha kuwa amani na usalama vitakuwepo na kutawala kabla, wakati na baada ya uchaguzi kwa kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo vipo chini yake kujiweka sawa na tayari kukabiliana na yeyote au kundi lolote lile linaloweza taka kuvuruga amani ya nchi yetu.
Agenda kuu ya CCM ni kubakia madarakani. Katibu Mkuu enzi zake Bashiru Ally Kakurwa alishawahi kusema Katu CCM haiwezi kuachia madaraka kwa sababu inamiliki dola na itatumia dola kubakia madarakani.Sijui kwanini Rais hashauriwi. Kwanini iwe uchaguzi tu ndiyo wawe alert na siyo usalama Kwa ujumla?
Sidhani kama ni CCM sema watu wachache ambao maslahi Yao yako at stake CCM ikikosa ridhaa...Wapo Wana CCM wengi ambao hatupendi huu muundo wa wachache kujimilikisha nchi huku wakitumia CCM na dola kama cover.Agenda kuu ya CCM ni kubakia madarakani. Katibu Mkuu enzi zake Bashiru Ally Kakurwa alishawahi kusema Katu CCM haiwezi kuachia madaraka kwa sababu inamiliki dola na itatumia dola kubakia madarakani.
Spika wa sasa wa Bunge Tulia Akson ameshasema kabisaa kuwa CCM haitokabidhi madaraka kwa yeyote yule hata iweje...
Kauli ya leo ya Rais inatukumbusha kuwa haya ndo malengo na msimamo wa CCM. Hata nchi nzima mpige kura ya HAPANA, hawatoachia ngazi kwa sanduku la kura
Kura zitaibwa ndo maana jeshi wamewekwa at paHakuna mtu mwenye akili timamu atamchangua huyu maza
HatariKura zitaibwa ndo maana jeshi wamewekwa at pa