Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam la sita kwa Usafi Afrika. Asema limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli

Rais Samia: Jiji la Dar es Salaam la sita kwa Usafi Afrika. Asema limetoka kwenye vijibanda na vimwamvuli

Bora hata Magufuli alishika fagio,pengine kuna mchango wake mkubwa kwenye nafasi hii ya sita

Apumzike kwa amani kwa kweli, japo wengi wetu hatumwachi akapumzika.
1.jpg
 

Attachments

  • 1.JPG
    1.JPG
    155.7 KB · Views: 3
Ametoa hotuba nzuri ila nimeshtuka mama alipozungumzia mafua yanayodondosha watu mtwara je hii haiwezi kushtua wageni?
Wewe unafikiria Wageningen ndo watu? Sisi watanzania hatuna thamani hadi ushtuke rais akitusemea?
 
Sijaelewa hapa, kabla ya 17/03/21 Aliyekuwa mwenye nchi alitangaza kuvunja jiji la Dar na kuunda jiji la Ilala. Mara zote nimekuwa nikisikia wakubwa wakiendelea kuliita jiji la Dar, kama uzi huu unavyosomeka, jiji la Ilala pia liliondoka 17/03/21???
Yees, vunja jiji la Dar halafu pandisha Chattle kuwa mkoa! 😎
 
Watu walikuwa wanajipatia riziki zao kwenye zile ofisi zao, kumbe kwa Samia ule ulikuwa ni uchafu!.
Ule ulikua ni chafu, nchi lazima watu wafuate sheria, huwezi kuweka kibanda/mwamvuli wako popote utakapo halafu uaachiwe tu, sababu eti unajipatia riziki.
 
Sijaelewa hapa, kabla ya 17/03/21 Aliyekuwa mwenye nchi alitangaza kuvunja jiji la Dar na kuunda jiji la Ilala. Mara zote nimekuwa nikisikia wakubwa wakiendelea kuliita jiji la Dar, kama uzi huu unavyosomeka, jiji la Ilala pia liliondoka 17/03/21???
Ndio limerudi sasa..lilikuwa limejificha kutokana na uchafuzi wa mazingira na ubadhilifu enzi zile.
Jiji limerudi..
 
Labda pengine anaizungumzia Dar es salaam nyingine sio hii inayonuka na kutoa funza
 
Kwa hiyo hata la kuongelea kuwa aliyempiga lissu risasi hakuwa askari wao nalo aliagizwa na rais? Mavi yakitumika kwenye uunzi wa ubongo ni shida sana.
Waliomhambulia Lissu ni kikundi cha WASIOJULIKANA chini ya Makonda wakitekeleza maagizo ya Magufuli. Halina mjadala
 
Acha kuleta siasa kwenye mambo ya msingi. Kumbuka Magufuli ndio Rais pekee alieitisha usafi nchi nzima na yeye akafanya. Lakini kwa sasabu alitaka watanzania wapate vipato aliwapa uhuru wa kufanya biashara huku serikali ikiendeleea kuandaa miundo mbinu.
Tena kuna vedio alimuita kabisa akamwambia watafute namna nzuri ya kuwapanga wamachinga .
Unamtetea kwa lipi wakati alikuwa anakula kodi zetu?.

Yeye akaingia kawatoa kwa mabavu, watu wamefirisika maisha yamekuwa magumu kama nini na hatimae wizi umekuwa mwingi. Au huko kwako maisha ni mepesi?
Aliitisha usafi Nchi nzima, je uliona Nchi ikiwa safi? Yale yalikuwa maagizo ya kipimbi tu ndiyo maana Jumamosi watu walikuwa wanafunga ofisi zao tu na ikifika saa 4 wanafunga, maisha yanaendelea
 
Sasa yule alikuwa anatafuta cheap popularity at our expenses bila kujali maisha ya wengine na kujenga jamii ya kistaarabu..

Vibanda vya kisasa walivyojengewa machinga kwa sasa vinapendeza..

Ili ku maintain inatakiwa wanaojenga miundombinu ya barabara Kwa sasa mijini waingize concept ya ubinifu Ili ku accommodate machinga.
Naunga hoja yako
 
Aliitisha usafi Nchi nzima, je uliona Nchi ikiwa safi? Yale yalikuwa maagizo ya kipimbi tu ndiyo maana Jumamosi watu walikuwa wanafunga ofisi zao tu na ikifika saa 4 wanafunga, maisha yanaendelea
Nchi ilikuwa safi wewe.

Ndio wakati ule wazabuni wa kubeba uchafu waliibuliwa chungu zima..n a hadi sasa wanaendelea. Uhcafu ulipungua mno.

Nchi ilikuwa inanuka kabla ya JPM.

Ukipanua ubongo utaelewa.
 
Hii taarifa hakupaswa kuisema kabisa..

#MaendeleoHayanaChama
Acheni Ujinga, Hivi Watanzania mkoje? Huwa nachukia sana taarifa muhimu kama Hizi kifichwa eti kisa zitaleta taharuki.

Serikali makini inaweka mambo wazi Ili Wananchi wachukue Tahadhari lakini pia inaendelea kutoa Elimu jinsi ya Kujikinga au kujiepusha.
 
Muonekano wa jiji letu la Dar es Salaam July 2022


Video source: menny terry

N.B
Jiji letu lapendeza sasa baada ya kuwapanga machinga na biashara zingine ndogondogo.

Imefika wakati wa mamlaka husika kuratibu idadi ya bodaboda na vibajaji vinavyoruhusiwa kufanya biashara ya usafiri wa umma.

Wingi ulipindukia kikomo wa pikipiki za bodaboda na pia bibajaj zinaelekea kutibua mipango ya kuliweka jiji ktk mpangilio wa kueleweka.

Ujenzi wa nyumba uratibiwe wapi ziangalie badala ya ujenzi holela huyu anampa ubavu yule, kuta kujengwa kiasi jiji linaonekana kama eneo zima ni la viwanda au jela kubwa ya wazi wakati ni makaazi ya watu yaliyo mbali kabisa na viwanda au maghala ya bandarini.
 
Wingi ulipindukia kikomo wa pikipiki za bodaboda na pia bibajaj zinaelekea kutibua mipango ya kuliweka jiji ktk mpangilio wa kueleweka.


31 January 2023
Mbeya City
Tanzania


JIJI LA MBEYA WAPIGA MARUFUKU USAJILI WA BAJAJI MPYA



Baraza la Madiwani wa jijji la nyanda za juu kusini la Mbeya waelezea changamoto na kero ya wingi wa bajaj hadi kutapika na kusababisha vurugu, kuegesha bila tahadhari, ajali n.k hivyo kuna umuhimu wa kuratibu idadi ya bajaj ilingane na mahitaji halisi ya jiji.

Toka maktaba:
4 April 2020


Taasisi ya Tulia Trust Yakopesha Bajaji 16 Waendesha Bajaji wa Jiji la Mbeya

 
Back
Top Bottom