Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kipindi hicho watendaji walifanya mambo kwa mzuka sana. Ndiyo pamoja na uchomaji nyavu, kupasua mitumbwi, kukamata ng'ombe na kutaifisha za wafugaji, kuvamia account za watu. Kwa ujumla kilikuwa Kipindi kigumu sana.Kuvichoma ilikuwa ukatili ilitakiwa wazuie visiingie nchini virudishwe viliko toka au viwekwe quarantine vipewe chanjo zote, vikaguliwe vigezo vya kuingiza vitu kama vile kama sheria inavyotaka kisha wapigwe faini walio ingiza bila kufuata sheria.
Kuchoma ilikuwa ukatili, pia siamini ama a,mri ilitoka kwa mkuu wa nchi. Kama ndivyo mkuu alikosea.
Ukiwa kiongozi mkuu. Mambo yafanyika ya hovyo na hukemei wala kuwawajibisha wahusika. Ni kuwa umeshiriki kutenda jambo hilo.Do you really, from the deep bottom of your heart believe the guy could sign off on something like that?
Yangesemwa mambo maovu ya enzi za Kikwete ni sawa, Ila akiguswa huyo mungu wenu anachafuliwaKuna namna Hayati Rais Magufuli anachafuliwa kwanini Rais Samia akiri kosa ambalo lilifanywa na Serikali ya ccm ambayo yeye mwenyewe Rais Samia kwa kipindi hicho alikuwa Makamu wa Rais au ndio tuseme bado mzimu wa Rais Magufuli unawaandama.
Kweli tumefikia kusahau matatizo ya kupanda vitu bei, umeme, maji na tunaongelea vifaranga, serious?Yangesemwa mambo maovu ya enzi za Kikwete ni sawa, Ila akiguswa huyo mungu wenu anachafuliwa
Aliyeagiza vichomwe. Aliyechoma wote walijipalia makaa ya moto.Rais Samia amesema amri ya kuchoma vifaranga 6400 vilivyoingizwa kutoka Kenya miaka mitano iliyopita ilikuwa sio sawa.
Rais Samia kasema hawakushulikia vizuri uingizaji ule wa vifaranga maana pia vifaranga vinavyo haki ya kuishi.
Kuhusu biashara na Kenya, Rais Samia kasema mpaka karibuni ilikuwa ngumu, vikwazo vingi na kuchoma vifaranga ilifanya mambo yawe mabaya.
Rais Samia alizubgumza haya wakati akiongea na mawakili wa ukanda ya Afrika Mashariki.
View attachment 2427229
Unamaanisha 24/7 tuongee kuhusu umeme na maji tu? Tusiongee kuhusu kitu kingine chochote kile?Kweli tumefikia kusahau matatizo ya kupanda vitu bei, umeme, maji na tunaongelea vifaranga,serious?
Sawa alifanya makosa, je vifaranga ndio vitaleta umeme au maji?
Namaanisha wananchi wanashida zaidi uchomaji wa vifaranga, yeye kama mkuu wa nchi, analeta tumaini gani?Unamaanisha 24/7 tuongee kuhusu umeme na maji tu ? Tusiongee kuhusu kitu kingine chochote kile ?
Nadhani ni katika kutafuta sifa, ndio msukumo wake wa kuibua mambo kama haya wakati huu.Namaanisha wananchi wanashida zaidi uchomaji wa vifaranga, yeye kama mkuu wa nchi, analeta tumaini gani?
Au majanga yote yanayotekea yamesababishwa na uchomaji wa vifaranga awamu ya tano?
Ni petty issue ambayo anaongea waziri sawa au katibu tawala, wananchi wana shida lukuki.
Kabisa mkuu.Nadhani ni katika kutafuta sifa, ndio msukumo wake wa kuibua mambpo kama haya wakati huu.
Amewahi kitu gani kizuri!!Ni sehemu na mihemuko ya JPM na madhafu yake mengine, haifanyi au haindoi kwamba hajawi kuwa na mazuri au hajawai fanya jambo zuri.
Hii ilikuwa ni biashara haramu.Kuvichoma ilikuwa ukatili ilitakiwa wazuie visiingie nchini virudishwe viliko toka au viwekwe quarantine vipewe chanjo zote, vikaguliwe vigezo vya kuingiza vitu kama vile kama sheria inavyotaka kisha wapigwe faini walio ingiza bila kufuata sheria.
Kuchoma ilikuwa ukatili, pia siamini ama a,mri ilitoka kwa mkuu wa nchi. Kama ndivyo mkuu alikosea.
Taja wezi wa BOT na wako wapi hivi sasaTunapoelekea mama atakuja kueleza yafuatayo
1. Alyempiga Lissu Risasi
2. Aliyetunga kesi ya mbowe
3. Aliyefadhili wizi wa kura na kuharibu uchaguzi
4. Aliyekuwa kiongiozi wa wasiojulikana
5. Aliyeiba 2.4T
Mpaka sasa kashasema
1. Wezi wa BOT
2. Waliotunga kesi za kubambikia watu.
3. .....
Kwa kauli hizi kama wakenya wako makini wanaweza kuomba fidia. Lakini pia sidhani kama ni sahihi kwa chama tawala kuuponda utawala wa chama tawala uliokuwa unatekeleza sera za chama tawala. Hii ina maana kuwa chama kina mpasuko mkubwa na sasa kila chama kundi linajaribu kujioendekeza kwa wananchi kwa kulichafua kundi jingine. Kimsingi hii mbinu ilipasws ku-backfire kama vichwa vya watz vingekuwa vizuri.Rais Samia amesema amri ya kuchoma vifaranga 6400 vilivyoingizwa kutoka Kenya miaka mitano iliyopita ilikuwa sio sawa.
Rais Samia kasema hawakushulikia vizuri uingizaji ule wa vifaranga maana pia vifaranga vinavyo haki ya kuishi.
Rais Samia alizungumza haya wakati akiongea na mawakili wa ukanda ya Afrika Mashariki.
"Afrika Mashariki tuna soko la pamoja ambalo linatusaidia kufanya biashara zetu, tunakubaliana kwenye mambo ya customs na taxation lakini we had a lot of NTB's na ni tariff barriers ambazo mnajitahidi kuzifanyia kazi kuziondosha.
Ni kitu kidogo tu, ni mmoja kutoka kwenda kwa mwingine. Wakati mimi sikuingia, biashara yetu na Kenya ilikuwa ngumu sana, ngumu sana. Fika vifaranga mipakani pale, makaratasi hayasomi vizuri, vimetoka wapi haisemi vizuri, kunapita vifungu vya sheria as if sheria is everything. No no no sheria hairuhusu, solution hata hatuogopi dhambi, choma hivyo vifaranga.
Tumejisahau, vifaranga pia ni viumbe vya Mungu, walikuwa na life tukachoma"
Alisema Rais Samia
View attachment 2427229