Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Huyu mama ni ndumi la kuwili, akiwa kama vice kwanini aku step down kuonyesha kutoridhishwa na mambo yalivyo kweye kazi anayotumikia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akisema ujinga lazima nimpingeHakuwa Raia namba moja, wewe unaweza kumpinga baba yako hadharani?
Mbona akina Mbowe na Lissu walisema kweli na mpaka leo wapo hai?Ili yule jamaa amuue?
Basi ni mnafikiUlitaka auliwe na yule nduli?
Kwenye mizania wovu usiuzidi wemaNi sehemu na mihemuko ya JPM na madhafu yake mengine, haifanyi au haindoi kwamba hajawi kuwa na mazuri au hajawai fanya jambo zuri.
Lissu yuko hai kwa neema za Mungu. Na Mungu akaamua kumtendea miujuza yule bwege....Mbona akina Mbowe na Lissu walisema kweli na mpaka leo wapo hai?
kikiwa kibaya kibovu kisipingwe jaman mbona hivyoMama anapinga kila kitu kama CHADEMA.
Yule shetani afe mara 3 huko alipoLissu yuko hai kwa neema za Mungu. Na Mungu akaamua kumtendea miujuza yule bwege....
Watanzania tukapata uhuru mpya
Nae atapingwa tu akitoka.Rais Samia amesema amri ya kuchoma vifaranga 6400 vilivyoingizwa kutoka Kenya miaka mitano iliyopita ilikuwa sio sawa.
Rais Samia kasema hawakushulikia vizuri uingizaji ule wa vifaranga maana pia vifaranga vinavyo haki ya kuishi.
Rais Samia alizungumza haya wakati akiongea na mawakili wa ukanda ya Afrika Mashariki.
"Afrika Mashariki tuna soko la pamoja ambalo linatusaidia kufanya biashara zetu, tunakubaliana kwenye mambo ya customs na taxation lakini we had a lot of NTB's na ni tariff barriers ambazo mnajitahidi kuzifanyia kazi kuziondosha.
Ni kitu kidogo tu, ni mmoja kutoka kwenda kwa mwingine. Wakati mimi sikuingia, biashara yetu na Kenya ilikuwa ngumu sana, ngumu sana. Fika vifaranga mipakani pale, makaratasi hayasomi vizuri, vimetoka wapi haisemi vizuri, kunapita vifungu vya sheria as if sheria is everything. No no no sheria hairuhusu, solution hata hatuogopi dhambi, choma hivyo vifaranga.
Tumejisahau, vifaranga pia ni viumbe vya Mungu, walikuwa na life tukachoma"
Alisema Rais Samia
View attachment 2427229
Unapomchinja kuku inakuwaje? Acheni ukinga; kuku so mnakula?Siangalii sana kuongea, Hebu angalia mateso waliyoyapata wale vifaranga..!! Kwanini hawakuwarudisha walikotoka?
Dah..!! Una mifano ya kijinga kweli mwana..!! Kwahiyo hao vifaranga waliliwa baada ya kuchomwa? Dah..!! Akili yako unijua mwenyewe.Unapomchinja kuku inakuwaje? Acheni ukinga; kuku so mnakula?
Mnaposema wale vifaranga walipitia mateso, wakichinjwa huwa hawapitii maumivu?Dah..!! Una mifano ya kijinga kweli mwana..!! Kwahiyo hao vifaranga waliliwa baada ya kuchomwa? Dah..!! Akili yako unijua mwenyewe.
By the way, usisahau kuna hukumu za watu kunyongwa na tunaona ni sawa, kwa vile imepita kwenye sheria tulizojiwekea..!!
Kuna watu wanaongea point za kijinga sana mkuu, eti mateso waliyopitia[emoji23].Unapomchinja kuku inakuwaje? Acheni ukinga; kuku so mnakula?
Ulitaka nae achomwe?Yeye si alikuwa makamu wa Rais, alitoa ushauri gani? Aache unafiki
Ule ulikuwa ukatili..!!Mnaposema wale vifaranga walipitia mateso, wakichinjwa huwa hawapitii maumivu?
Hata ukisema huwa huwachinji, ili waliwe huwa wanachomwa na mto tofauti na ule?
Acheni kuleta points za kijinga huku mkidhani mnaongea ya maana sana.
Hoja uamuzi aliouchukua JPM haukuwa sawa kidplomasia na wala sio maswala ya mateso kwa vifaranga.
Jiwe linashaurika..?Yeye si alikuwa makamu wa Rais, alitoa ushauri gani? Aache unafiki
Na angekula nari mchana peupeUlitaka nae achomwe?
Samia na Yusuph Makamba ni wale wale. Ndo maana Morroco hawataki kuitwa WaafrikaRais Samia amesema amri ya kuchoma vifaranga 6400 vilivyoingizwa kutoka Kenya miaka mitano iliyopita ilikuwa sio sawa.
Rais Samia kasema hawakushulikia vizuri uingizaji ule wa vifaranga maana pia vifaranga vinavyo haki ya kuishi.
Rais Samia alizungumza haya wakati akiongea na mawakili wa ukanda ya Afrika Mashariki.
"Afrika Mashariki tuna soko la pamoja ambalo linatusaidia kufanya biashara zetu, tunakubaliana kwenye mambo ya customs na taxation lakini we had a lot of NTB's na ni tariff barriers ambazo mnajitahidi kuzifanyia kazi kuziondosha.
Ni kitu kidogo tu, ni mmoja kutoka kwenda kwa mwingine. Wakati mimi sikuingia, biashara yetu na Kenya ilikuwa ngumu sana, ngumu sana. Fika vifaranga mipakani pale, makaratasi hayasomi vizuri, vimetoka wapi haisemi vizuri, kunapita vifungu vya sheria as if sheria is everything. No no no sheria hairuhusu, solution hata hatuogopi dhambi, choma hivyo vifaranga.
Tumejisahau, vifaranga pia ni viumbe vya Mungu, walikuwa na life tukachoma"
Alisema Rais Samia
View attachment 2427229