Rais Samia: Kabla sijaingia, biashara na Kenya ilikuwa ngumu. Asema kuchoma vifaranga wa Kenya yalikuwa makosa

Rais Samia: Kabla sijaingia, biashara na Kenya ilikuwa ngumu. Asema kuchoma vifaranga wa Kenya yalikuwa makosa

Huyu mama ni ndumi la kuwili, akiwa kama vice kwanini aku step down kuonyesha kutoridhishwa na mambo yalivyo kweye kazi anayotumikia?
 
Kwanini uchome moto viumbe ambavyo havina hatia, sheria zipo. Sikuunga mkono kabisa hili. Kuua viumbe huyu jamaa kwake kulikuwa simple sana.
 
Rais Samia amesema amri ya kuchoma vifaranga 6400 vilivyoingizwa kutoka Kenya miaka mitano iliyopita ilikuwa sio sawa.

Rais Samia kasema hawakushulikia vizuri uingizaji ule wa vifaranga maana pia vifaranga vinavyo haki ya kuishi.

Rais Samia alizungumza haya wakati akiongea na mawakili wa ukanda ya Afrika Mashariki.

"Afrika Mashariki tuna soko la pamoja ambalo linatusaidia kufanya biashara zetu, tunakubaliana kwenye mambo ya customs na taxation lakini we had a lot of NTB's na ni tariff barriers ambazo mnajitahidi kuzifanyia kazi kuziondosha.

Ni kitu kidogo tu, ni mmoja kutoka kwenda kwa mwingine. Wakati mimi sikuingia, biashara yetu na Kenya ilikuwa ngumu sana, ngumu sana. Fika vifaranga mipakani pale, makaratasi hayasomi vizuri, vimetoka wapi haisemi vizuri, kunapita vifungu vya sheria as if sheria is everything. No no no sheria hairuhusu, solution hata hatuogopi dhambi, choma hivyo vifaranga.

Tumejisahau, vifaranga pia ni viumbe vya Mungu, walikuwa na life tukachoma"


Alisema Rais Samia


View attachment 2427229
Nae atapingwa tu akitoka.
 
Unapomchinja kuku inakuwaje? Acheni ukinga; kuku so mnakula?
Dah..!! Una mifano ya kijinga kweli mwana..!! Kwahiyo hao vifaranga waliliwa baada ya kuchomwa? Dah..!! Akili yako unijua mwenyewe.

By the way, usisahau kuna hukumu za watu kunyongwa na tunaona ni sawa, kwa vile imepita kwenye sheria tulizojiwekea..!!
 
Dah..!! Una mifano ya kijinga kweli mwana..!! Kwahiyo hao vifaranga waliliwa baada ya kuchomwa? Dah..!! Akili yako unijua mwenyewe.

By the way, usisahau kuna hukumu za watu kunyongwa na tunaona ni sawa, kwa vile imepita kwenye sheria tulizojiwekea..!!
Mnaposema wale vifaranga walipitia mateso, wakichinjwa huwa hawapitii maumivu?

Hata ukisema huwa huwachinji, ili waliwe huwa wanachomwa na mto tofauti na ule?

Acheni kuleta points za kijinga huku mkidhani mnaongea ya maana sana.

Hoja uamuzi aliouchukua JPM haukuwa sawa kidplomasia na wala sio maswala ya mateso kwa vifaranga.
 
Unapomchinja kuku inakuwaje? Acheni ukinga; kuku so mnakula?
Kuna watu wanaongea point za kijinga sana mkuu, eti mateso waliyopitia[emoji23].

Hizo kauli waongee ambao kwao kula nyama ni mwiko, sio hawa wachekea matako wa Jf.
 
Mnaposema wale vifaranga walipitia mateso, wakichinjwa huwa hawapitii maumivu?

Hata ukisema huwa huwachinji, ili waliwe huwa wanachomwa na mto tofauti na ule?

Acheni kuleta points za kijinga huku mkidhani mnaongea ya maana sana.

Hoja uamuzi aliouchukua JPM haukuwa sawa kidplomasia na wala sio maswala ya mateso kwa vifaranga.
Ule ulikuwa ukatili..!!
 
Rais Samia amesema amri ya kuchoma vifaranga 6400 vilivyoingizwa kutoka Kenya miaka mitano iliyopita ilikuwa sio sawa.

Rais Samia kasema hawakushulikia vizuri uingizaji ule wa vifaranga maana pia vifaranga vinavyo haki ya kuishi.

Rais Samia alizungumza haya wakati akiongea na mawakili wa ukanda ya Afrika Mashariki.

"Afrika Mashariki tuna soko la pamoja ambalo linatusaidia kufanya biashara zetu, tunakubaliana kwenye mambo ya customs na taxation lakini we had a lot of NTB's na ni tariff barriers ambazo mnajitahidi kuzifanyia kazi kuziondosha.

Ni kitu kidogo tu, ni mmoja kutoka kwenda kwa mwingine. Wakati mimi sikuingia, biashara yetu na Kenya ilikuwa ngumu sana, ngumu sana. Fika vifaranga mipakani pale, makaratasi hayasomi vizuri, vimetoka wapi haisemi vizuri, kunapita vifungu vya sheria as if sheria is everything. No no no sheria hairuhusu, solution hata hatuogopi dhambi, choma hivyo vifaranga.

Tumejisahau, vifaranga pia ni viumbe vya Mungu, walikuwa na life tukachoma"


Alisema Rais Samia


View attachment 2427229
Samia na Yusuph Makamba ni wale wale. Ndo maana Morroco hawataki kuitwa Waafrika
 
Back
Top Bottom