chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
- Thread starter
- #21
Zanzibar haina uwezo wa kulipa tu bills za umeme wa Tanesco kutoka Bara ndio wataweza kulipa hii mikopo ya matrilioni?Alafu wadanganyika ndo tutakuja kulipa hiyo pesa [emoji849]
Ni wavuja jasho walalahoi vijijini a mijini Tanganyika wanaokunywa tope ndio watawalipia wapemba airport ya trillion 1