Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Hatuna shida na Zanzibar kunufaika lakini je manufaa hayo ni proportional?
Hebu tazama, kwenye mkopo wa IMF wa dola bilion 1.3, Zanzibar iligawiwa around dola milion 230
Katibu mkuu kiongozi Mchengerwa anasema Zanzibar ipewe 21% ya Ajira zote za muungano
Leo tunakopa matrilion na tunaimwahia Pemba matrilioni
Je hii ni. proportional?
Hebu tazama, kwenye mkopo wa IMF wa dola bilion 1.3, Zanzibar iligawiwa around dola milion 230
Katibu mkuu kiongozi Mchengerwa anasema Zanzibar ipewe 21% ya Ajira zote za muungano
Leo tunakopa matrilion na tunaimwahia Pemba matrilioni
Je hii ni. proportional?