Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar

Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar

Zanzibar haina uwezo wa kulipa tu bills za umeme wa Tanesco kutoka Bara ndio wataweza kulipa hii mikopo ya matrilioni?

Ni wavuja jasho walalahoi vijijini a mijini Tanganyika wanaokunywa tope ndio watawalipia wapemba airport ya trillion 1
Kuhusu hili nakataa, utaratibu wa ununuzi wa umeme kama ilivyo system ya bara basi na hata Zanzibar iko hivyo hivyo....kwa Upande wa bara ni LUKU na kwa upande wa Zanzibar ni TUKUZA ....hivyo hakuna mtumiaji wa umeme anaetumia umeme wa bure kabla ya kuulipia.
Kama huelewi basi tatizo linaanzia juu na sio kwa mtumiaji.(Serikali na majengo yake)
 
Wengi mnaosema hakuna Tanganyika hamjawahi kufika zanzibar, fika zanzibar ujaribu kuishi kama mtanzania ndio utajua kumbe hizi ni nchi 2 tofauti kabisa

Tukiachana na ubaguzi wa hali ya juu kwa watanganyika kule zanzibar, usichojua ni kwamba wewe ni second citizen kule zanzibar, Huwezi kununua ardhi wala kuimiliki, namna mganda atavyotakiwa kufanya ili amiliki ardhi ndio hiyo hiyo njia utapitia wewe usietaka kusikia Tanganyika
Mlipolala Wapemba wameamka siku nyingi nyuma.
Mnataka muuziwe ardhi ndogo ya ZANZIBAR baadae mfanye kama ISRAEL walivyoifanyia PALESTINA.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Tutakuja kuambiwa Zanzibar inapaa kiuchumi wakati inatunyonya wabara. Angekuwepo kesy bungeni angeongea haya.
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

======

BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
BADEA managing director Dr Sidi Ould Tah made the pledge yesterday in the Egyptian capital, Cairo after holding discussions with Dr Mwigulu Nchemba, the minister for Finance and Planning.

The director said the discussion touched various key issues in the bank’s relationship with Tanzania, “and we're ready to provide the funds." The funds will be disbursed across five years of implementation of the Third National Development Plan for road infrastructure, education, agriculture, strengthening the private sector, plus human capital capacity building, he stated.

He lauded the 60 years of Independence that Tanzania marked this week, promising to work with President Samia Suluhu Hassan in her plans to bring development to the people.

For his part, the minister expressed gratitude to BADEA for the confidence shown in the move to provide a large amount of money that will help bring rapid development to the people through strategic projects they have agreed to finance.

BADEA is a major development partner for the country as so far they have provided loans and grants of up to $2.24bn for projects that include a major water project from Mwanga to Same in Kilimanjaro Region, he said.

The $3bn in loans and grants from BADEA over the next five years will be used to improve energy, 14 irrigation projects, livestock improvement and road construction, opening up economic opportunities in agriculture and other areas.

The funds will also be used to develop the private sector where banks will be given part of the money to provide low-interest loans in productive sectors, promoting employment for youth and women through entrepreneurial activities, he said.

Jamal Kassim Ali, the Zanzibar Minister of State in the President's Office (Finance and Planning), said that Zanzibar would also benefit from a portion of the soft loans and grants. Around $450m would be used to implement a number of strategic projects, he stated.

These include the construction of an airport in Pemba Island, fir a runway and passenger building, Binguni Referral Hospital construction, five VETA technical colleges and fuel depots, he explained.

The loan would further boost the Isles economy and boost employment, a major challenge for Zanzibar authorities right now. BADEA’s decision to provide the loan will contribute to the country's development, he added.
View attachment 2040768

View attachment 2040766
Kwani ana uchungu gani na Tanganyika? Acha aijenge nchi yake.
 
Mlipolala Wapemba wameamka siku nyingi nyuma.
Mnataka muuziwe ardhi ndogo ya ZANZIBAR baadae mfanye kama ISRAEL walivyoifanyia PALESTINA.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Nawapongeza kwa kuitunza Pemba yenu, nachoshangaa kuna mapopoma ya kitanzania Yanafikiri Tanganyika haipo
 
Tutakuja kuambiwa Zanzibar inapaa kiuchumi wakati inatunyonya wabara. Angekuwepo kesy bungeni angeongea haya.
Shida hii tunajitakia sisi wenyewe Watanganyika.

Kwanini tusiifungue mikono Zanzibar akawa inajisimamia yenyewe kwenye mikopo,badala ya kulazimisha kwamba Zanzibar inapotaka kukopa lazima idhaminiwe na SMT.

Kama Katiba mpya bado sana, wenye uchungu na hili na wapo jikoni huko wapendekeze marekebisho ya Katiba.

Mtaendelea kulalamika mpaka lini.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Mtu kwao jamani!Mimi namsifu kudos mazaa Fanya kweli usidharaulike...jifunze kwa mwendazake aliweka lami mpk sebuleni kwake,Kanda Ya ziwa yote lami!
Mama huu ndio wakati wa kuhakikisha kanuni ya 21% vs 79% inasimamiwa ,maana kwa miaka 6 ya Mwendazake mlidhulimiwa Sana na hiyo iko kwenye sheria.

By the way til 1 vs til 6 ni 14% vs 86% respectively.
 
Alijenga Geita mkoa unaochangia trillions kupitia dhahabu, Zanzibar mtanganyika hawezi kumiliki hata inch 1 ya ardhi lakini ndio mfadhili mkubwa wa Zanzibar kwa sasa meanwhile yapo maeneo lukuki Tanganyika watu wanakunywa tope
Acha mlipe si mlijipendekeza kwao kwani wao wanawahitaji? Watu wanataka muwaachie nchi yao mmeng'ang'ana tu Kama kupe.
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

======

BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
BADEA managing director Dr Sidi Ould Tah made the pledge yesterday in the Egyptian capital, Cairo after holding discussions with Dr Mwigulu Nchemba, the minister for Finance and Planning.

The director said the discussion touched various key issues in the bank’s relationship with Tanzania, “and we're ready to provide the funds." The funds will be disbursed across five years of implementation of the Third National Development Plan for road infrastructure, education, agriculture, strengthening the private sector, plus human capital capacity building, he stated.

He lauded the 60 years of Independence that Tanzania marked this week, promising to work with President Samia Suluhu Hassan in her plans to bring development to the people.

For his part, the minister expressed gratitude to BADEA for the confidence shown in the move to provide a large amount of money that will help bring rapid development to the people through strategic projects they have agreed to finance.

BADEA is a major development partner for the country as so far they have provided loans and grants of up to $2.24bn for projects that include a major water project from Mwanga to Same in Kilimanjaro Region, he said.

The $3bn in loans and grants from BADEA over the next five years will be used to improve energy, 14 irrigation projects, livestock improvement and road construction, opening up economic opportunities in agriculture and other areas.

The funds will also be used to develop the private sector where banks will be given part of the money to provide low-interest loans in productive sectors, promoting employment for youth and women through entrepreneurial activities, he said.

Jamal Kassim Ali, the Zanzibar Minister of State in the President's Office (Finance and Planning), said that Zanzibar would also benefit from a portion of the soft loans and grants. Around $450m would be used to implement a number of strategic projects, he stated.

These include the construction of an airport in Pemba Island, fir a runway and passenger building, Binguni Referral Hospital construction, five VETA technical colleges and fuel depots, he explained.

The loan would further boost the Isles economy and boost employment, a major challenge for Zanzibar authorities right now. BADEA’s decision to provide the loan will contribute to the country's development, he added.
View attachment 2040768

View attachment 2040766
Mtafanya nijiondoe JF kwa hoja hizi....Nina hofu...
 
Hii ndio hasara ya ukweli na uwazi.watz wanapenda ukikopa wajue baada ya muda kuwa umejenga na ulikopa.sasa akina Mwiguru jirekebisheni.kila taarifa iwekwe chanzo cha uhakika.mjue nani anayatoa ya ndani.
 
Bila katiba mpya, Tanganyika huru na kuitoa CCM madarakani hizi kelele hazitaisha milele.
Tuna muungano wa kihuni huni sana, na wahuni wanaendelea kupiga hapo hapo.
Anachokifanya Samia ni muendelezo tu wa mtawala kuvutia kwake, yale yale ya Magufuli kupeleka miradi Chato na Jakaya kulazimisha Bagamoyo nayo kuwa jiji.
 
Polepole yupo na wananchi ndiyo maana viewers ni wengi sana kwake .

Nape na Makamba wanajulikana ni timu Msoga ( wapigaji)

Viewers wengi wakati 90% wanaishia kumkejeli na negative comments kwenye wall yake!
 
Back
Top Bottom