Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar

Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar

Wale waliotuuza, wajue mwenge uliyowashwa mlima Kilimanjaro lazima uwamulike mchana kweupe.
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

View attachment 2040768

View attachment 2040766
Kwani Pemba sio Tanzania??
 
Meanwhile Arusha airport ambapo ndio tu naambiwa kitovu cha utalii

images (23).jpeg
images (24).jpeg


Mwanza Airport ilitelekezwa, hakuna chochote kinachoendelea pale
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

View attachment 2040768

View attachment 2040766

Zanzibar kama Chatto au kanda pendwa. Kazi na iendelee!
 
Magufuli alipendelea kwao, wache na yye ale nchi.
Kila jambo na wakati wake
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

View attachment 2040768

View attachment 2040766
Dai katiba mpya acheni ujinga, mbona mwendakuzimu alijenga airport chato bila idhini ya bunge??
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

View attachment 2040768

View attachment 2040766
Ila wewe jamaa akili ni kama huna na una Chuki binafsi na Rais.

Unaweza chukuliwa ukathibitishe na hutaweza ila unaropoka tuu.

Hapo taarifa inasema serikali itakopa dola za Marekani til.3 sawa na til.7 kwa miaka 5 ijayo..

Kati ya pesa hizo Zanz.itapata dola mil.450 sawa na bil.900-1til kwa kipindi cha miaka 5 ijayo..

Pesa za Zanji zitajenga airport, hospital s,veta,fuel depot nk..

Sasa til.7-til.1=6 sasa hapo Tanganyika wameonewa? Utakuwa kwa chuki binafsi wewe.
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

View attachment 2040768

View attachment 2040766
Inakera na inaudhi!
 
Mimi sina shida Na maendeleo ya Tanzania iwe ni Pemba au Unguja au CHATO au tandahimba au KATAVI au Kigoma au Handeni provided ni sehemu ya Tanzania am okay. Shida yangu ni kwa wapumbavu wachache wanaitaka kuivuruga hii nchi kwa kujifanya wao ndo wenye nchi ndo wa miliki wa vyama vya siasa ikiwemo ccm. Hawa tupambane nao hawana Nia njema Na nchi yetu. Mfano ni Nape Nnauye huyu siyo wa Kichekea hata kidogo
 
Mama kaona angalau aambulie airport,huu mchezo wa kila mcheza kwao ni hatari sana kwa taifa
 
Wengi mnaosema hakuna Tanganyika hamjawahi kufika zanzibar, fika zanzibar ujaribu kuishi kama mtanzania ndio utajua kumbe hizi ni nchi 2 tofauti kabisa

Tukiachana na ubaguzi wa hali ya juu kwa watanganyika kule zanzibar, usichojua ni kwamba wewe ni second citizen kule zanzibar, Huwezi kununua ardhi wala kuimiliki, namna mganda atavyotakiwa kufanya ili amiliki ardhi ndio hiyo hiyo njia utapitia wewe usietaka kusikia Tanganyika
Kwani ulikuwa hujui kuwa hizi ni nchi MBILI tafauti. Hahahahaha. Wadanganyika bana aaa mmejiachia sanaaa
zimewekwa pamoja na mkataba wa kimataifa (international treat )
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

View attachment 2040768

View attachment 2040766
Akienda kujenga Burundi nistue nisanuke nae.

Madhali Pemba ni sehemu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania asijenge airport tuu na Bandari aiboreshe.
 
Back
Top Bottom