Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Pemba sio Tanzania??Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba
Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700
Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia
Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa
View attachment 2040768
View attachment 2040766
chawa kaziniTatizo liko wapi!
Pemba ni Tanzania.
Magufuli alijenga uwanja wa ndege kijiji mkakaa kimya!
Sasa uwanja unatumiwa kuanika mazao.
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba
Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700
Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia
Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa
View attachment 2040768
View attachment 2040766
Dai katiba mpya acheni ujinga, mbona mwendakuzimu alijenga airport chato bila idhini ya bunge??Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba
Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700
Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia
Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa
View attachment 2040768
View attachment 2040766
Ila wewe jamaa akili ni kama huna na una Chuki binafsi na Rais.Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba
Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700
Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia
Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa
View attachment 2040768
View attachment 2040766
Juzi nimekuta watoto wanacheza chandimu paleMagufuli alijenga uwanja wa ndege kijiji mkakaa kimya!
Sasa uwanja unatumiwa kuanika mazao.
Bavicha mmekuja na fisi uwanjani!chawa kazini
Inakera na inaudhi!Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba
Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700
Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia
Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa
View attachment 2040768
View attachment 2040766
Tuwekee na picha za uwanja wa chato tuzione.Meanwhile Arusha airport ambapo ndio tu naambiwa kitovu cha utalii
View attachment 2040838View attachment 2040839
Mwanza Airport ilitelekezwa, hakuna chochote kinachoendelea pale
Kwani ulikuwa hujui kuwa hizi ni nchi MBILI tafauti. Hahahahaha. Wadanganyika bana aaa mmejiachia sanaaaWengi mnaosema hakuna Tanganyika hamjawahi kufika zanzibar, fika zanzibar ujaribu kuishi kama mtanzania ndio utajua kumbe hizi ni nchi 2 tofauti kabisa
Tukiachana na ubaguzi wa hali ya juu kwa watanganyika kule zanzibar, usichojua ni kwamba wewe ni second citizen kule zanzibar, Huwezi kununua ardhi wala kuimiliki, namna mganda atavyotakiwa kufanya ili amiliki ardhi ndio hiyo hiyo njia utapitia wewe usietaka kusikia Tanganyika
Akienda kujenga Burundi nistue nisanuke nae.Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba
Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700
Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia
Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa
View attachment 2040768
View attachment 2040766