chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
- Thread starter
-
- #121
Sahihi kabisa, hakuna watu wapumbavu kama watanganyika ni watu laini na hovyo kuwai kutokea kwenye uso wa dunia, watanganyika hata Mzungu akiamua kuja kuitawala upya atagharamika nauli tu.Tushachoka kuwaambia ukweli kuwa Watanganyika ni wapumbavu.
Pale ilipokuwa Zanzibar haipewi chochote kutoka kapu la muungano ulisema? Hii leo Zanzibar kupata haki yake inakuuma. Ni ajabuHatuna shida na Zanzibar kunufaika lakini je manufaa hayo ni proportional?
Hebu tazama, kwenye mkopo wa IMF wa dola bilion 1.3, Zanzibar iligawiwa around dola milion 230
Katibu mkuu kiongozi Mchengerwa anasema Zanzibar ipewe 21% ya Ajira zote za muungano
Leo tunakopa matrilion na tunaimwahia Pemba matrilioni
Je hii ni. proportional?
Huyu Mama ni mbaguzi wa kutisha, nashangaa watanganyika tunamuangalia tu anavyohamisha mali zetu. Ameondoa watu wengi balozini na kujaza wazanzibari, wazanzibari wanapewa teuzi katika taasisi zisizo za muungano! Tuamke tumkatalieHizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba
Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700
Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia
Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa
======
BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
BADEA managing director Dr Sidi Ould Tah made the pledge yesterday in the Egyptian capital, Cairo after holding discussions with Dr Mwigulu Nchemba, the minister for Finance and Planning.
The director said the discussion touched various key issues in the bank’s relationship with Tanzania, “and we're ready to provide the funds." The funds will be disbursed across five years of implementation of the Third National Development Plan for road infrastructure, education, agriculture, strengthening the private sector, plus human capital capacity building, he stated.
He lauded the 60 years of Independence that Tanzania marked this week, promising to work with President Samia Suluhu Hassan in her plans to bring development to the people.
For his part, the minister expressed gratitude to BADEA for the confidence shown in the move to provide a large amount of money that will help bring rapid development to the people through strategic projects they have agreed to finance.
BADEA is a major development partner for the country as so far they have provided loans and grants of up to $2.24bn for projects that include a major water project from Mwanga to Same in Kilimanjaro Region, he said.
The $3bn in loans and grants from BADEA over the next five years will be used to improve energy, 14 irrigation projects, livestock improvement and road construction, opening up economic opportunities in agriculture and other areas.
The funds will also be used to develop the private sector where banks will be given part of the money to provide low-interest loans in productive sectors, promoting employment for youth and women through entrepreneurial activities, he said.
Jamal Kassim Ali, the Zanzibar Minister of State in the President's Office (Finance and Planning), said that Zanzibar would also benefit from a portion of the soft loans and grants. Around $450m would be used to implement a number of strategic projects, he stated.
These include the construction of an airport in Pemba Island, fir a runway and passenger building, Binguni Referral Hospital construction, five VETA technical colleges and fuel depots, he explained.
The loan would further boost the Isles economy and boost employment, a major challenge for Zanzibar authorities right now. BADEA’s decision to provide the loan will contribute to the country's development, he added.
View attachment 2040768BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
THE Arab Bank for Economic Development in Africa (BADEA) has pledged to provide Tanzania with concessional loans and grants reaching $3bn (7trn/-) over the next five years for various development projects.www.ippmedia.com
View attachment 2040766
Bora hata znz je uwanja wa ndege uliojengwa porini? Na mkasifia mnoo bila kuhoji. Kaeni kwa kutulia tu maana hakuna namna!Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba
Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700
Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia
Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa
======
BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
BADEA managing director Dr Sidi Ould Tah made the pledge yesterday in the Egyptian capital, Cairo after holding discussions with Dr Mwigulu Nchemba, the minister for Finance and Planning.
The director said the discussion touched various key issues in the bank’s relationship with Tanzania, “and we're ready to provide the funds." The funds will be disbursed across five years of implementation of the Third National Development Plan for road infrastructure, education, agriculture, strengthening the private sector, plus human capital capacity building, he stated.
He lauded the 60 years of Independence that Tanzania marked this week, promising to work with President Samia Suluhu Hassan in her plans to bring development to the people.
For his part, the minister expressed gratitude to BADEA for the confidence shown in the move to provide a large amount of money that will help bring rapid development to the people through strategic projects they have agreed to finance.
BADEA is a major development partner for the country as so far they have provided loans and grants of up to $2.24bn for projects that include a major water project from Mwanga to Same in Kilimanjaro Region, he said.
The $3bn in loans and grants from BADEA over the next five years will be used to improve energy, 14 irrigation projects, livestock improvement and road construction, opening up economic opportunities in agriculture and other areas.
The funds will also be used to develop the private sector where banks will be given part of the money to provide low-interest loans in productive sectors, promoting employment for youth and women through entrepreneurial activities, he said.
Jamal Kassim Ali, the Zanzibar Minister of State in the President's Office (Finance and Planning), said that Zanzibar would also benefit from a portion of the soft loans and grants. Around $450m would be used to implement a number of strategic projects, he stated.
These include the construction of an airport in Pemba Island, fir a runway and passenger building, Binguni Referral Hospital construction, five VETA technical colleges and fuel depots, he explained.
The loan would further boost the Isles economy and boost employment, a major challenge for Zanzibar authorities right now. BADEA’s decision to provide the loan will contribute to the country's development, he added.
View attachment 2040768BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
THE Arab Bank for Economic Development in Africa (BADEA) has pledged to provide Tanzania with concessional loans and grants reaching $3bn (7trn/-) over the next five years for various development projects.www.ippmedia.com
View attachment 2040766
Atalipa nani hizo fedha? Huyu ambae hana haki za uraia akienda ZNZ?Ila wewe jamaa akili ni kama huna na una Chuki binafsi na Rais.
Unaweza chukuliwa ukathibitishe na hutaweza ila unaropoka tuu.
Hapo taarifa inasema serikali itakopa dola za Marekani til.3 sawa na til.7 kwa miaka 5 ijayo..
Kati ya pesa hizo Zanz.itapata dola mil.450 sawa na bil.900-1til kwa kipindi cha miaka 5 ijayo..
Pesa za Zanji zitajenga airport, hospital s,veta,fuel depot nk..
Sasa til.7-til.1=6 sasa hapo Tanganyika wameonewa? Utakuwa kwa chuki binafsi wewe.
Mkuu wataje hao waliojazwa viavis Watanganyika waliopo.Huyu Mama ni mbaguzi wa kutisha, nashangaa watanganyika tunamuangalia tu anavyohamisha mali zetu. Ameondoa watu wengi balozini na kujaza wazanzibari, wazanzibari wanapewa teuzi katika taasisi zisizo za muungano! Tuamke tumkatalie
Wapo watu niliwaheshimu sana lakini nilikuja kuwa dharau kupita kiasiHuyu Mama ni mbaguzi wa kutisha, nashangaa watanganyika tunamuangalia tu anavyohamisha mali zetu. Ameondoa watu wengi balozini na kujaza wazanzibari, wazanzibari wanapewa teuzi katika taasisi zisizo za muungano! Tuamke tumkatalie
Pembroke na Chato yote ni TanzaniaTatizo liko wapi!
Pemba ni Tanzania.
Acheni chuki na nongwa wakuu, zama zenu kwishnei.Ana miezi 8 tu lakini ameshakopa zaidi ya trillion 4 kwaajili ya Zanzibar pekee yenye watu million 1.5
Itakuuma sanaBora hata znz je uwanja wa ndege uliojengwa porini? Na mkasifia mnoo bila kuhoji. Kaeni kwa kutulia tu maana hakuna namna!
Zama za Tanganyika hazijaishaAcheni chuki na nongwa wakuu, zama zenu kwishnei.
Utaratibu huo tunauelewa Sana na hasa Mimi binafsi...kuwepo utaratibu au kanuni haimananishi kuwa hauna kasoro...Kwanza sidhani kama huwa mnaelewa utaratibu.
Tanzania ikikopa pesa yoyote ni lazima kiasi cha hizo pesa kipelekwe Zanzibar,hiyo ndio kanuni.
Zanzibar ikitaka Kukopa lazima wapewe kibali na Serikali ya Muungano,hivi ndivyo ilivyowekwa.
Sasa kwa huu mkopo ni sawa na ule wa covid kwamba Tzn imekopa ila na Zanzibar imepata share yake full stop hakuna blaa blaa zingine.
Hivi chato haijawa mkoa kumbe?Alijenga Geita mkoa unaochangia trillions kupitia dhahabu, Zanzibar mtanganyika hawezi kumiliki hata inch 1 ya ardhi lakini ndio mfadhili mkubwa wa Zanzibar kwa sasa meanwhile yapo maeneo lukuki Tanganyika watu wanakunywa tope
Yaan cna cha kupoteza and am totally getting blissfully all day. But kaeni kwa kutulia that era was ended and will never return.
HAPANA, MUONGO MKUBWA!Tatizo liko wapi!
Pemba ni Tanzania.