Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar

Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar

Tushachoka kuwaambia ukweli kuwa Watanganyika ni wapumbavu.
Sahihi kabisa, hakuna watu wapumbavu kama watanganyika ni watu laini na hovyo kuwai kutokea kwenye uso wa dunia, watanganyika hata Mzungu akiamua kuja kuitawala upya atagharamika nauli tu.
 
Hatuna shida na Zanzibar kunufaika lakini je manufaa hayo ni proportional?

Hebu tazama, kwenye mkopo wa IMF wa dola bilion 1.3, Zanzibar iligawiwa around dola milion 230

Katibu mkuu kiongozi Mchengerwa anasema Zanzibar ipewe 21% ya Ajira zote za muungano

Leo tunakopa matrilion na tunaimwahia Pemba matrilioni

Je hii ni. proportional?
Pale ilipokuwa Zanzibar haipewi chochote kutoka kapu la muungano ulisema? Hii leo Zanzibar kupata haki yake inakuuma. Ni ajabu
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

======

BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
BADEA managing director Dr Sidi Ould Tah made the pledge yesterday in the Egyptian capital, Cairo after holding discussions with Dr Mwigulu Nchemba, the minister for Finance and Planning.

The director said the discussion touched various key issues in the bank’s relationship with Tanzania, “and we're ready to provide the funds." The funds will be disbursed across five years of implementation of the Third National Development Plan for road infrastructure, education, agriculture, strengthening the private sector, plus human capital capacity building, he stated.

He lauded the 60 years of Independence that Tanzania marked this week, promising to work with President Samia Suluhu Hassan in her plans to bring development to the people.

For his part, the minister expressed gratitude to BADEA for the confidence shown in the move to provide a large amount of money that will help bring rapid development to the people through strategic projects they have agreed to finance.

BADEA is a major development partner for the country as so far they have provided loans and grants of up to $2.24bn for projects that include a major water project from Mwanga to Same in Kilimanjaro Region, he said.

The $3bn in loans and grants from BADEA over the next five years will be used to improve energy, 14 irrigation projects, livestock improvement and road construction, opening up economic opportunities in agriculture and other areas.

The funds will also be used to develop the private sector where banks will be given part of the money to provide low-interest loans in productive sectors, promoting employment for youth and women through entrepreneurial activities, he said.

Jamal Kassim Ali, the Zanzibar Minister of State in the President's Office (Finance and Planning), said that Zanzibar would also benefit from a portion of the soft loans and grants. Around $450m would be used to implement a number of strategic projects, he stated.

These include the construction of an airport in Pemba Island, fir a runway and passenger building, Binguni Referral Hospital construction, five VETA technical colleges and fuel depots, he explained.

The loan would further boost the Isles economy and boost employment, a major challenge for Zanzibar authorities right now. BADEA’s decision to provide the loan will contribute to the country's development, he added.
View attachment 2040768

View attachment 2040766
Huyu Mama ni mbaguzi wa kutisha, nashangaa watanganyika tunamuangalia tu anavyohamisha mali zetu. Ameondoa watu wengi balozini na kujaza wazanzibari, wazanzibari wanapewa teuzi katika taasisi zisizo za muungano! Tuamke tumkatalie
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

======

BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
BADEA managing director Dr Sidi Ould Tah made the pledge yesterday in the Egyptian capital, Cairo after holding discussions with Dr Mwigulu Nchemba, the minister for Finance and Planning.

The director said the discussion touched various key issues in the bank’s relationship with Tanzania, “and we're ready to provide the funds." The funds will be disbursed across five years of implementation of the Third National Development Plan for road infrastructure, education, agriculture, strengthening the private sector, plus human capital capacity building, he stated.

He lauded the 60 years of Independence that Tanzania marked this week, promising to work with President Samia Suluhu Hassan in her plans to bring development to the people.

For his part, the minister expressed gratitude to BADEA for the confidence shown in the move to provide a large amount of money that will help bring rapid development to the people through strategic projects they have agreed to finance.

BADEA is a major development partner for the country as so far they have provided loans and grants of up to $2.24bn for projects that include a major water project from Mwanga to Same in Kilimanjaro Region, he said.

The $3bn in loans and grants from BADEA over the next five years will be used to improve energy, 14 irrigation projects, livestock improvement and road construction, opening up economic opportunities in agriculture and other areas.

The funds will also be used to develop the private sector where banks will be given part of the money to provide low-interest loans in productive sectors, promoting employment for youth and women through entrepreneurial activities, he said.

Jamal Kassim Ali, the Zanzibar Minister of State in the President's Office (Finance and Planning), said that Zanzibar would also benefit from a portion of the soft loans and grants. Around $450m would be used to implement a number of strategic projects, he stated.

These include the construction of an airport in Pemba Island, fir a runway and passenger building, Binguni Referral Hospital construction, five VETA technical colleges and fuel depots, he explained.

The loan would further boost the Isles economy and boost employment, a major challenge for Zanzibar authorities right now. BADEA’s decision to provide the loan will contribute to the country's development, he added.
View attachment 2040768

View attachment 2040766
Bora hata znz je uwanja wa ndege uliojengwa porini? Na mkasifia mnoo bila kuhoji. Kaeni kwa kutulia tu maana hakuna namna!
 
Ila wewe jamaa akili ni kama huna na una Chuki binafsi na Rais.

Unaweza chukuliwa ukathibitishe na hutaweza ila unaropoka tuu.

Hapo taarifa inasema serikali itakopa dola za Marekani til.3 sawa na til.7 kwa miaka 5 ijayo..

Kati ya pesa hizo Zanz.itapata dola mil.450 sawa na bil.900-1til kwa kipindi cha miaka 5 ijayo..

Pesa za Zanji zitajenga airport, hospital s,veta,fuel depot nk..

Sasa til.7-til.1=6 sasa hapo Tanganyika wameonewa? Utakuwa kwa chuki binafsi wewe.
Atalipa nani hizo fedha? Huyu ambae hana haki za uraia akienda ZNZ?
 
Huyu Mama ni mbaguzi wa kutisha, nashangaa watanganyika tunamuangalia tu anavyohamisha mali zetu. Ameondoa watu wengi balozini na kujaza wazanzibari, wazanzibari wanapewa teuzi katika taasisi zisizo za muungano! Tuamke tumkatalie
Mkuu wataje hao waliojazwa viavis Watanganyika waliopo.
 
Huyu Mama ni mbaguzi wa kutisha, nashangaa watanganyika tunamuangalia tu anavyohamisha mali zetu. Ameondoa watu wengi balozini na kujaza wazanzibari, wazanzibari wanapewa teuzi katika taasisi zisizo za muungano! Tuamke tumkatalie
Wapo watu niliwaheshimu sana lakini nilikuja kuwa dharau kupita kiasi

Sasa unategemea nini kwa hii misukule? Mama anaongoza mataahira, uhuni anaofanya hakuna wa kumwambia lolote

 
Bora hata znz je uwanja wa ndege uliojengwa porini? Na mkasifia mnoo bila kuhoji. Kaeni kwa kutulia tu maana hakuna namna!
Itakuuma sana

Screenshot_20211212-092512.png
 
Kwanza sidhani kama huwa mnaelewa utaratibu.

Tanzania ikikopa pesa yoyote ni lazima kiasi cha hizo pesa kipelekwe Zanzibar,hiyo ndio kanuni.

Zanzibar ikitaka Kukopa lazima wapewe kibali na Serikali ya Muungano,hivi ndivyo ilivyowekwa.

Sasa kwa huu mkopo ni sawa na ule wa covid kwamba Tzn imekopa ila na Zanzibar imepata share yake full stop hakuna blaa blaa zingine.
Utaratibu huo tunauelewa Sana na hasa Mimi binafsi...kuwepo utaratibu au kanuni haimananishi kuwa hauna kasoro...
 
Watanganyika hatutakubali, ndo anaenda kuopasua tanzania sasa, hatuwezi watu milioni 60 kweda sawa na 1.5mil popln.

Watuachie Tanganyila yetu
 
Alijenga Geita mkoa unaochangia trillions kupitia dhahabu, Zanzibar mtanganyika hawezi kumiliki hata inch 1 ya ardhi lakini ndio mfadhili mkubwa wa Zanzibar kwa sasa meanwhile yapo maeneo lukuki Tanganyika watu wanakunywa tope
Hivi chato haijawa mkoa kumbe?

NB: Hii ni maskini kwa sababu tuna viongozi wenye umaskini wa akili.
 
Tatizo liko wapi!

Pemba ni Tanzania.
HAPANA, MUONGO MKUBWA!

Pemba na Tanganyika sio nchi moja.

Mtanganyika haruhusiwi kununua kiwanja Pemba!

Katiba ya Zanzibar inasema, na Wazanzibari wanapaza sauti miaka yote wakisema, Zanzibar sio shehia, sio tarafa wala manispaa ya Tanzania, Zanzibar ni nchi.

Japo hatulingani: Kwa eneo Pemba na Unguja zinaingia Halmashauri ya Sikonge mara kumi na nne , na Wazanzibar hawawezi kujaza Manispaa ya Kinondoni ambayo ina raia milioni 1.7. Wanzanzibari wote pamoja na diaspora wao wa Tanganyika, Ulaya na Arabuni hawafiki milioni 1.7.

Tukipata mikopo na misaada Zanzibar wanataka mgao wao wapewe separately na wapate kwa kila tunapopata. Kwenye huu mkopo wamesema kwa Tanganyika sehemu kubwa itaenda kwenye miundombinu ya maji Mwanga na Same, lakini watu wa Kibondo na Kasulu hawajapata kitu na hawana maji, na hatujalalamika kwa sababu Same ni Tanzania, na kuna siku naweza kuhama Kasulu nikaoa Same nikanunua shamba Mwanga; na hii haikuwa zamu yetu watu wa Kasulu kupata maji. Lakini Zanzibar wao wanataka wapate mgao wao separately na waupate kila tunapopata chochote - kwa sababu wanasema wao Zanzibar ni nchi.

Sasa kwa nini Tanganyika iwe guarantor wa mikopo na mlipaji wa madeni ya nchi ya Zanzibari ?
 
inasikitisha sana na hii yote ni kutokana na serikali ya ccm
 
Back
Top Bottom