Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar

Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar

Yapo mambo ya muungano na yasiyo ya muungano, haiwezekani zanzibar iwe na ruhusa ya kukopa separately then bado wapate share kwenye mikopo ya Tanganyika
Nimekuuliza unaelewa unachoongea au huelewi?

Aliyeweka huo utaratibu ni watu wa Bara kwa sababu mliwalazimisha Wazanzibar kwenye Muungano.

Mkiona inawakata rudini kwenye meza ya mazungumzo.It is very interesting kwamba kwa sasa wanaolalamikia terms za Muungano ni WA Bara na sio Wazanzibar kama ilivyokuwa miaka yote 🤣🤣..

Kwa kukusaidia Zanzibar haina exclusive rights za Kukopa kama unavyodai wewe,wakaitaka lazima wa consult serikali ya JMT ila Wana haki ya kupata share kwenye mikopo yote ambayo SJMT inachukua na ndicho Samia anakisimamia .
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

======

BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
BADEA managing director Dr Sidi Ould Tah made the pledge yesterday in the Egyptian capital, Cairo after holding discussions with Dr Mwigulu Nchemba, the minister for Finance and Planning.

The director said the discussion touched various key issues in the bank’s relationship with Tanzania, “and we're ready to provide the funds." The funds will be disbursed across five years of implementation of the Third National Development Plan for road infrastructure, education, agriculture, strengthening the private sector, plus human capital capacity building, he stated.

He lauded the 60 years of Independence that Tanzania marked this week, promising to work with President Samia Suluhu Hassan in her plans to bring development to the people.

For his part, the minister expressed gratitude to BADEA for the confidence shown in the move to provide a large amount of money that will help bring rapid development to the people through strategic projects they have agreed to finance.

BADEA is a major development partner for the country as so far they have provided loans and grants of up to $2.24bn for projects that include a major water project from Mwanga to Same in Kilimanjaro Region, he said.

The $3bn in loans and grants from BADEA over the next five years will be used to improve energy, 14 irrigation projects, livestock improvement and road construction, opening up economic opportunities in agriculture and other areas.

The funds will also be used to develop the private sector where banks will be given part of the money to provide low-interest loans in productive sectors, promoting employment for youth and women through entrepreneurial activities, he said.

Jamal Kassim Ali, the Zanzibar Minister of State in the President's Office (Finance and Planning), said that Zanzibar would also benefit from a portion of the soft loans and grants. Around $450m would be used to implement a number of strategic projects, he stated.

These include the construction of an airport in Pemba Island, fir a runway and passenger building, Binguni Referral Hospital construction, five VETA technical colleges and fuel depots, he explained.

The loan would further boost the Isles economy and boost employment, a major challenge for Zanzibar authorities right now. BADEA’s decision to provide the loan will contribute to the country's development, he added.
View attachment 2040768

View attachment 2040766

31B7F34D-982C-4D7E-A6B3-F96ADF019A6A.jpeg


1ABEE9F7-DA8B-4BAB-909D-F553039497A1.jpeg
 
Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa

Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba

Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700

Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar pia

Note, mikopo hii yote Tanganyika ndio italipa

======

BADEA hands out 7trn/- loans for next five years
BADEA managing director Dr Sidi Ould Tah made the pledge yesterday in the Egyptian capital, Cairo after holding discussions with Dr Mwigulu Nchemba, the minister for Finance and Planning.

The director said the discussion touched various key issues in the bank’s relationship with Tanzania, “and we're ready to provide the funds." The funds will be disbursed across five years of implementation of the Third National Development Plan for road infrastructure, education, agriculture, strengthening the private sector, plus human capital capacity building, he stated.

He lauded the 60 years of Independence that Tanzania marked this week, promising to work with President Samia Suluhu Hassan in her plans to bring development to the people.

For his part, the minister expressed gratitude to BADEA for the confidence shown in the move to provide a large amount of money that will help bring rapid development to the people through strategic projects they have agreed to finance.

BADEA is a major development partner for the country as so far they have provided loans and grants of up to $2.24bn for projects that include a major water project from Mwanga to Same in Kilimanjaro Region, he said.

The $3bn in loans and grants from BADEA over the next five years will be used to improve energy, 14 irrigation projects, livestock improvement and road construction, opening up economic opportunities in agriculture and other areas.

The funds will also be used to develop the private sector where banks will be given part of the money to provide low-interest loans in productive sectors, promoting employment for youth and women through entrepreneurial activities, he said.

Jamal Kassim Ali, the Zanzibar Minister of State in the President's Office (Finance and Planning), said that Zanzibar would also benefit from a portion of the soft loans and grants. Around $450m would be used to implement a number of strategic projects, he stated.

These include the construction of an airport in Pemba Island, fir a runway and passenger building, Binguni Referral Hospital construction, five VETA technical colleges and fuel depots, he explained.

The loan would further boost the Isles economy and boost employment, a major challenge for Zanzibar authorities right now. BADEA’s decision to provide the loan will contribute to the country's development, he added.
View attachment 2040768

View attachment 2040766
Bora huyu anakopa na anaweka wazi na kila mwanachi anajua kama raisi kakopa pesa, kuliko kudanganya wanachi kuwa tunajenga miradi kwa pesa zetu wenyewe ilhali tunajua hadi kikwete anaachia nchi tulikuwa na deni la trillion 39 ila hadi December mwaka (2020) Jana tulikuwa na deni la trillion 54 jiulize kama angemaliza awamu zote mbili deni lingefika kiasi gani na je wanachi tungelipokeaje hilo deni baada ya yeye kumaliza muda wake na ngojera za kutuhadaa kuwa tunajiendesha kwa fedha zetu na Tanzania ni Nchi Tajiri sana

Kwa mujibu wa waziri wa fedha, tulikopa kutoka standard chartered bank trillion 3.3 2019 kwa ajili ya ujenzi wa SGR, ila tukisimama mbele ya wanachi tunasema ni fedha zetu zinajenga, je ni miradi mingapi tulikopa na hatukusema ukweli, je ni fedha kiasi gani zilitumika pasipo kujulikana chanzo chake kama ujenzi wa chato ila tulinyamaza tu ila Leo hii Mmama wa watu Kila anachofanya tunakosoa, bora yake yeye ameamua kuwa mkweli maana sometimes kujua ukweli ni tiba tosha ya satisfaction ya wanadamu

Huyu mama atapata tabu sana maana anaongoza watu ambao walizoea kuongopewa tu mwanzo mwisho bila kuhoji kama Leo manavofanya humu kwenye majukwaa, Kila akijaribu kuwa mkweli watu tunamkosoa maana hatukuzoea ukweli, as long anakopa na kutuambia kwa upande wangu sioni shida maana amekuwa honest na wanachi watajua ukweli kwamba tunadaiwa, na weka record zako sawa sawa mkopo wa covid-19 amepata msamaha
 
Naona watu wamechefukwa sana kwa maendeleo ya ndugu zao
Ila mimi nasema ni sawa tu

Hata ikitokea wakiomba wabadili fedha sawa tu wawe na hela zao
Muungano huu wamechomoa na kuchomeka mambo mengi tu ya muafaka na mengine lazima

Fursa hiyo acha nao wale Keki
Ikiuma unapoza na soda
 
Kelele zote hizi ni matunda ya Zanzibar kuungana na nchi fukara Tanganyika na kuvamiwa kijeshi. Zanzibar ingeungana na Oman kama zamani kwenye historia, leo Zanzibar ingekuwa kama Muscat. Zanzibar ingefaidi utajiri wa mafuta ya Oman. Lakini Zanzibar ilifanya makosa kuungana na Tanganyika matokeo yake tumegawana umaskini na kuoneana wivu na chuki zimezidi.
 
Ushabiki mwingi

1. Hakuna nchi inaitwa Tanganyika
2. Miradi ni muhimu ni kweli airport ya Pemba ni muhimu kuliko ya Chato. Kwani Chato wana chato wanaweza kulipa? Wapi kuna watalii zaidi!!?
3. Hatujui kiasi gani ni grants ambazo sio mikopo hivyo hatuna habari za kutosha
Tanzania ni Muungano wa zilizokuwa nchi 2 za Tanganyika na Zanzibar.

Muungani ukivunjika kila nchi litatumia majina yake ya Tanganyika na Zanzibar
 
Zanzibar si ni nchi na wanakatiba yao..kwanini wasiende kukopa wao.

#MaendeleoHayanaChama
 
tumesha zoea saivi zamu ya pemba baada ya chato, mama kaza
 
Ushabiki mwingi

1. Hakuna nchi inaitwa Tanganyika
2. Miradi ni muhimu ni kweli airport ya Pemba ni muhimu kuliko ya Chato. Kwani Chato wana chato wanaweza kulipa? Wapi kuna watalii zaidi!!?
3. Hatujui kiasi gani ni grants ambazo sio mikopo hivyo hatuna habari za kutosha
Nani kakuambia Airport ya chato haina umuhimu,fuatilia kwanza sio unaongea tu chato ipo mkoa wa Geita na geita kuna Gold mines,izo Gold unadhani zinasafirishwa na nini? ndo Airport inaingia apo
 
Nani kakuambia Airport ya chato haina umuhimu,fuatilia kwanza sio unaongea tu chato ipo mkoa wa Geita na geita kuna Gold mines,izo Gold unadhani zinasafirishwa na nini? ndo Airport inaingia apo
Mkoa wa chato hauundwi tena?
 
Back
Top Bottom