figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Nawashauri Wadau wa Siasa, mujifunze kuvumiliana na reconciliation. Si tabia njema kususasusa. Tangu hii tabia ya kususa ianze Kwama 2010, sijaona tija yoyote.
Yaani mnasusia nyani Shamba la mahindi?
Rais Samia Kasikia Kilio chenu cha Tume huru ya Uchaguzi.
Siku taratibu zikikamilika, mkashiriki kwa manufaa ya Nchi sio vyama vyenu.
Natanguliza Shukrani kwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu.
Happy New year.
Nawashauri Wadau wa Siasa, mujifunze kuvumiliana na reconciliation. Si tabia njema kususasusa. Tangu hii tabia ya kususa ianze Kwama 2010, sijaona tija yoyote.
Yaani mnasusia nyani Shamba la mahindi?
Rais Samia Kasikia Kilio chenu cha Tume huru ya Uchaguzi.
Siku taratibu zikikamilika, mkashiriki kwa manufaa ya Nchi sio vyama vyenu.
Natanguliza Shukrani kwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu.
Happy New year.