Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Utafanyaje hakuna namnaMmmmmmh, yangu macho ila ninacho umia ni hii buku bubu ya umeme ya kila mwezi, miamala ya simu,
mbole kupanda bei mara dufu hii ndo mbaya zaidi kwa sisi watu wa Inshamba
Nae ni waziri?Mzee wa MIGA zumbukuku yuko tayari kuchafua Tanzania inyimwe misaada
Mama chapa kazi sie watu wa bara usitusikilize sana, sie ni watu wa chuki, visasi na ubaguzi, wengi hawana sabb ya kukuchukia isipo kua chuki zao za kijinsia na udini . Huku kwetu ni chuki tupu hatuna mioyo ya kusamehe na kupuuzia mambo mengine, paka tuue ndo turidhike, kuna lijama lilikua linaua watu hata viongozi wa dini yake walishinda kulikemea, we piga kazi tunakuamini tu.Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao
Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali
Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
Ccm ilishakufa kitambo, imebaki dola tu kuendeleza manyanyaso kwa umma wa watanzania ambao hawakuwapa ccm mandate ya kuwaongoza.Sijajua kwanini CCM inakuwa kisima cha chuki!!!!
Safi Sana mama bora umewapasha.Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao
Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali
Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
Kwa Uzanzibari wake,kwa uislamu wake na Kwa kuwa na Mwanamke kawa Rais, nothing else.
Kwa kuweweseka huku, nadhani huyu nae alitokea kuleeeee walikomkuta Propesa Kabundi.Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao....
Yeye anaipenda zanzibar tu nyie wengine mtafuteni mama yenuYeye mwenyewe haipendi nchi yake
Mama chapa kazi sie watu wa bara usitusikilize sana, sie ni watu chuki, visasi na ubaguzi, wengi hawana sabb ya kukuchukia isipo kua chuki zao za kijinsia na udini . Huku kwetu ni chuki tupu hatuna mioyo wa kusamehe na kupuuzia mambo mengine, paka tuue ndo turidhike, kuna lijama lilikua linaua watu hata viongozi wa dini yake walishinda kulikemea, we piga kazi tunakuamini tu.
Huu ni Ukweli kabisa NAKAZIA CHUKI YA KIJINSIA NA UKABILA, ASICHOKIJUA MAMA BARA KUNA UBAGUZI WA KIJINGA SANA,VISASI NA CHUKI mfano mdogo ni hao mazumbukuku wanaoendelea kuchinja wazazi wao kila kukicha ila BORA AONGEE tuu.Mama chapa kazi sie watu wa bara usitusikilize sana, sie ni watu chuki, visasi na ubaguzi, wengi hawana sabb ya kukuchukia isipo kua chuki zao za kijinsia na udini . Huku kwetu ni chuki tupu hatuna mioyo wa kusamehe na kupuuzia mambo mengine, paka tuue ndo turidhike, kuna lijama lilikua linaua watu hata viongozi wa dini yake walishinda kulikemea, we piga kazi tunakuamini tu.
Nyie wavaa madera kazi yenu siku zote kulia lia tu!Kwa Uzanzibari wake,kwa uislamu wake na Kwa kuwa na Mwanamke kawa Rais, nothing else.