Rais Samia: Kama haumpendi Rais aliyeko, penda nchi yako

Rais Samia: Kama haumpendi Rais aliyeko, penda nchi yako

Halafu hizi Chuki zinatakiwa ziende kwa aliyempa nafasi ya Umakamu nashangaa watu hawalioni kama kweli Mama ni tatizo nadhani watu wanajua wakumlaumu.
Si kweli,hata yeye ana mchango mkubwa kwenye chuki hii inayolitafuna taifa .Bado hatujasahau kauli yake kuwa HATA MKIPIPIGIA KURA WALE WA VYAMA VINGINE,CCM INAENDA KUUNDA SERIKALI.Kauli hii ni nzito mno na yeye anajua kwanini alitamka hivyo hadharani.Ni rahisi kwake kusahau kwakuwa yuko mezani anakula keki ya taifa,lakini walioporwa ushindi ili ccm iunde serikali hawawezi kusahau.
 
Alichaguliwa na Mwenda zake awe Makamu wake nadhani pia kwa chochote kutokea pia aliona anafaa, na kwakuwa Mzee alikuwa ni Jembe nadhani machaguo yake yalikuwa sahihi.
Pole sana Ndugu,
Kwa Mwendazake, sikuvutiwa na mitazamo yake ya kuvunja katiba/sheria na kuminya demokrasia, haki na uhuru wa waTz pasipo aibu; wala sikupenda utendaji wa one man show, lugha chafu, vitisho na ukatili. Sio ajabu teuzi zake ambazo zilionekana kuwa angalau zina nafuu, nazo pia zimeishia kuwa vichekesho
 
Ndio hulka za binadamu,Musa alichukiwa japo aliwatoa utumwani wana wa Israel. Hata Yesu alichukiwa na Wayahudi japo aliwafanyia mambo mengi na miujiza nyingi.
Watanzania nasi ni binadamu na bahati mbaya tumezoea kutawaliwa na mkono wa chuma na mtu mwenye ndevu.Ila huko mbeleni watu wale wale wanaokuchukia leo,miaka mitatu ijayo wanaweza wakakuelewa.
😍
 

Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao

Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali

Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
Huyu Bimkubwa mbona hajiamini muda wote ni mtu wa kujishukushuku. Yeye ndiye ana chuki na baadhi ya watu mfano hai ni jinsi anavyomchukia Mbowe hadi kuamua kumuangamiza kwa kesi ya kutunga.
 
Mmmmmmh, yangu macho ila ninacho umia ni hii buku bubu ya umeme ya kila mwezi, miamala ya simu,

mbole kupanda bei mara dufu hii ndo mbaya zaidi kwa sisi watu wa Inshamba
Wakati watumishi hawalipwi stahiki zao hamkuumia kwasababu halijawagusa ,watumishi walipo sitishiwa nyongeza za mishahara na kuto panda madaraja hamkuumia, wastaafu kuto pewa stahiki zao hamkuumia , serikali kuto ajiri na kupelekea watumishi wachache waliopo kufanya kazi kama punda hamkuumia , halsmashauri zilishindwa kujiendesha na pesa zote zinakusanywa hazina wala hamkuumia , matajiri kubambikiwa keshi kubwa ili watoe pesa hamkuumia, wafanya biashara kunyang'anywa pesa zao na kufilisiwa accounts zao hamkuumia sababu hayo yote mliyasikia lakini kwa vile hayakugusa maslahi yenu mliyafurahia

Leo limekuja linanalo wagusa tena hela ndogo tu kwa mwezi kwa maslahi ya taifa ndio mnakuja juu na maneno lukuki.
ACHENI UBINAFSI.
 

Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao

Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali

Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
Safari hii tutasikia mengi sana kutokea jengo jeupe
 

Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao

Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali

Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
Kumbe ashajua kuwa hapemdwiiiii?
 
Sawa waendelee ameruhusu WAENDELEE KUMCHUKIA.....

Serikali ipo....
Nchi ipo......

#Siempre JMT🙏
Nadhani hujanielewa vyema. Serikali ikipendwa na yeye kiongozi mkuu wa serikali atapendwa.

Baniani mbaya kiatu chake dawa usisahau hilo.

Otherwise ni kama anasema serikali inafanya vyema ila yeye binafsi anachukiwa. Na ameshawahi kusema mara nyingi kuwa ni kwasababu yeye ni mwanamke na pia mzanzibari. The former is definitely a gender card. The latter has something to do with tribalism.
 
What goes around comes around. Nape, January na Riziwan walimchukia mtangulizi wako tena hadharani na hao hao umewapa kazi. Kama Urais ni taasisi maana yake hata wewe walikuchukia?
 
Nadhani hujanielewa vyema. Serikali ikipendwa na yeye kiongozi mkuu wa serikali atapendwa.

Baniani mbaya kiatu chake dawa usisahau hilo.

Otherwise ni kama anasema serikali inafanya vyema ila yeye binafsi anachukiwa. Na ameshawahi kusema mara nyingi kuwa ni kwasababu yeye ni mwanamke na pia mzanzibari. The former is definitely a gender card. The latter has something to do with tribalism.
Sawasawa mkuu....

But Zanzibar has got no tribes...
 
Back
Top Bottom