vexozanzhu
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 503
- 615
hamna ushahidi kwenye hili................na hata kama ipo hivyo ni kwa vile tuu Magufuli alimteua kuwa makamu wake na Maraisi wote wamekuwa wakiiamarisha mambo ya kwao hata kwa uchache tukumbuke hata Chato ipo vile kwasababu gani na ni ndani ya miaka mi5 ya kwanza ......ilishapendeza ,mpeni kijiji basi huku bara abadilishe kabila na ubini...........Yeye mwenyewe hana mapenzi na danganyika zaidi ya kule kwenye urojo......ndo maana kapiga pasu pesa ya uviko ikajenge himaya huko.