Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Huku sherehe kule sherehe jirani nae anapeta mchele je utakwenda wP msoni wa majalalNi?Kweli maisha yamekupiga! Usitafute mchawi umasikini wako ni akili zako na tafsiri zako. Mpaka anaye kutawala unamuona dhaifu.
Lofa katika kiwango chako uyu vs huyu! Hilo ni tatizo la kutoenda shule kabisa.
Wengi Sana mkuuWananchi wangapi wako nyuma yake? Research gani umefanya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maneno meeeeeeeeeeeeeeeengi.
Furaha au Kero kuzidiNi nini kinasababisha mtu Anaoa wanawake watatu? Mwenye majibu tafadhali
Atakuwa amegundua kama kweli watu hawampendi .Mpaka kusema hivyo kutakuwa na kitu hakiko sawa
Wabongo[emoji23][emoji119]Yeye mwenyewe haipendi nchi yake
Yupo hapo ajili ya posho nono na marupurupu manonoWabongo[emoji23][emoji119]
We jamaa bwana!
Asingeipenda angekubali kuwa Rais??
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yupo hapo ajili ya posho nono na marupurupu manono
Hakuna namna watu wanapiga snAnahamasisha upigaji uanze kwa kasi ya 5G.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao
Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali
Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
We ni mwandishi mzuri sana wa taarabu ila pole maana kiswahilii wana fundisha wakenya uko njee ya nchi hauna msaada wowote kwangu.. certified foolKweli maisha yamekupiga! Usitafute mchawi umasikini wako ni akili zako na tafsiri zako. Mpaka anaye kutawala unamuona dhaifu.
Lofa katika kiwango chako uyu vs huyu! Hilo ni tatizo la kutoenda shule kabisa.
Duuu..Mama awe mkaliii..Asicheke na hawa watu,,,MawaziriManeno meeeeeeeeeeeeeeeengi.
Ni pamoja na kwasaidia wanapokabiliwa na changamoto za kimaisha, Kama vle wajane, walemavu na umasikini
Maza ni mke wa ngapiFuraha au Kero kuzidi
mama mkubwaMaza ni mke wa ngapi
Hilo lina uhusiano gani na kazi zake za uraisi, kuingiza ma suala binafsi katika masuala ya kitaifa ni chuki tu, udini unawasumbua sana nyie.Maza ni mke wa ngapi
Mbona unakurupuka?Hilo lina uhusiano gani na kazi zake za uraisi, kuingiza ma suala binafsi katika masuala ya kitaifa ni chuki tu, udini unawasumbua sana nyie.