Upendeleo wenyewe ni unyanyapaa pia. Naona bado hujaeelewa mada iliyopo hewani. Kwani hao watoto wa kike wao wanasomea kwenye mazingira tofauti na wavulana. Yaani watoto wote wasomee kwenye mazingira yanayofanana halafu useme kuna injustice? You cant be serious!!Tofauti na hoja ya viti maaluma huna hoja nyingine yoyote ya msingi.
Kuhusu wanawake kupata nafasi za upendeleo katika masomo ni sahihi kwa sababu jamii nyingi hasa za vijijini hazikuthamini masomo kwa mtoto wa kike kwa muda mrefu hivyo serikali inachofanya ni kusahuhisha hiyo injustice ya muda mrefu. Kuna visa vya watoto wa kike wanaambiwa wafeli mitihani ya darasa la saba makusudi ili waolewe.
Kwani hizo kazi ulizotaja nani kawazuia watoto wa kike wasifanye?Kwasababu wasichana wapo more vulnerable kuliko wanaume.
Msichana akipata elimu jamii nzima inaendelea.
Nitaeleza kidogo.
Kwa mfano, ikiwa watoto wote wawili wa kike na kiume wakaishia form 4, unadhan yupi ataathirika kwa haraka zaid kuliko mwingine? Hasa linapokuja suala la uzazi? Na hivyo kuongezea serikal mzigo wa kulea watoto mapema.
Lakini pia, kazi na ajira nyingi semi skilled zinambeba zaid mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ufundi, Udereva, Umachinga, Ubaharia, uvuvi, kufuga, kulima, misitu nkk
Nadhani uamuzi huo ni wa busara sana.
Mkuu umeongea vizuri sana. Subiri wanaharakati uchwara waje kukutupia mawe!Kama mtihani unapima kilicho kichwani na sio jinsia basi acha upime unachokipima.
Matokeo yake unamkuta mtu ofisini kutumia kompyuta mfano, kila siku mpaka asaidiwe na anaona ni haki yake. Hajifunzi...
Mkuu hapana, kwenye Udaktari ni tofaut kidogo na Hilo unalosema.Kwani hizo kazi ulizotaja nani kawazuia watoto wa kike wasifanye?
Hivi kwa mfano ukimfaulishe mwanamke kimchongo siku akiwa daktari atapewa wagonjwa wake maalumu wa kutibu? Hamuoni mnahatarisha afya za raia kwa sababu za kipuuzi?
Mkuu natoa angalizo tu maana hatujui uliendeleo huu utaishia wapi. Unaweza kuja hadi chuoni tukaja kupata madaktari wa kike wa ovyo kabisa ktk taifa hili.Mkuu hapana, kwenye Udaktari ni tofaut kidogo na Hilo unalosema.
Hapa ni entrance points.... wakifika huko wanafundishika vizur tu.
Sababu za tofauti ya kaz kwa mwanaume na mwanamke ni za kimaumbile na kijamii zaidi.
Ahsante.
Unapo tumia nguvu kubwa ili kuuwa mfumo Dume, automatically una rise up mfumo Jike!!Wakuu naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kuwachosha. Baada ya kushuhudia upendeleo kwa watoto wa kike wanaochaguliwa kuingia kidato cha tano, imenilazimu kutoa angalizo...
Mazingira ya shule hayaanzii darasani, usiwe kilaza. Kusoma vizuri darasani na ufaulu unategemea zaidi mazingara ya nyumbani, kijijini au mtaani.Upendeleo wenyewe ni unyanyapaa pia. Naona bado hujaeelewa mada iliyopo hewani. Kwani hao watoto wa kike wao wanasomea kwenye mazingira tofauti na wavulana. Yaani watoto wote wasomee kwenye mazingira yanayofanana halafu useme kuna injustice? You cant be serious!!
Mtihani wa udaktari wa Medical Council of Tanganyika(MCT) una vigezo sawa na ufaulu wa chini sawa kwa wote. Hujui unachoongea, unaokoteza tu talking points za mijadala ya watu wajinga wenye uelewa finyu.Kwani hizo kazi ulizotaja nani kawazuia watoto wa kike wasifanye?
Hivi kwa mfano ukimfaulishe mwanamke kimchongo siku akiwa daktari atapewa wagonjwa wake maalumu wa kutibu? Hamuoni mnahatarisha afya za raia kwa sababu za kipuuzi?
Mataifa ya Ulaya na Marekani mazingira ya nyumbani na shuleni kwa wanawake na wanaume ni karibia sawa, hakuna haja ya sera kama hizi.Mhadhiri wa chuo kimoja alipo kuwa anafundisha masuala ya Gender aliwahi sema kwamba
""Concept ya Gender imeeleweka vibaya kwa wanawake wengi neno usawa wa kijinsia imeeleweka kama harakati za mwanamke kupambana na mwanaume kumbe ni katika fursa mbalimbali kama ajiri,Elimu, nk"
Mleta mada umeongea hoja ya msingi sana,sema Feminist hawata kuelewa maana wao vita yao ni dhidi ya mwanaume na sio kumkomboa mwanamke.
Hii tabia ya kuchezea mfumo wa Elimu imeanza kuota mizizi na kuwa sugu huwa najiuliza mataifa ya ulaya na marekani Wana sera kama hizi zetu kweli ?
Si kweli hiyo dhana ilisha futika kwenye jamii nyingi sana ingawa wana harakati bado wanaikuza ili NGOs zao zisife huo ni ushenzi tu kama ushenzi mwingineTofauti na hoja ya viti maaluma huna hoja nyingine yoyote ya msingi.
Kuhusu wanawake kupata nafasi za upendeleo katika masomo ni sahihi kwa sababu jamii nyingi hasa za vijijini hazikuthamini masomo kwa mtoto wa kike kwa muda mrefu hivyo serikali inachofanya ni kusahuhisha hiyo injustice ya muda mrefu. Kuna visa vya watoto wa kike wanaambiwa wafeli mitihani ya darasa la saba makusudi ili waolewe.
Dhana huwa haifutiki, inaweza kukabiliwa tu kwa kiwango fulani. Ndio maana pamoja na jitihada zote za kukabiliana na ubaguzi duniani na mahahubiri ya kila siku kwamba binadamu wote ni sawa ubaguzi bado upo kila mahali, viwango tu ndio vinatofautiana.Si kweli hiyo dhana ilisha futika kwenye jamii nyingi sana ingawa wana harakati bado wanaikuza ili NGOs zao zisife huo ni ushenzi tu kama ushenzi mwingine
Huu ujinga unalelelewa kwa maslahi ya watu ndio maana hata ndoa sasahivi hazikamatiki maana wanawake wamesha jiona nao wana pumbu.Dhana huwa haifutiki, inaweza kukabiliwa tu kwa kiwango fulani. Ndio maana pamoja na jitihada zote za kukabiliana na ubaguzi duniani na mahahubiri ya kila siku kwamba binadamu wote ni sawa ubaguzi bado upo kila mahali, viwango tu ndio vinatofautiana.
Inasikitisha. Nchi jhii imaelekea mahali pabaya sana. Miaka michache iijayo kila jamii itakuwa multilineal. Ni shida kubwa!Huu ujinga unalelelewa kwa maslahi ya watu ndio maana hata ndoa sasahivi hazikamatiki maana wanawake wamesha jiona nao wana pumbu.
Asante kwa ufafanuzi mujarabu mkuu. Tuwasubiri wengine waje tusikie wanavyosemaHayajaanza leo wala jana na vijana wa kiume wala hawana muda wa kujadili hilo.
Pamoja na hizo jitihada bado wanawake kwenye elimu wanaungaunga mno mpaka kufika vyuo vikuu.
Acha wapewe support tu, changamoto zao ni nyingi sana mkuu.
Mwaka 2014 au 2015 shule moja ya kijijini kwetu wasichana waliofaulu ni 3 tu kati ya 17 waliofaulu.
Na darasa lilikua na wanafunzi 107.
Waliofeli hawafiki 5 waliojitutumua eidha kurudia mitihani au kwenda vyuo vya ufundi, girls wengine ndo hapohapo wakaanzisha familia.
Imagine binti aliemaliza form 4 2015 mpaka saaa ana watoto 3, na maisha yake ya kuunga unga tu.
Na hao 3 wote walisomea ualimu na wako kitaa sasa hivi. Hao wanaume 15 ni wachache ambao bado hawajatusua wengi washaajiria ama wamejiajiri.
Wanawake hata wawaboost kwa kiwango gani usidhani watafika level moja na wanavulana hasa kwa nchi kama hii. Na huko tuendako ni hatari zaidi mabinti wanapevuka mapema, wanamjua mwanaume mapema mno.
Hizi ni mbinu za kuwaokoa wachache walau waendelee na shule, wasizae ama kuolewa kwa umri wao mdogo. Mtoto wa kike akifeli form 4 wengi ni kusubiri ndoa tu nothing else.