Mkuu umeongea kwa ufasaha sana; nakuunga mkono.
- Matatizo dunia hii yalianza pale Adam alipompatia uhuru usio na mipaka Eva, hata Eva kumlisha chukula kilichokatazwa.
- Hizi harakati zimeleta madhara mengi hasi kwa wanawake na jamii kwa ujumla tofauti na matazamio ya wafadhili.
- Anayeendelea kubisha na abishe
Mbona Marekani hawajatawala na huko Elimu inatolewa kwa usawa?
Huu ni ubaguzi mkubwa sana. Sasa utashangaa wanaharakati wa haki za wanawake akina Yoda wanashangilia ubaguzi huu. Hii misaada ya wazungu imewaharibu vichwa.Hapa kwangu mabweni manne makubwa na ya kisasa yote ya wasichana! Bweni moja tu la wavulana na wavulana wamewekwa 20 tu kati ya vyumba mia moja ambavyo vyote ni tupu! Mabweni ya wasichana yamejaa wasichana zaidi ya mia na hamsini [emoji24][emoji24] ukiuliza why wavulana wanaendelea kutokea day (nyumbani) unaambiwa bajeti ya chakula haitoshi!! SHUBAMIIITTT!!!
Kumekuwa na kaslogan future is female duh!New world order is to give power woman (low mind) in expenses of men's authority.
Kweli kabisa wanawalemaza na sasa watakuwa hawajitumi bali watasubiri kubebwa tu kama mizigo.Sasa upendeleo wa nini kwenye elimu wakati wanataka haki sawa! Siyo sawa kabisa kwanza ni kulemaza mtoto wa kike mbona zamani huo ujinga haukuwepo na tulifaulu! Hata hivyo viti maalum vya wabunge inafaa vifutwe.
Unasema sahihi yaani hata UK wabunge wanawake ni 20% tu ndo wamechaguliwa na wananchi ndo taifa lililoendelea- eti leo Tz tunawachukua Nusrati toka gerezani na kwenda kuwaapisha kuwa wabunge? Tz tumelogwa?Viti maalum ni sera potufu kwa sababu ubunge duniani kote katika nchi makini ni lazima uchaguliwe na raia, hakuna ubunge wa kupewa tu kama hapa kwetu.
Kwa sababu ya upendeleo huu maskini wanazidi kuongezeka kila siku na machawa na mashoga yamezaliwa kwa kasi ya 4G.Hoja na ujumbe umefika.
Matokeo ya upendeleo wa jinsi ya ke uko wazi karne hii ambapo maadili yanamomonyoka kwa sababu mama wamekuwa wanaharakati zaidi kuliko mama walezi wa watoto. Tunachoshuhudia ni vijana wasiozingatia mila na desturi zetu za kiafrika kwa kukosa malezi sahihi wallipokuwa watoto.
Hivyo basi, kuendeleza upendeleo wa jinsi ya ke kutazidisha uhanarakati wao na wakati wa umama wao kupunguza muda wao wa kulea watoto katika mila na tamaduni zetu. Km kumetokea mtindo wasichana kuona fahari ya kuwa "single mother" ati kwa sababu "ndoa ni ndoano".
Tanzania ya kesho inafikirisha hivyo basi, tusilaumu mataifa ya nje kuhusu ndoa za jinsi moja. Naamini nao walipitia katika mifumo ya upendeleo wa jinsi ya kike.
Ikumbukwe kuwa mwanamke aliumbwa kuwa msaidizi wa mwanamme na si vinginevyo. Nanukuu Maandiko Matakatifu:
Mwanzo 2:7, 15, 16, 18, 21- 23 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza. Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula. Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake, na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
Kwa maandiko hayo mwanamke wajibu wake mkuu ni kumsadia mwanamme kuitunza bustani iliyoumbwa na Mungu (kwa maana ya mazingira yatakayodumisha uhai wake, kijamii - utamaduni na mila; kisiasa; kiuchumi; kiteknolojia, nk) kama ilivyoandikwa: Mwanzo 2:15 Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.
Kwani wanawake walikuwa wanapelekwa shule? Si mlikuwa mnawaoza? Ni Hadi Serikalini ilipowakomalia ndio walau wakaanza kusoma na Sasa wanapewa Chao.Wanaume walipendelewa lini na kivipi na hao wanawake wanapewa kilicho chao kipi?
Kama hujui ni wanawake wapi basi ukiozwa weweWanawake wapi na walianza kuozwa lini?