thatfunnyboy23
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 850
- 1,134
Ambaye husapoti si unaona hapa kwanini uchukui action na wewe unasema ni mwanaume?Hii dunia inapoelekea mwanamme anenda kupata tabu sana. Cha ajabu hayo mambo yanafanyika huku baadhi ya mijanadume ikiwa ndani ya hizo projects.
Siku hizi hata ma bank company ikiwa na wanawake ina possibility kubwa ya kuwa na advantages nyingi tu kwenye suala zima la mikopo.
Hawa mashetani lengo lao ni kuwa hii dunia itawaliwe na wanawake. na kuna mipuuzi kibao bado inaendelea kusapoti hayo mambo utawaona wengi humu wakichangia.
Hakuna mtu yeyote analazimishwa kuwa chochote na serikali. Serikali inachofanya ni kuondoa au kusahihisha vikiwazo vya kimfumo "systematic" kwa wale wanaotaka kuwa engineer, Doctor, au chochote. Nyie local Andrew Tates mna hoja zilizo mufilisi sana.Au wakilazimisha mtu awe Engineer wa ndege vipi siku akiangusha ndege?
Sasa mbona serikali yako tukufu imechukua maamuzi ya kuwabeba wasichana kabla ya kufanya upembuzi yakinifu na wewe unashangilia? Naona sasa umeanza kujipinga wewe mwenyewe. Bado kidogo tu utanielewa.
Kwa namna umeongea umenikumbusha kuhusu story moja ya mashindanonya wanyama ambapo, zoezi la kwanza ilikuwa ni kukwea mti mrefu sana na mshindi apatikane.Mazingira ya shule hayaanzii darasani, usiwe kilaza. Kusoma vizuri darasani na ufaulu unategemea zaidi mazingara ya nyumbani, kijijini au mtaani.
Kama shule iko mbali na makazi na watoto wote wanatembea kwenda shule ni wazi watakaoathurika zaidi ni watoto wa kike.
Kwenye jamii nyingi watoto wa kike ndio wanaofanya kazi za nyumbani kupika, kufua, kuosha vyombo, kutafuta kuni, kuchota maji n.k.
Miaka michache tu hapo nyuma ukeketaji ulikuwa ni tatizo kubwa lililowafanya watoto wengine wa kike kukimbia kwao. Kuna watoto wa kike wanasoma wakiwa na mawazo kichwani wazazi wao wanataka kukatisha masomo na kuwaoza mapema. Watoto kama hawa unawafidiaje kuwasadia darasani darasani??
Kuna suala la hedhi ambako sehemu nyingine za vijijini hao watoto wa kike waliobalehe wanapoteza hadi wiki nzima kutokana na kukosa pedi na mazingira mengine magumu ya shule wakiwa katika hali hiyo.
Hapa hatajuzangumzia hata kama mazingira yangekuwa sawa, mtoto wa kike akiishia kidato cha 4 na hana muelekeo kupata mimba ni dakika 0 tu, mwanaume hapati mimba na anaweza kufanya kazi nyingi zaidi kuliko mwanaume.
Kipi ambacho hamuelewei nyie local Andrew Tates??
PointKwa kifupi wanawake wametukanwa kwamba hawana akili afu mabinti na mama zao wanachekelea!!!
Ukimpa kazi mwanaume ujue kuna wanawake kibao wananufaika kwanzia atakaeolewa plus wale michepuko sasa mpe ajira mwanamke kwanz hawatak tena kuolewa nakuna mwanaume atanufaika zaid yamchungajiKwasababu wasichana wapo more vulnerable kuliko wanaume.
Msichana akipata elimu jamii nzima inaendelea.
Nitaeleza kidogo.
Kwa mfano, ikiwa watoto wote wawili wa kike na kiume wakaishia form 4, unadhan yupi ataathirika kwa haraka zaid kuliko mwingine? Hasa linapokuja suala la uzazi? Na hivyo kuongezea serikal mzigo wa kulea watoto mapema.
Lakini pia, kazi na ajira nyingi semi skilled zinambeba zaid mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ufundi, Udereva, Umachinga, Ubaharia, uvuvi, kufuga, kulima, misitu nk
Nadhani uamuzi huo ni wa busara sana.
Inawezekana sana tu, hasa kwa course za sayansi, nawajua wengi walilamba 2 na 3 na wakatoka na First class au Upper second with Honors ..Wewe unasema nini wewe. Hivi mtu achaguliwe kindezi ndezi huku chini halafu aje kuwa na best performance huku juu inawezekana?!
Wakishasoma unazan wanataka tena kuzaa watakua kama kina halima mdee tuWaache wawezeshwe maana watatuzalia watoto
Hizo ni personal choices, lakini ni vizur kama taifa tukakuza usawa wa kijinsi na kijinsia kwa manufaa ya kesho.Ukimpa kazi mwanaume ujue kuna wanawake kibao wananufaika kwanzia atakaeolewa plus wale michepuko sasa mpe ajira mwanamke kwanz hawatak tena kuolewa nakuna mwanaume atanufaika zaid yamchungaji
Ufikirie ufaulu wanafunzi katika mfumo "range" zilikubaliwa na sio "absolutes".Sasa hapo Kwa hoja yako itakuwa unadahili wanafunzi kwa uwezo wao au kwa kuwaonea huruma. Na je nini matokeo ya kuwaonea huruma?
Kwa hiyo unatengeneza taifa lenye madokta wa kupendelewe?Tofauti na hoja ya viti maaluma huna hoja nyingine yoyote ya msingi.
Kuhusu wanawake kupata nafasi za upendeleo katika masomo ni sahihi kwa sababu jamii nyingi hasa za vijijini hazikuthamini masomo kwa mtoto wa kike kwa muda mrefu hivyo serikali inachofanya ni kusahuhisha hiyo injustice ya muda mrefu. Kuna visa vya watoto wa kike wanaambiwa wafeli mitihani ya darasa la saba makusudi ili waolewe.
Na wewe ni mama? Basi taifa lina hasara?Kwasababu wasichana wapo more vulnerable kuliko wanaume.
Msichana akipata elimu jamii nzima inaendelea.
Nitaeleza kidogo.
Kwa mfano, ikiwa watoto wote wawili wa kike na kiume wakaishia form 4, unadhan yupi ataathirika kwa haraka zaid kuliko mwingine? Hasa linapokuja suala la uzazi? Na hivyo kuongezea serikal mzigo wa kulea watoto mapema.
Lakini pia, kazi na ajira nyingi semi skilled zinambeba zaid mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ufundi, Udereva, Umachinga, Ubaharia, uvuvi, kufuga, kulima, misitu nk
Nadhani uamuzi huo ni wa busara sana.
Marekani na western world sasa wanaanza kulipia. matriarchal society huwa inazalisha vijana dhaifu na very emotional.Inasikitisha. Nchi jhii imaelekea mahali pabaya sana. Miaka michache iijayo kila jamii itakuwa multilineal. Ni shida kubwa!
Afadhali umekuja mkuu Zemanda unisaidie kuwaelimisha hawa viumbe. Mwanzoni mtihani wa form II passmark ya kwenda form III ilikuwa marks 30. Baada ya wanafunzi wengi kuonekana wanafeli, serikali ikashusha marks hadi 21 lakini matokeo yakazidi kuwa mabaya. Ndipo wakashusha tena hadi marks 18 na bado wanafunzi wakaendelea wanafeli. Baadaye wakaona isiwe taabu.....waliofeli wote waendelee tu na masomo ya form III. Matokeo yake sasa wanafunzi hawajitumi tena kusoma kwa kuwa hawaogopi chochote......upass, ufell, unaenda form III. Hatimaye sasa mtihani wa FTNA hauna maana tena na watoto wamerelax hawasomi. Ndio maana utashangaa watoto wakienda sekondari wakiwa hawajui kusoma wala kuandika kwa sababu ya ujinga huu wa kulegeza mambo katika elimu kwa misingi ya kijinsia na kutafuta kiki za kisiasa.Hivi ni vitu gani unaandika wewe mbona kama haujatumia hekima hata kidogo ingawa unataka kuonekana mwenye hekima?!
Sasa nikuulize swali la kikuda, unataka kuniambia kwasababu kuna changamoto za kijamii zinazosababisha watoto wa kike kushuka kielimu basi suluhu ni kuwawekea vigezo legezi ili wapitishwe lengo likiwa ni kuonyesha matokeo chanya katika makaratasi ya wizara ila vipi uhalisia wa matokeo ya kiufanisi?
Wewe umeambia taaluma zinataka watu wanaobebwa?! Mfano mtu anatamani kuwa daktari ila hana uwezo wa kushika masomo ya udaktari nini unategemea kitokee hapo?!
Si ndio mwisho wa siku tunapata watu wanaokalia taaluma ambazo hawana weledi nazo?!
Kitu ambacho watanzania tumekuwa na vichwa vizito kujifunza ni kutokujifunza na makosa.
Miaka ya nyuma wizara ya elimu waliamua kwa makusudi kushusha vigezo vya watu kusomea Ualimu. Wakaweka vigezo vya chini kabisa kwamba mtu akiwa hata na division 4 atapata kazi ya Ualimu na mkopo juu.
Fast Forward leo hii. Hivi unaona namna elimu inavyozidi kudidimia sababu ya maamuzi ya kipumbavu kama yale. Na watu walikemea sana lile jambo wakasema kwann tusilimi watu kwenda ualimu mwisho iwe division 2. Watu wakatoa sana kauli za kishujaa bila kuwazia hatima ya taifa miaka 100 ijayo.
Leo miaka hata 20 haijapita tumeanza kuvuna hasara. Idadi ya walimu imekuwa kubwa kupita uwezo wa serikali kuajiri.
Walimu wenyewe wengi wanapata udahili kwa vigezo vya chini na matokeo skills zao ni questionable.
Leo serikali inalazimika kutengeneza shule nyingi ili kuajiri walimu ambao kiuhalisia haiwezi wamudu kuwalipa kwa wingi wao.
Impact ipo wapi tukitazama wanafunzi wetu wa sasa unaweza linganisha na wale wa miaka hiyo ya nyuma. Wanafunzi wa sasa wana low but very poor academic performances.
Haya ni matokeo ya maamuzi ya kipumbavu ambayo hayalengi kufanya maboresho bali ni kutokana na upotofu wa akili.
Wewe unavyoona hali ya ustawi wa jamii miaka ya uhuru na sasa ni sawa?! Hebu tumia akili kidogo au ndio wale madogo wa kuzaliwa 2000 unabishana na watu tulioshuhudia babu akiwa na nguvu zake.Wakati wanaume wanapendelewa Taifa halikuangamia ila litaangamia baada ya wanawake kupewa kilicho Chao? [emoji2957][emoji2957]